Yaliyobamba 2024: Vipigo 11 vilivyotikisa mwaka huu

LICHA ya kutemeshwa kibarua, aliyekuwa kocha wa Yanga, Miguel Gamondi atabaki kwenye mioyo ya Wananchi kwa kile alichokifanya akiwa na timu hiyo kutokana na rekodi nyingi za nguvu akitoa dozi za kutosha za kuanzia mabao matano katika Ligi Kuu, Kombe la FA na hata michuano ya kimataifa ya CAF. Waswahili husema mnyonge mnyongeni, lakini haki…

Read More

KAMATI KUU YA CCM YAMPITISHA DKT ALLY SIMBA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MOROGORO MJINIi

………………..  KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imelipendekeza jina la Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Mawasiliano Afrika Mashariki DK Ally Simba, kuwania Ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini akichuana na wagombea wengine sita akiwemo aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Abdulaziz Abood. Dk Simba ambaye mbali na nafasi yake ya Utendaji katika…

Read More

PROF.MSOFE ARIDHISHWA NA UTENDAJI WA NEMC

NAIBU Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Profesa Peter Msofe,akizungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) mara baada ya kutembelea makao makuu ya Baraza hilo jijini Dar es Salaam, ikiwa ni ziara yake ya kwanza tangu kuteuliwa kushika wadhifa huo. Na.Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu…

Read More

Mabasi mapya 99 mwendokasi Mbagala kuwasili Agosti

Dar es Salaam. Ndoto ya wakazi wa Mbagala kutumia usafiri wa mabasi yaendayo haraka inakaribia kutimia, baada ya mabasi 99 kuanza kusafirishwa kutoka China kuletwa nchini kutoa huduma hiyo. Idadi hiyo ya mabasi yanayotarajiwa kuwasili Agosti 15, mwaka huu, ni sehemu ya yale 250 yatakayotoa huduma katika njia hiyo, ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya…

Read More

Wananchi wataka ushirikishwaji uboreshaji wa makazi

Dar es Salaam. Wakati utekelezaji wa programu ya kuboresha na kurejesha maeneo ya miji ambayo yameathiriwa na changamoto mbalimbali ukianza, wananchi wametaka kupewa elimu zaidi na kushirikishwa katika mchakato huo. Hayo yameelezwa leo Aprili 4, 2025 na baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Makangira, kata ya Msasani jijini Dar es Salaam walipozungumza na Mwananchi baada…

Read More

KUAMBIANA CUP YAHITIMISHWA- DC LUDEWA ATUMA UJUMBE KWA VIJANA

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Olivanus Thomas amewataka wachezaji wa timu ndogo ndogo za mitaani kutumia vyema fursa wanazozipata kutoka kwa wafadhili ikiwemo kupelekwa katika Academy mbalimbali ambapo wanapaswa kuwa wavumilivu kwenye academy hizo Ili waweze kutimiza malengo yao. Mkuu huyo wa Wilaya ameyasema hayo alipokuwa akihitimisha mashindano ya Kuambiana Cup na kuongeza kuwa vijana…

Read More