Madiwani wamtaka DC Tanga kusimamia zuio la mabasi katikati ya jiji
Tanga. Sakata la kuondoa huduma za upakiaji na ushushaji wa abiria wa mabasi ya mikoani katikati ya Jiji la Tanga limechukua sura mpya baada ya Baraza la Madiwani kumuomba Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Dadi Kolimba, kutumia mamlaka yake kuhakikisha agizo hilo linatekelezwa. Awali, Halmashauri ya Jiji la Tanga ilielekeza wamiliki wa mabasi ya mikoani…