MJUMBE WA INEC ATEMBELEA VITUO VYA KUANDIKISHIA WAPIGA KURA KATA YA NSALALA NA UTENGULE MKOANI MBEYA

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira akiwa na Afisa Mwandikishaji Jimbo la Mbeya Vijijini, Ndg.Gidion G.Mapunda ofisi kwake baada ya kufika kwa ajili ya kuona zoezi la Uboreshaji linavyokwenda katika Jimbo hilo. Sambamba na hilo Mhe.Rwebangira ametembelea na kukagua vituo vya kuandikisha Wapiga Kura vya Shule ya Msingi Nsalala na Ofisi…

Read More

Wanafunzi 100 walazwa baada ya kula chakula chenye nyoka

India. Zaidi ya wanafunzi 100 wamelazwa hospitalini baada ya kula chakula kilichodaiwa kuwa na nyoka mfu mwishoni mwa juma, wakiwa shuleni nchini India. Kwa mujibu wa CBS News, Tume ya Haki za Kibinadamu ya India (NHRC) imesema inaendelea kuchunguza taarifa hiyo ingawa inaelezwa mpishi aliendelea kuwapatia chakula wanafunzi hata baada ya kumtoa nyoka huyo. Tukio…

Read More

Vilio vyatawala mwili wa Mchungaji Kantate ukiagwa Kisamo

Moshi. Vilio na simanzi vimetawala katika usharika wa Kisamo, Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), wakati wa kuaga mwili wa Mchungaji Kantate Munisi (42) ambaye atazikwa leo, usharikani hapo. Wakati mwili wa mchungaji huyo ukiagwa kanisani hapo leo Agosti 09, 2024, mamia ya waombolezaji waliofika kushiriki ibada ya Maziko, walishindwa…

Read More

Bruce Melodie adondosha “Niki Minaji” X Blaq Diamond

  MSANII wa muziki kutoka nchini Rwanda, Bruce Melodie, ameachia singo yake mpya iitwayo “Niki Minaji” akiwa amemshirikisha msanii wa Afrika Kusini, Blaq Diamond. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Ni kibao chenye mikong’osio ya Amapiano na Afropop ambapo wawili hao wamefanya vurugu za aina yake katika wimbo huo. Wimbo huo haumzungumzii moja…

Read More

CCM yapinga kauli ya Nape ushindi katika uchaguzi

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeipinga kauli ya kiongozi wake wa zamani, Nape Nnauye aliyesema ushindi katika uchaguzi hautokani na wingi wa kura za kwenye boksi, bali nani anayehesabu na kutangaza matokeo.  Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla leo Jumanne Julai 16, 2024 amesema kauli hiyo haitokani…

Read More

Mkurugenzi wa Jatu aomba kuiachia mahakama kesi yake

Dar es Salaam. Peter Gasaya (33), mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Jatu PLC anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, amesema anaiachia Mahakama ishughulikie kesi yake. Gasaya anakabiliwa na mashtaka mawili –kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha kiasi hicho cha fedha, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Kupitia wakili…

Read More