Aziz KI, Hamisa imeisha hiyo

KIUNGO wa Yanga, Stephanie Azizi Ki na mwanamitindo, Hamisa Mobetto hatimaye wamemaliza utata baada ya mchana wa leo kufunga ndoa na kuanza maisha rasmi ya mke na mume. Wawili hao waliibua utata baada ya kuzagaa kwa matangazo ya kuwepo kwa ndoa hiyo, kiasi kuna baadhi ya mashabiki hawakuamini kama kuna kitu kama hicho kabla ya…

Read More

'Njaa iko kila mahali', watoto wachanga wanakufa kutokana na baridi, shambulio la anga dhidi ya waandishi wa habari wasio na silaha lashutumiwa – Global Issues

Huko Gaza, ambapo mamia ya maelfu ya watu waliokimbia makazi yao wanajificha kwenye mahema, hali ya joto inatarajiwa kushuka zaidi katika siku zijazo. Edouard Beigbeder, UNICEF Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, aliripoti katika a kauli siku ya Ijumaa kwamba, kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Palestina, watoto wanne waliozaliwa…

Read More

Kamati ya Bunge yataka ubunifu unufaishe wananchi

Arusha. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeitaka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) kutangaza na kusambaza ubunifu wake wa kiteknolojia ili ufanikishe malengo ya kuleta manufaa kwa jamii ya Watanzania na Bara la Afrika kwa ujumla. Licha ya NM-AIST kuwa na uwezo mkubwa katika kukuza…

Read More

ASASI ZA KIRAIA WAOMBA SERIKALI KUWEZESHA MAKUNDI MAALUM

  Na Mwandishi wetu, DAR ES SALAAM Asasi za Kiraia nchini kupitia Shirika la The Foundation for Civil Society (FCS), imeiomba Serikali iangazie katika kuhakikisha makundi maalum yanawezeshwa kufikia miundombinu ya kidigitali ili waweze kushiriki katika michakato ya maendeleo na kujiimarisha kiuchumi. Hayo yamesemwa na Meneja Programu wa FCS Bi. Nasim Losai katika mkutano wa…

Read More