Waitara awataka wabunge wachangie mpango wa Serikali kwa uwazi

Dodoma. Mbunge wa Tarime Vijijini (CCM), Mwita Waitara, amewataka wabunge wenzake kuchangia mapendekezo ya mpango wa Serikali kwa uwazi na bila kificho, akisisitiza kuwa wabunge wanalindwa na sheria wanapotekeleza majukumu yao ya kikatiba. Waitara amesema hana tatizo kutamka wazi mbele ya Bunge kuwa katika jimbo lake kuna watu watatu waliopotea na hadi sasa haijulikani walipo….

Read More

Uber yasitisha tena huduma Tanzania, Latra yasema…

Dar es Salaam. Kampuni ya Uber, ambayo hutoa huduma ya usafiri ya teksi kwa njia ya mtandao, kwa mara nyingine imetangaza kusitisha shughuli zake nchini Tanzania kuanzia Januari 31, 2026 kutokana na changamoto za kibiashara. Mara ya kwanza, kampuni hiyo ilisitisha utoaji wa huduma Aprili 2022 hadi Januari 2023 kwa sababu kama hizo. Leo Jumanne,…

Read More

Babalevo apigania masharti nafuu mikopo ya vijana

Dodoma. Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM) Clayton Chipando maarufu Babalevo amesema vijana wa Tanzania wanataka fedha, hawataki konakona. Babalevo amesema hayo bungeni leo Jumanne Februari 3, 2026 wakati akichangia mapendekezo ya mpango wa Serikali uliowasilishwa bungeni na Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo. Mbunge huyo amesema masharti mengi yanawekwa na taasisi za ukopeshaji…

Read More

Mbunge wa zamani Munde afariki dunia, kuzikwa kesho

Tabora. Mbunge wa zamani wa wa viti maalumu (CCM), mkoa wa Tabora, Munde Tambwe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam  alipokuwa akipatiwa matibabu. Mwili wa Munde ambaye amewahi Halmashauri Kuu (NEC) unasafirishwa leo kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mkoa wa Tabora ambako maziko yatafanyika kesho…

Read More

SIKU 100 ZA RAIS SAMIA: BILIONI 69 ZA REA KUNUFAISHA VITONGOJI 634 MKOANI RUVUMA

-Mradi unatekelezwa kwa Miaka Mitatu Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi kabambe wa shilingi bilioni 69 wa kusambaza umeme katika vitongoji 634 utakaonufaisha wateja wa awali 20,328 Mkoani Ruvuma. Meneja Usimamizi wa Miradi ya Kusambaza Umeme wa REA, Mhandisi Deogratius Nagu amebainisha hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan…

Read More