FYATU MFYATUZI: Fyatu kukutana na fyatu Tarampu

Leo, nabanja na Fyatu mwenzangu Donnie Tarampu usawa huu anapokongoliwa na waajemi. Nimeomba tukutane nimshaiwishi aje kwenye bara letu kuwasomba maimla wote wanaowafyatua mafyatu wao. Japo, yeye anahangaishwa na wese, sisi pia tunalo wese ambalo ni ukwasi waliofyatua na kuficha nje. Awafyatue na kuwajengea gereza maalumu au kuwasweka Guantanamo ili watoi wetu wajao waende kuona…

Read More

TANZANIA YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA NCHI YA MSUMBIJI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha. Msaada huo umekabidhiwa Machi 24, 2026 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb) kwa niaba ya…

Read More

Mufti, Samia walivyoweka mstari mshikamano kidini

Kauli ya Mufti wa Tanzania, Sheikh Mkuu, Abubakary Zubery imeibua tafakuri pana kuhusu umuhimu wa kulinda mshikamano wa kidini nchini, hasa katika nyakati hizi ambazo taarifa potofu na uchochezi vinaweza kusambaa kwa kasi kubwa. Akizungumza katika Baraza la Idd El-Fitr lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Mufti…

Read More

Mikakati kumaliza changamoto ya umbali wa shule Fukayosi yaanza -3

Bagamoyo. Changamoto ya baadhi ya wanafunzi kutembea umbali mrefu katika Kata ya Fukayosi, iliyobainishwa na uchunguzi wa Mwananchi, imeanza kupatiwa ufumbuzi kupitia hatua mbalimbali zinazochukuliwa. Uchunguzi wa Mwananchi katika baadhi ya vijiji vya Kata ya Fukayosi, ikiwemo Mkenge, Kidomole na Mwavi, katika Halmashauri ya Bagamoyo mkoani Pwani, ulibaini kuwa baadhi ya wanafunzi wa shule za…

Read More

Winnie Odinga: Binti wa Raila anayegeuka turufu kwa makundi ODM

Alipojitokeza katika mkutano na waandishi wa habari ulioitishwa na Katibu Mkuu wa ODM anayepingwa vikali, Edwin Sifuna, katika Hoteli ya Panafric jijini Nairobi mwezi uliopita, Winnie Odinga siyo tu alihudhuria mkutano huo, alitikisa kwa nguvu muundo dhaifu wa mamlaka ndani ya chama hicho. Mkutano huo uliofanyika kufuatia kuondolewa kwa utata kwa Sifuna, tayari ulikuwa umevutia…

Read More

Ukifunga kamera za CCTV unapaswa kufahamu haya

Dar es Salaam. Kama umefunga kamera za usalama (CCTV) nyumbani kwako, taasisi au kwenye kampuni, yapo mambo matatu ya kuzingatia ili kutoingilia faragha za watu na kuangukia kwenye mkono wa sheria. Kwa mujibu wa Tume ya Ulinzi na Taarifa Binafsi (PDPC) mtu aliyefunga kamera za usalama nyumbani kwake, hususan getini ambapo watu hupita, anapaswa kuweka…

Read More

Manchester United, Tottenham Wagombania Saini ya Orkun Kökçü

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Manchester United wamejiunga na Tottenham Hotspur katika mbio za kumsajili kiungo na nahodha wa Beşiktaş, Orkun Kökçü, ambaye ameibuka kuwa miongoni mwa wachezaji wanaovutia vilabu kadhaa barani Ulaya. Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari, vilabu hivyo viwili vya Ligi Kuu England vinafanya tathmini ya kuimarisha safu…

Read More