Sura mbili pendekezo sheria kuwalazimisha watoto kutunza wazazi wao

Dar es Salaam. Pendekezo la hoja iliyowasilishwa bungeni la kutaka itungwe sheria itakayowalazimisha watoto kuwatunza wazazi wao wasiojiweza, limeibua mjadala wengi wakihoji ni vipi sheria hiyo itakuwa na utekelezaji, na wengine wakitaka sheria hiyo iwe ya Serikali kuwatunza wazee na si kuwalazimisha watoto. Mtazamo huo umekuja siku tatu tangu Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba kuchangia…

Read More

Jumapili ya Maokoto na Meridianbet Hii Hapa

NI Jumapili ya kwanza kabisa ya mwezi Februari ambayo imekuja kivingine yaani Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo Meridianbet. Ingia kwenye akaunti yako sasa na usuke jamvi la ushindi. EPL kule Uingereza itaendelea ambapo Aston Villa chini ya Unai Emiry watakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Brentford ambao wapo nafasi ya 8 huku mechi…

Read More

WAZIRI MAVUNDE AZINDUA HELIKOPTA YA BARRICK KWA UTAFITI WA KISASA WA KIJIOLOJIA

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde (katikati) akikata utepe ishara ya kuzindua helikopta ya kisasa ya Kampuni ya Barrick kwa ajili ya kufanya utafiti wa kijiolojia wa anga – Picha na Kadama Malunde Waziri wa Madini, Anthony Mavunde akipata maelezo wakati akizindua helikopta ya kisasa ya Kampuni ya Barrick kwa ajili ya kufanya utafiti wa kijiolojia wa anga  Helikopta ya…

Read More

Mido iliyokwama Simba yafunguka | Mwanaspoti

KIUNGO wa Barberian FC, Muhsin Mlaga, amesema licha ya dili lake la kwenda Simba kushindwa kukamilika dakika za mwisho, ila, jambo la kuhusishwa na kikosi hicho kwake imempa motisha kubwa ya kuamini kila kitu kinawezekana ukionyesha juhudi. Nyota huyo anayemudu kucheza kiungo mkabaji na ushambuliaji kwa ufasaha, alifanya mazungumzo ya kujiunga na Simba katika dirisha…

Read More