Unyanyasaji wa Haki za Urusi huko Ukraine, Amerika Hakuna onyesho la ukaguzi wa haki, Orlando Blooms inaangazia Rohingya Stight-Maswala ya Ulimwenguni

Wakati wa misheni yao kutoka 2 hadi 6 Novemba, washiriki watatu wa Baraza la Haki za Binadamu-manda Tume ya Uchunguzi Waliokoka waathirika, familia za wahasiriwa na vikundi vya haki za binadamu huko Kyiv. “Watu walizungumza juu ya mateso yasiyowezekana – nyumba zilizoharibiwa, wapendwa waliuawa, na wanaishi,” alisema mwenyekiti Erik Møse. Wachunguzi – ambao sio wafanyikazi…

Read More

Serikali yaongeza posho kwa madaktari, wauguzi

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesema imeongeza posho za madaktari anapoitwa nje ya saa za kazi, posho ya sare za wauguzi na ile ya kuchunguza maiti kuanzia mwaka wa fedha 2024/2025. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni miaka mingi imepita tangu madaktari na wauguzi nchini, kuomba ongezeko hilo. Hayo yamesemwa leo Jumatano, Julai 31, 2024…

Read More

WIZARA YA AFYA TANZANIA BARA, ZANZIBAR, CDC, WADAU WAJADILI UHARAKISHAJI WA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII

Na. Elimu ya Afya kwa Umma. KATIKA utekelezaji wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii, Wadau wa sekta ya Afya kutoka Tanzania Bara na Tanzania Visiwani kwa kushirikiana na Shirika la Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa la Afrika (Africa CDC) pamoja na Wadau wengine leo tarehe 3, Septemba, 2024 wamekutana Jijini Dar es…

Read More

AWESO AUSHUKURU UBALOZI WA TANZANIA BERLIN/UJERUMANI KUBEBA AJENDA YA MAJI

Berlin, Ujerumani Waziri Aweso amehitimisha ziara yake nchini Ujerumani aipofika Berlin ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani ambapo ameushukuru Ubalozi wa Tanzania nchini humo kwa kuratibu, kuwa kiuongo na kufanikisha ushiriki wa Tanzania kwenye Mkutano wa Maendeleo Endelevu (Hamburg Sustainability Conference. Aidha Waziri Aweso ametoa shukrani za dhati kwa Mhe Hassani Iddi Mwamweta Balozi…

Read More

Juhudi za kuutatua mzozo wa Gaza zaendelea Doha – DW – 16.08.2024

Hayo yanajiri wakati Israel ikikabiliwa na shinikizo kubwa kutoka kwa raia wake walioandamana mjini Tel Aviv, wakiishinikiza serikali ifikie makubaliano yatakayowarejesha nyumbani mateka haraka iwezekanavyo. Wapatanishi hao wa kimataifa wanaendelea kutafuta suluhisho la mzozo wa Gaza wakati mawaziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza na Ufaransa wakielekea Israel wanakotarajiwa kusisitiza umuhimu wa kuepuka vita kubwa…

Read More

Kampuni ya ujenzi wa barabara Pemba yaonywa

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla ameiwashia taa nyekundu Kampuni ye Mecco inayojenga Barabara ya Chake-Wete, kwa kile alichodai kushindwa kutekeleza mradi huo kwa mujibu wa mkataba. Ameonya iwapo kampuni hiyo haitakamilisha mradi huo kama walivyokubaliana kwenye mkataba, itakuwa ndiyo mwisho kupata zabuni za ujenzi kisiwani humo. Hemed ametoa kauli…

Read More