Simu, mitandao ya kijamii ilivyo hatari kwa akili yako

Dar es Salaam. Ingawa simu za mkononi na mitandao ya kijamii ni nyenzo muhimu za kupata taarifa, kwa upande mwingine, zinakuweka katika hatari ya kupata msongo wa mawazo, upweke, matatizo ya umakini na hatimaye changamoto ya afya ya akili. Kwa taarifa yako, kadri unavyohisi raha ya kuperuzi katika mitandao ya kijamii kupindukia, ndivyo unavyojiweka karibu…

Read More

Besigye apelekwa hospitali, akigoma kula gerezani

Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, aliyegoma kula wiki iliyopita, amekimbizwa hospitali baada ya afya yake kuzorota, amesema mbunge na mtangazaji wa televisheni nchini humo. Mpinzani huyo wa muda mrefu wa kisiasa na mkosoaji wa Rais Yoweri Museveni, amekuwa kizuizini katika kituo cha ulinzi wa hali ya juu katika mji mkuu wa Kampala tangu…

Read More

Maswali tata kauli ya Rais Samia moto Kariakoo

Dar es Salaam. Hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kueleza moto uliowaka mwaka 2021 katika Soko la Kariakoo ulichomwa kwa makusudi, umeibua maswali tata. Maswali hayo, yamejikita katika muktadha wa tukio lenyewe, huku mengine yakielekezwa kwenye eneo la namna Serikali ilivyoshughulikia tukio hilo. Miongoni mwa maswali hayo ni kina nani  wanaotuhumiwa kuhusika, wameshachukuliwa hatua gani,…

Read More

SPOTI DOKTA: Stars walikuwa timamu

USIKU wa Jumanne ulikuwa mzuri kwa timu ya taifa, Taifa Stars mara baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Zambia ndani ya dimba la Levy Mwanawasa katika jiji la Ndola. Kwa ushindi huo wa bao la mapema dakika ya 5 lililofungwa na Waziri Junior Shentembo unaiweka Taifa Stars…

Read More

Simba mpya hii hapa, mastaa wapya wafichwa Dar

MWANASPOTI linajua Simba imekamilisha usajili wa winga matata Joshua Mutale (22) kutoka Power Dynamos ya Zambia kwa mkataba wa miaka mitatu na tayari imemshusha nchini, huku ikimficha kwenye moja ya hoteli za kifahari jijini Dar es Salaam. Unavyosoma hapa, vigogo wa usajili wa Simba chini ya Cresentius Magori wamemshusha pia kiungo, Debora Fernandes Mavumbo kutoka…

Read More