Mechi Kubwa za UEFA Champions League Hii Wiki, Piga Mpunga Hapa
Mechi Kubwa za UEFA Champions League Hii Wiki, Piga Mpunga Hapa – Global Publishers Home Michezo Mechi Kubwa za UEFA Champions League Hii Wiki, Piga Mpunga Hapa
Mechi Kubwa za UEFA Champions League Hii Wiki, Piga Mpunga Hapa – Global Publishers Home Michezo Mechi Kubwa za UEFA Champions League Hii Wiki, Piga Mpunga Hapa
Mnamo tarehe 30 Novemba 2025 huko Kelaniya, Sri Lanka, Boti za Uokoaji za Jeshi la Sri Lanka zilisafirisha wanakijiji waliotengwa karibu na Mto wa Kelani kwenda maeneo salama. Watu walipanda boti zilizobeba vitu vyao muhimu, wakitarajia kutoroka viwango vya mafuriko hatari vinavyozunguka nyumba zao. Mikopo: UNICEF/INCECTchange na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Desemba 09,…
Wakati Tanzania ikiadhimisha miaka 64 ya uhuru wa Tanganyika (baadaye Tanzania), Desemba 9, mwaka huu, vijana wametakiwa kuenzi harakati za mapambano ya uhuru na kutovuruga maendeleo yaliyopiganiwa na waasisi wa taifa hili. Wamehimizwa kufikiria na kuchukua hatua za kuendeleza yale yaliyojengwa na waasisi wa taifa hili, kuhakikisha nchi inafikia hatua mpya za maendeleo na ustawi…
Katika karne ya 19, ardhi ya Tanganyika ilijumuisha jamii na makabila mbalimbali, wakiishi maisha ya jadi yaliyokuwa ya wakulima na wafugaji. Yote haya yalifanyika kabla ya kile kilichoitwa: “Mashindano ya Kugawana Afrika,” (The Scramble for Africa). Mwaka 1885, katika mkutano wa Berlin uliohusu kile kilichoitwa: “Mapatano ya Kugawana Afrika,” nchi za Ulaya ziligawana Bara la…
BAADA ya kupoteza pointi tatu dhidi ya Yanga, Kocha mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya amesema kipigo cha Yanga kilichangiwa na wenyewe kushindwa kushikilia bomba, japo ubora wa wachezaji wa timu pinzani umeamua mechi na kufurahia kufanikiwa kimbinu. Coastal imekubali kipigo cha bao 1-0 kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara, iliyopigwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma…
TANZANIA Prisons imesema licha ya matokeo kuwa magumu, lakini inaridhishwa na kiwango bora cha wachezaji na namna wanavyojituma uwanjani, huku benchi la ufundi likianza kusaka nyota wawili wa kuongeza nguvu eneo la ushambuliaji kumaliza tatizo la mabao. Prisons haijawa na matokeo mazuri sana kutokana na pointi saba ilizokusanya katika mechi saba, huku ikiruhusu mabao matano…
Uhai wa Tanganyika (sasa Tanzania) kama Taifa huru, umetimiza miaka 64, umri ambao ndani yake kuna mkusanyiko wa mafanikio, mitihani na dhoruba. Ndani ya miaka hiyo, Tanganyika ilijenga misingi yake kwa maono ya pamoja na mfumo wa usawa, utu, amani na mshikamano. Katika kipindi hicho, Taifa limepiga hatua kadhaa mbele kimaendeleo na kiuchumi, hata hivyo…
KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema anatambua ugumu wa kuwaachia wachezaji katikati ya mashindano na kuwabana akiwapa programu maalumu ili waitumie wakiwa mapumziko kusudi wakirudi wawe timamu kimwili. Mapumziko hayo ni maalumu ya kupisha timu za taifa kuwakilisha nchi zao katika fainali za Afcon 2025 zinazotarajiwa kufanyika Morocco kuanzia Desemba 21 hadi Januari 18…
Dar es Salaam. Wakati Tanzania Bara ikisherehekea miaka 64 ya uhuru wake, Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza msamaha kwa wafungwa 1,036 baadhi akiwapunguzia adhabu na wengine kuachiwa huru. Kati ya wafungwa hao waliopata msamaha huo wa Rais, 22 wameachiwa huru, huku 1,014 wakipunguziwa adhabu zao na watakabaki gerezani kutumikia sehemu ya vifungo vilivyobaki. Idadi ya…
NINI tatizo Simba? Ndilo swali linalozunguka katika vichwa vya mashabiki wa timu hiyo kutokana kukumbana na kipigo cha nne msimu huu ndani ya mechi 12 za mashindano. Juzi, Jumapili, ilikuwa siku mbaya kwa wana Simba kufuatia kufumuliwa mabao 2-0 na Azam FC ikiwa ni siku chache tangu ipoteze mechi mbili mfululizo za makundi ya Ligi…