
MJUMBE WA INEC ATEMBELEA VITUO VYA KUANDIKISHIA WAPIGA KURA KATA YA NSALALA NA UTENGULE MKOANI MBEYA
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira akiwa na Afisa Mwandikishaji Jimbo la Mbeya Vijijini, Ndg.Gidion G.Mapunda ofisi kwake baada ya kufika kwa ajili ya kuona zoezi la Uboreshaji linavyokwenda katika Jimbo hilo. Sambamba na hilo Mhe.Rwebangira ametembelea na kukagua vituo vya kuandikisha Wapiga Kura vya Shule ya Msingi Nsalala na Ofisi…