AZAM FC YAFIKIA MAKUBALIANO NA KOCHA YOUSSOUPH DABO KUACHIA NGAZI – MWANAHARAKATI MZALENDO
Bodi ya Wakurugenzi ya Azam FC imetangaza kuwa imefikia makubaliano na kocha Youssouph Dabo kuacha kuendelea kufanya kazi na klabu hiyo kuanzia leo, Septemba 3, 2024. Dabo, ambaye aliyehudumu kwenye klabu hii kwa mwaka mmoja, anaondoka pamoja na wasaidizi wake wa benchi la ufundi waliomsaidia wakati wote wa kipindi chake cha kazi. Azam FC inamshukuru…