
Maisha yaanza kurejea Tehran, Tel Aviv baada ya mapigano makali
Tehran. Baada ya siku 12 za piga nikupige kati ya Iran na Israel kufuatia mzozo wa kile kilichodaiwa vinu vya nyuklia vya Iran sasa imeelezwa shughuliz imeanza kurejea kama illivyokawaida katika jiji la Tehran na Tel Aviv maeneo yaliyokuwa kama shabaha kwa sehemu kubwa. Katika mapigano makali ya mabomu yalivyodumu karibu wiki mbili mamia ya…