
Je, matajiri ndiyo wataamua uchaguzi wa rais wa Marekani? – DW – 26.08.2024
Pengine unaweza kusema hakuna ofisi nyingine inayojihusisha na masuala ya kisiasa duniani ambayo inahitaji fungu kubwa la fedha, ili kushinda siasa zake kama ile ya mgombea urais Marekani. Hebu turejee nyuma katika uchaguzi uliopita wa mwaka 2020. Rais wa wakati huo Donald Trump na mpinzani wake, Joe Biden, walitumia dola bilioni 5.7 sawa na yuro…