Mwanamume wa Uingereza aliyetuhumiwa kuipeleleza China akutwa amefariki katika bustani

Mwanamume anayeshutumiwa kusaidia mamlaka ya Hong Kong kukusanya taarifa za kijasusi nchini Uingereza amefariki katika hali isiyoeleweka, polisi wa Uingereza waliripoti Jumanne (Mei 21.) Matthew Trickett mwenye umri wa miaka 37 alikuwa miongoni mwa wanaume watatu walioshtakiwa mapema mwezi huu kwa kukubali kushiriki katika kukusanya taarifa, ufuatiliaji na vitendo vya udanganyifu ambavyo vina uwezekano wa…

Read More

DC Simanjiro atoa siku 14 wanafunzi wote wawe wameripoti shuleni

Simanjiro. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Fakii Lulandala ametoa agizo kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari wawe wameanza masomo ifikapo Januari 27, 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili Januari 12, 2025 ofisini kwake, Lulandala amesisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wazazi au walezi…

Read More

Mastaa wamtaja kipa bora wakiwachambua Camara, Diarra

UKIANGALIA takwimu za makipa wenye cleansheet nyingi kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu, Moussa Camara wa Simba anaongoza akiwa nazo 15, akifuatiwa na Djigui Diarra wa Yanga mwenye 11. Makipa hao ambao wote ni raia wa kigeni, Camara akitokea Guinea na Diarra nchini Mali, wamekuwa wakicheza kikosi cha kwanza kwenye klabu zao sambamba na timu…

Read More

Mahakama yatengua uamuzi kumtimua Mbatia NCCR-Mageuzi

Dodoma. Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta maamuzi ya kumfuta uanachama na kumuondoa James Mbatia katika nafasi ya uenyekiti wa taifa wa Chama cha NCCR-Mageuzi, ikisema maamuzi hayo yalikuwa batili kisheria. Mbatia alipotafutwa na gazeti hili kuzungumzia amepokeaje hukumu hiyo amesema “Ninaishukuru mahakama kwa kutenda haki. Siku zote nililalamika kuna ubatili katika uamuzi ule na leo…

Read More