Jamhuri ilivyojibu mapigo pingamizi la Lissu kesi ya uhaini
Dar es Salaam. Upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, umeiomba Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, kutupilia mbali pingamizi aliloweka mshtakiwa kuhusu hati ya mashtaka kwa madai kuwa hakuonyesha ni wapi hasa kwenye kasoro. Maombi hayo yamewasilishwa leo, Alhamisi Septemba 18,…