TMA watoa hofu wakulima Nyanda za Juu Kusini

Mbeya. Licha ya kuwepo kwa upungufu wa mvua katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi, Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi waishio mabondeni kuhusu kuwepo kwa vipindi vifupi vya mvua kubwa. Tahadhari hiyo imetolewa leo Ijumaa Januari 10, 2025 na Meneja wa TMA Kanda, Elius Lipiki wakati akizungumza na Mwananchi…

Read More

RC Babu akemea ngono zembe, ataka jamii kuchukua tahadhari

Moshi. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC), Nurdin Babu ameitaka jamii kuendelea kuchukua tahadhari kwa kuacha ngono zisizo salama na kutumia kinga ili kuepuka na au kupunguza maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (HIV): ’’Kwani ugonjwa huu bado upo’’ RC Babu amesema hatua hiyo itaondoa unyanyapaa na kupunguza vifo kufikia mwaka 2030. Mkuu huyo wa…

Read More

Ndege, helkopta ya jeshi zagongana Marekani

Washington DC. Ndege ya abiria iliyokuwa ikitokea Wichita Mjini Kansas nchini Marekani imegongana na Helkopta ya Jeshi la nchi hiyo wakati ikitua kwenye Uwanja wa Reagan jijini Washington DC. Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo Alhamisi Januari 30,2025 wakati ndege hiyo ya abiria ya Shirika la American Airlines yenye namba za usajili 5342 iliyokuwa…

Read More

Posta kubadili  mfumo wa manunuzi Kariakoo

Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mohammed Khamis Abdulla, ameliagiza Shirika la Posta Tanzania kushirikiana na AzamPesa kuweka mifumo isiyoruhusu matumizi ya fedha taslimu kwa wateja wote wanaofika Kariakoo kufanya manunuzi. Amesema endapo wateja watatumia mifumo ya kieletroniki kufanya manunuzi na kuepuka fedha taslimu, Serikali itapata kodi stahiki…

Read More