Saa 18 za mateso wagonjwa kukosa umeme Muhimbili

Dar es Salaam. Zaidi ya wagonjwa 200 wanaohitaji huduma ya kuchuja damu ‘dialysis’ na watoto wanaopokea huduma katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jana walipitia wakati mgumu baada ya jengo wanalolitumia kupata huduma hizo kukosa umeme kwa saa 18. Wagonjwa hao wanaopokea huduma katika jengo la watoto kwa zamu ndani ya hospitali hiyo, walijikuta wakirundikana…

Read More

MADIWANI ARUSHA WAOFIA KUPIGWA MAWE KUTOKANA NA UBOVU WA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Na Seif Mangwangi, Arumeru MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha wilayani Arumeru wamedai kuogopa kutembea hadharani wakihofia kupopolewa mawe na wananchi katika maeneo yao ya utawala kufuatia ubovu mkubwa wa barabara katika maeneo hayo uliosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo. Hayo yameelezwa Mei 7, 2025 na Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani katika Halmashauri…

Read More

Kipre Jr: Azam hadi miaka mitatu

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Azam FC, anayekipiga kwa sasa MC Alger ya Algeria, Kipre Jr, amesema ili matajiri wa Chamazi waweze kuonyesha ushindani kimataifa wanahitaji miaka mitatu na zaidi kuingia kwenye mfumo. Kipre aliyeitumikia kwa mafanikio Azam kwa misimu miwili kabla ya kuondoka hivi karibuni, aliliambia Mwanaspoti, timu hiyo inakua kila msimu hivyo uongozi…

Read More

UNICEF inahitaji msaada wa ulimwengu kulinda watoto waliohamishwa na wenye njaa huko Haiti – maswala ya ulimwengu

Mtoto hutazama kamera wakati anasubiri zamu yake katika kliniki ya rununu ya UNICEF huko Boucan Carré, Haiti. Mikopo: UNICEF/Herold Joseph na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Oktoba 14, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Oktoba 14 (IPS) – Takwimu mpya kutoka Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) Onyesha kuwa…

Read More

DKT.NDUMBARO  ACHAGULIWA MWENYEKITI WA KAMATI MAALUM YA MAWAZIRI WA SHERIA YA UMOJA WA AFRIKA

Waziri wa Katiba na Sheria Nchini Tanzania Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza  maalum la  Mawaziri wa Sheria la  Umoja wa Afrika kikao  kilichowakutanisha Mawaziri, Mabalozi na Wataalamu katika sekta ya Sheria wa Umoja wa Afrika kikao kilichofanyika kuanzia tarehe 14 na kumalizika leo tarehe 22  Desemba, 2024 katika hotel ya Golden…

Read More

SERIKALI YATENGA BILIONI 25 KUTEKELEZA MRADI WA SLR

Na Mwandishi Wetu, MBEYA, 16 Machi, 2025 KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kiasi cha Shilingi Bilioni 25 zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bayoanuai Tanzania (SLR-Tanzania) ulioanza mwaka 2021-2025 katika Mikoa mitano na Halmashauri za Wilaya saba nchini. Aidha kutokana…

Read More