DK.SAMIA SULUHU HASSAN AIHIMIZA MAKUNDI YAVUNJWE CCM İLİ KUWA WAMOJA“ TUSIISHIWE POWER”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mafinga MWENYEKIITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho katika Uchaguzi mkuu mwaka huu Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wana CCM kuvunja makundi na iwawe wamoja ili wasiishie Power kama walivyo wengine. Akizungumza katika mkutano wa kampeni za Urais kuelekea Oktoba 29,2025 uliofanyika Mafinga…

Read More

Mara ngapi unavaa soksi bila kufua?

Dar es Salaam. Ni jambo la kawaida kuvaa jozi ileile ya suruali, sweta au hata fulana zaidi ya mara moja. Lakini vipi kuhusu soksi zako? Kama ungejua ni nini hasa huishi kwenye soksi zako baada ya siku moja tu ya kuzivaa, huenda ungefikiria mara mbilimbili kabla ya kuzivaa tena. Miguu yetu ni msitu mdogo wa…

Read More

FORLAND YAHAMASISHA MATUMIZI YA MITI MINGINE YA ASILI

Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv WIZARA ya Maliasili na Utalii, kupitia mradi wa FORLAND, imesema inaendelea kuhamasisha matumizi ya miti mingine ya asili tofauti na inayojulikana sasa ya Mninga na Mkongo. Akizungumza na waandishi wa habari katika maonyesho ya siku misitu, yanayoendelea kwenye viwanja vya Ilulu vilivyopo Manispaa ya Lindi, mkoani humo, Afisa misitu na…

Read More

WASHINDI 40 WA AWAMU YA PILI KAMPENI YA KIDIGITALI ‘’MIAMALA NI FURSA ’’ YA BANK OF AFRICA TANZANIA WAZAWADIWA

Na Mwandishi Wetu WATEJA 40 wa Bank of Africa Tanzania, wamefanikiwa kujinyakulia ushindi wa shilingi 50,000 kila mmoja wao kupitia kampeni ya kupata huduma za kibenki kwa njia ya kijidigitali inayojulikana kama “Miamala ni Fursa, iliyozinduliwa miezi miwili iliyopita. Kampeni hii ya miezi mitatu iliyoanza Juni 4, 2025 imelenga kuhamasisha wateja wa benki kutumia huduma…

Read More

Vifaa vyatolewa kusaidia watoto wachanga kupumua

Dar es Salaam. Mradi wa Breathing for Baby (BfB), unaolenga kuokoa maisha ya watoto wachanga wanaozaliwa na changamoto za kupumua, umekabidhi vifaa vya huduma ya watoto wachanga vyenye thamani ya zaidi ya Sh164 milioni kwa hospitali za mkoa wa Dar es Salaam. Takwimu za Tanzania Demographic and Health Survey (TDHS 2022) zinaonesha kuwa vifo vya…

Read More

Kanuni kudhibiti maonyesho ya biashara yanayofanyika holela

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imekuja na kanuni maalumu ambazo zinalenga kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na kudhibiti baadhi ya vitendo vinavyoumiza wafanyabiashara ikiwemo kuandaa maonyesho yasiyoweza kuleta tija. Hayo yameelezwa katika kikao cha pamoja na wadau kilichoandaliwa na Tantrade kwa ajili ya kujadili kanuni hizo kilichofanyika leo Machi 11,…

Read More