Kibwana afafanua ishu ya kiungo Yanga

BAADA ya kuwapo kwa taarifa za kiungo mshambuliaji wa Yanga Princess, Aregash Kalsa kuachwa na timu hiyo, mratibu wa kikosi hicho Kibwana Matokeo amesema nyota huyo bado yupo Jangwani. Kumekuwapo na taarifa mitandaoni zinazodai kwamba mchezaji huyo anayetumia mguu wa kushoto amejiunga na RS Berkane ya Ligi Kuu ya Wanawake Morocco. Kalsa alijiunga na Yanga…

Read More

Chan 2024: Morocco v Madagascar Fainali ya kibabe

MASHINDANO ya (CHAN) PAMOJA 2024 yanafikia kilele chake leo Jumamosi, jijini Nairobi, Kenya wakati mabingwa mara mbili wa michuano hiyo, Morocco watakapovaana na Madagascar kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi Kasarani, baada ya jana Ijumaa kushuhudia mechi ya mshindi wa tatu ikipigwa jijini Kampala, Uganda kati ya Sudan dhidi ya Senegal. Fainali hii…

Read More

Fadlu, mastaa wapya washtua | Mwanaspoti

SIMBA imewasili nchini alfajiri ya jana Ijumaa ikitokea jijini Cairo, Misri ilikoenda kuweka kambi ya mwezi ili kujiweka zaidi kwa msimu mpya wa mashindano, lakini kuna watu watatu wameshtua ndani ya ujio huo akiwemo kocha mkuu, Fadlu Davids. Msafara huo wa Simba uliwasili ulirejea karibu wote isipokuwa kocha huyo na mastaa wengine wapya wa kikosi…

Read More

Ligi Kuu yaipa jeuri Yanga, yatoa kauli ya kutisha

UMEIONA ratiba ya Ligi Kuu Bara? Basi bingwa mtetezi Yanga imeiona kisha bosi mmoja mzito wa klabu hiyo, ametoa tamko, wako tayari kwa msimu huku akiringia hesabu walizonazo kutokana na kikosi hicho kinachoendelea kujifua kwa sasa kambini Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam. Bosi aliyeyasema hayo ni Rodgers Gumbo, akiliambia Mwanaspoti wameipokea ratiba ya ligi…

Read More

Siri nzito dili la Nangu, Yakoub

SIMBA imetua nchini alfajiri ya jana ikitokea Misri ilipoweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026, lakini huku nyuma mabosi wa klabu hiyo wamefanya jambo moja lililowahakikishia kuwamiliki wachezaji wawili nyota kutoka JKT Tanzania. Kama unakumbuka Mwanaspoti liliwafahamisha mapema Simba ilishamalizana na beki Wilson Nangu na kipa Yakoub Suleiman waliokuwa wakiitumikia Taifa Stars katika…

Read More

Bado Watatu – 13 | Mwanaspoti

LAKINI tulipomaliza kushuka ngazi na kuliona gari ambalo tulielekea kujipakia, kidogo alishituka. Pengine alilishitukia kuwa lilikuwa gari la usalama. Hata hivyo, hakuniuliza kitu. Nilipojipakia katika siti ya dereva na yeye alijipakia katika siti ya upande wa pili akakaa. Nikaliwasha gari tukaondoka. Sikumuuliza kitu mpaka tulipoikamata barabara ya Mikanjuni. “Utanionyesha ni Mikanjjuni ipi anayoishi,” nikamwambia. “Twende…

Read More

WADAU WA UTALII WAZIDI KUITIKIA WITO WA SERIKALI.

-Hoteli ya Kifahari ya Mapito Safari Camp yazinduliwa rasmi Serengeti Matokeo ya jitihada kubwa za Serikali ya Tanzania kutangaza vivutio pamoja na kuvutia wawekezaji wa kimataifa kuja kuwekeza nchini zinazidi kuzaa matunda kwani alhamisi, Agosti 29, 2025 imezinduliwa hoteli ya Mapito Safari Camp katika kijiji cha Robanda, Serengeti iliyojengwa na kampuni kubwa na maarufu ya…

Read More