DK.SAMIA ATOA HOFU WAKULIMA BEI YA MBAAZI NA UFUTA, WANYAMA WAHARIBIFU TUNDURU

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Tunduru MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wakulima wa mbaazi na ufuta katika wilayani Tunduru mkoani Ruvuma kwamba Serikali inaendelea na mazungumzo na Serikali ya India kwa ajili ya kuuza mazao hayo. Akihutubia wananchi wa Kijiji cha Nakapanya wilayani Tunduru mkoani Ruvuma leo Septemba…

Read More

Makocha wazawa waichunia Simba | Mwanaspoti

Wakati uongozi wa Simba ukianza kupokea maombi na wasifu wa makocha mbalimbali kwa ajili ya kumrithi Kocha Mkuu, Fadlu Davids aliyeamua kutimkia Raja Casablanca, hadi sasa hakuna kocha mzawa aliyeomba nafasi hiyo. Hilo linatokea huku kocha huyo akiiaga klabu hiyo huku akijiunga na rasmi na Raja Casablanca ya Morocco. Tangu juzi mara baada ya kuwepo…

Read More

Simbu aipandisha chati Tanzania kidunia

Ushindi wa medali ya dhahabu katika marathoni kwa mwanariadha Alphonce Simbu kumeifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi 20 bora katika mchezo wa riadha kati ya nchi 198. Tanzania kwa sasa ni nchi ya 19 kwa mujibu wa  orodha ya viwango vya dunia iliyotolewa jana na Shirikisho la riadha duniani (WA) na ya tatu katika bara…

Read More

Wananchi 3,000 Iringa kunufaika na huduma za kibingwa za tiba

Iringa. Madaktari bingwa 45 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamewasili mkoani Iringa ambako watatoa huduma za kibingwa na kibobezi kwa wananchi takribani 3,000, ambao wamekuwa wakilazimika kusafiri nje ya mkoa kufuata huduma hizo. ‎Akizingumza leo Septemba 23, 2025 wakati wa kuwapokea madaktari hao watakaoweka kambi mkoani hapa, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amesema uwepo…

Read More

Zamu ya Mtwara kampeni za Samia leo

Mtwara. Baada ya kufanya kampeni katika mikoa 13, mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuingia katika Mkoa wa Mtwara kunadi sera za chama hicho akiomba ridhaa ya kuchaguliwa tena kuwa Rais wa Tanzania. Tangu chama hicho kizindue kampeni zake za uchaguzi Agosti 28, 2025 jijini Dar es…

Read More

Morocco atua, afunguka ajira yake Simba

KOCHA Hemed Suleiman ‘Morocco’ amewasili jijini Dar es Salaam, tayari kwa kupokea jukumu jipya la kuifundisha Simba kwa muda, huku akifunguka kazi atakayokutana nayo. Morocco, amewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo asubuhi, akitokea nyumbani kwake Zanzibar, ikiwa ni siku moja tangu jana usiku atangazwe kuwa kocha wa Wekundu hao. Akizungumza mara…

Read More

Vijana wabadili maganda ya matunda kuwa mkaa mbadala

Shinyanga. Ripoti ya mwaka 2024 inaonyesha kuwa matumizi ya mkaa mbadala nchini Tanzania yanaendelea kukua kwa kasi, ambapo takribani tani 45,000 ziliripotiwa kutumika ndani ya mwaka huo. Zaidi ya kaya 500,000 zimeanza kutumia nishati hiyo, jambo linaloashiria ongezeko la uelewa na kupokea kwa teknolojia mbadala ya nishati. Hata hivyo, bado zaidi ya asilimia 85 ya…

Read More