FCC Yaimarisha Ulinzi wa Mlaji Katika Soko la Vifaa vya Ujenzi

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Tume ya Ushindani (FCC) imesema wazalishaji wa vifaa vya ujenzi wana wajibu wa kumlinda mlaji kwa kuhakikisha wanazalisha na kuuza bidhaa zenye ubora unaolingana na thamani ya fedha anayolipa mnunuzi. FCC imeeleza kuwa ni muhimu kwa wazalishaji kuzingatia viwango vinavyotakiwa katika uzalishaji wa vifaa vya ujenzi ili kuepusha uwepo…

Read More

Ishu ya utovu wa nidhamu, mastaa wakaa upande wa Aucho

UJUMBE wa kiungo raia wa Uganda, Khalid Aucho, aliouchapisha katika ukurasa wake wa Instagram kupinga tuhuma za utovu wa nidhamu na kupewa adhabu ya kusimamishwa kwa miezi mitatu, umeibua hisia na mjadala mkubwa miongoni mwa mastaa wa soka wanaocheza na waliowahi kucheza Ligi Kuu Bara. Aucho, ambaye ni mchezaji wa Singida Black Stars, amesimamishwa pamoja…

Read More

TUME YA MADINI YAFUNGUA FURSA KWA VIJANA

 Na Mwandishi wetu – Dodoma. Tume ya Madini kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea kutoa mafunzo ya kuongeza ujuzi kwa wachimbaji hasa vijana katika eneo la uchimbaji, uchenjuaji na uongezaji thamani pamoja na biashara ya Madini. Katika kipindi cha Julai hadi Desemba, 2025 Tume ya Madini imehakikisha inatekeleza Kanuni za Ushirikishwaji wa Watanzania ili kuongeza…

Read More

Maandamano ya TLS yayeyuka, polisi wapiga kambi makao makuu

Dar/Mikoani. Maandamano ya mawakili wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) yaliyopangwa kufanyika nchi nzima leo Septemba 22, 2025 kupinga kushambuliwa kwa wakili Deogratius Mahinyila, yameyeyuka huku Jeshi la Polisi likiweka kambi kati ofisi za chama hicho. Maandamano hayo yalichochewa na tukio la Septemba 15, 2025 wakati kesi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Read More

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Manyara Yakabidhiwa Gari

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Mkoa wa Manyara imefanikiwa kupata gari mpya ambayo itasaidia kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila sikukwa wakati. Akizungumza mara baada ya kukabidhi gari hiyo aina ya Toyota Hilux Jijini Dodoma, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo amesema kuwa uwepo wa gari hiyoutasaidia utekelezaji wa…

Read More

Hongera JKT Queens, Kenya wakubali tu

KIJIWE kinawapongeza Maafande wetu wa kike JKT Queens kwa kuibuka mabingwa wa mashindano ya kuwania kufuzu Klabu Bingwa Afrika 2025 yaliyofikia tamati Jumanne wiki hii huko Kenya. Kwa kutwaa huko ubingwa, JKT Queens imejihakikishia tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake, shindano ambalo wiki kama mbili au tatu zijazo litafanyika Algeria likishirikisha klabu…

Read More