Kimbunga cha Ditwah kinaacha mamilioni ya kuathirika wakati Sri Lanka inakabiliwa na mafuriko, uhamishaji, na hatari za kiafya – maswala ya ulimwengu

Mnamo tarehe 30 Novemba 2025 huko Kelaniya, Sri Lanka, Boti za Uokoaji za Jeshi la Sri Lanka zilisafirisha wanakijiji waliotengwa karibu na Mto wa Kelani kwenda maeneo salama. Watu walipanda boti zilizobeba vitu vyao muhimu, wakitarajia kutoroka viwango vya mafuriko hatari vinavyozunguka nyumba zao. Mikopo: UNICEF/INCECTchange na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Desemba 09,…

Read More

Safari ya jasho, machozi na damu kuutafuta Uhuru wa Tanganyika

Katika karne ya 19, ardhi ya Tanganyika ilijumuisha jamii na makabila mbalimbali, wakiishi maisha ya jadi yaliyokuwa ya wakulima na wafugaji.  Yote haya yalifanyika kabla ya kile kilichoitwa: “Mashindano ya Kugawana Afrika,” (The Scramble for Africa). Mwaka 1885, katika mkutano wa Berlin uliohusu kile kilichoitwa: “Mapatano ya Kugawana Afrika,” nchi za Ulaya ziligawana Bara la…

Read More

Muya: Dhidi ya Yanga Tumeshindwa kushikilia bomba

BAADA ya kupoteza pointi tatu dhidi ya Yanga, Kocha mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya amesema kipigo cha Yanga kilichangiwa na wenyewe kushindwa kushikilia bomba, japo ubora wa wachezaji wa timu pinzani umeamua mechi na kufurahia kufanikiwa kimbinu. Coastal imekubali kipigo cha bao 1-0 kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara, iliyopigwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma…

Read More

Prisons yasaka wawili kumaliza uhaba wa mabao

TANZANIA Prisons imesema licha ya matokeo kuwa magumu, lakini inaridhishwa na kiwango bora cha wachezaji na namna wanavyojituma uwanjani, huku benchi la ufundi likianza kusaka nyota wawili wa kuongeza nguvu eneo la ushambuliaji kumaliza tatizo la mabao. Prisons haijawa na matokeo mazuri sana kutokana na pointi saba ilizokusanya katika mechi saba, huku ikiruhusu mabao matano…

Read More

Tafakuri ya fursa na changamoto kwa Watanzania

Uhai wa Tanganyika (sasa Tanzania) kama Taifa huru, umetimiza miaka 64, umri ambao ndani yake kuna mkusanyiko wa mafanikio, mitihani na dhoruba. Ndani ya miaka hiyo, Tanganyika ilijenga misingi yake kwa maono ya pamoja na mfumo wa usawa, utu, amani na mshikamano. Katika kipindi hicho, Taifa limepiga hatua kadhaa mbele kimaendeleo na kiuchumi, hata hivyo…

Read More

Mgunda awabana mastaa Namungo | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema anatambua ugumu wa kuwaachia wachezaji katikati ya mashindano na kuwabana akiwapa programu maalumu ili waitumie wakiwa mapumziko kusudi wakirudi wawe timamu kimwili. Mapumziko hayo ni maalumu ya kupisha timu za taifa kuwakilisha nchi zao katika fainali za Afcon 2025 zinazotarajiwa kufanyika Morocco kuanzia Desemba 21 hadi Januari 18…

Read More

Rais Samia awasamehe wafungwa 1,036, wengine waachiwa huru

Dar es Salaam. Wakati Tanzania Bara  ikisherehekea miaka 64 ya uhuru wake, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza msamaha kwa wafungwa 1,036 baadhi akiwapunguzia adhabu na wengine kuachiwa huru. Kati ya wafungwa hao waliopata msamaha huo wa Rais, 22 wameachiwa huru, huku 1,014 wakipunguziwa adhabu zao na watakabaki gerezani kutumikia sehemu ya vifungo vilivyobaki. Idadi ya…

Read More