Bibi Clotilda Amshukuru Rais Samia Kwa Kuokoa Maisha Yake
Bibi Clotilda Amshukuru Rais Samia Kwa Kuokoa Maisha Yake – Global Publishers Home Habari Bibi Clotilda Amshukuru Rais Samia Kwa Kuokoa Maisha Yake
Bibi Clotilda Amshukuru Rais Samia Kwa Kuokoa Maisha Yake – Global Publishers Home Habari Bibi Clotilda Amshukuru Rais Samia Kwa Kuokoa Maisha Yake
Simba Yaondolewa Ligi ya Mabingwa Baada ya Sare ya 2 – 2 – Global Publishers Home Michezo Simba Yaondolewa Ligi ya Mabingwa Baada ya Sare ya 2 – 2
Dar es Salaam. Pendekezo la hoja iliyowasilishwa bungeni la kutaka itungwe sheria itakayowalazimisha watoto kuwatunza wazazi wao wasiojiweza, limeibua mjadala wengi wakihoji ni vipi sheria hiyo itakuwa na utekelezaji, na wengine wakitaka sheria hiyo iwe ya Serikali kuwatunza wazee na si kuwalazimisha watoto. Mtazamo huo umekuja siku tatu tangu Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kuchangia…
NI Jumapili ya kwanza kabisa ya mwezi Februari ambayo imekuja kivingine yaani Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet. Ingia kwenye akaunti yako sasa na usuke jamvi la ushindi. EPL kule Uingereza itaendelea ambapo Aston Villa chini ya Unai Emiry watakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Brentford ambao wapo nafasi ya 8 huku mechi…
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KLABU ya Simba imelazimishwa sare 2-2 na Esperance de Tunis katika mchezo wa hatua ya makundi ligi ya mabingwa Afrika. Katika mchezo huo Simba Sc ilifanikiwa kuongoza kwa mabao 2-0 kipindi cha kwanza kupitia kwa Shomari Kapombe na Yusuf Kagoma na kwenda mapumziko wa wakiwa mbele. Kipindi cha pili Esperance…
MERIDIANBET, kampuni inayoongoza ya kubashiri nchini Tanzania, inazindua rasmi uzoefu mpya wa kasino unaokuja na hadhi ya kipekee kupitia Super Heli Premium. Huu ni mchezo uliobuniwa kuleta ladha tofauti ya burudani ya kidijitali kwa wachezaji waliotimiza vigezo vinavyotakiwa, ukiwa na mvuto wa kisasa na msisimko wa hali ya juu. Je, uko tayari kwa safari isiyo…
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde (katikati) akikata utepe ishara ya kuzindua helikopta ya kisasa ya Kampuni ya Barrick kwa ajili ya kufanya utafiti wa kijiolojia wa anga – Picha na Kadama Malunde Waziri wa Madini, Anthony Mavunde akipata maelezo wakati akizindua helikopta ya kisasa ya Kampuni ya Barrick kwa ajili ya kufanya utafiti wa kijiolojia wa anga Helikopta ya…
KIUNGO wa Barberian FC, Muhsin Mlaga, amesema licha ya dili lake la kwenda Simba kushindwa kukamilika dakika za mwisho, ila, jambo la kuhusishwa na kikosi hicho kwake imempa motisha kubwa ya kuamini kila kitu kinawezekana ukionyesha juhudi. Nyota huyo anayemudu kucheza kiungo mkabaji na ushambuliaji kwa ufasaha, alifanya mazungumzo ya kujiunga na Simba katika dirisha…
MASHABIKI wa Yanga wamekuwa wanyonge baada ya kutoka sare nyumbani dhidi ya Al Ahly ya Misri na baadaye usiku wakaumizwa zaidi na ushindi wa AS Far Rabat lakini kocha wao, Pedro Goncalves amewatuliza huku akisema mchezo wao dhidi ya Wamorocco hao ni sawa na fainali. …
SHABIKI wa Yanga ambaye unaona timu yako haikucheza vizuri soma hii aliyosema kocha wa Al Ahly ya Misri kwamba wenyeji wao wana timu imara sana na wachezaji bora kisha akawataja baadhi. Kocha wa Al…