NEMC KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO
Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa Sheria kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Jamal Baruti wakati akizungumzia leo jijini Dar es salaam kuhusu ukaguzi wa mazingira katika miradi ya maendeleo ambao unafanyika kwa wiki nne iliyoanza tar 15 septemba hadi tar 12 Oktoba mwaka huu. Meneja Kanda ya Kaskazin Mashariki Baraza la…