MSHINDI WA ZIGO LA MWEZI LA PIKU AKABIDHIWA PIKIPIKI

Na Mwandishi Wetu JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandaoni, leo Septemba 25, 2025 limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya tano ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo iliyofanyika Mabibo jijini Dar es Salaam, mshindi wa kwanza Adam Ahmed Adam alikabidhiwa pikipiki mpya aina…

Read More

RC MARA ATEMBELEA UJENZI WA MAKAZI MAPYA YA WANANCHI WANAOPISHA UPANUZI WA MGODI WA BARRICK NORTH MARA

Mkuu wa Mkoa wa Mara,Kanali Evans Mtambi akitembelea moja ya sehemu inapojengwa nyumba ya mwananchi ambaye amepatiwa fidia kupisha upanuzi wa mgodi wa Barrick North Mara,aliongozana na viongozi mbalimbali wa Serikali mkoani humo na maofisa waandamizi wa mgodi. Mkuu wa Mkoa wa Mara,Kanali Evans Mtambi akitembelea moja ya sehemu inapojengwa nyumba ya mwananchi ambaye amepatiwa…

Read More

Mahakama yaridhia Exim kumshtaki Gavana BoT

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeiruhusu Benki ya Exim kufungua shauri dhidi ya Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kupinga uamuzi wa kuirejeshea isivyo halali Kampuni ya Swiftline Logistics Limited Dola 224,000 za Marekani zilizochukuliwa kwenye akaunti. Uamuzi huo umetolewa na Jaji Awamu Mbagwa, katika shauri la Exim la…

Read More

Sababu Rita kuvunja Bodi ya Wadhamini Kanisa la Wasabato

Dar es Salaam. Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita) umeivunja Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) Tanzania, kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa mali za kanisa na kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Februari 25, 2026 jijini Dar es Salaam, Mtendaji Mkuu wa…

Read More

Moussa Camara amshtua kocha Yanga

KIWANGO bora alichoonyesha kipa wa Simba, Moussa Camara ‘Spiderman’ katika pambano la Dabi ya Kariakoo, kimemshtua kocha Mfaransa anayeinoa Yanga na kusema kama sio umahiri wa kipa huyo raia wa Guinea, huenda mambo yangekuwaharibikia Wanamsimbazi. Katika pambabo hilo la Ngao ya Jamii lililochezwa Jumanne ya wiki hii, Simba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0, huku Camara…

Read More

DP kuungana na CUF Uyole, mgombea awaita CCM na Chaumma

Mbeya. Wakati Chama cha Democratic Party (DP) kikitangaza kumuunga mkono mgombea ubunge Uyole, Ibrahim Mwakwama wa Chama cha Wananchi (CUF), mgombea huyo amesema matarajio yake ni vyama vyote kumnadi kutokana na kukubalika kwa jamii. DP walitarajia kufanya mkutano wake wa kumnadi mgombea urais, Abdul Mluya mkoani Mbeya, lakini ziara hiyo haitakuwapo kutokana na dharura, badala…

Read More

Shahidi aieleza Mahakama chanzo jengo la CCM kuchomwa moto

Dar es Salaam. Mkaguzi wa Polisi mwenye namba PF 20122, Jafari Nguli (49) ameieleza Mahakama jinsi alivyobaini chanzo cha moto uliyounguza na kuteketeza jengo la Chama cha Mapinduzi (CCM) Kivule, lililopo Kata ya Majohe, Wilaya ya Ilala. Nguli ambaye alikuwa mpelelezi mkuu katika kesi hiyo, amedai upelelezi wake ulibaini chanzo cha kuchoma jengo hilo kilitokana…

Read More