Ibenge kuifikisha Azam nchi ya ahadi?

TANGU msimu wa 2013-14 ambao Azam FC ilibeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mara ya kwanza kwao, wamepita makocha mbalimbali kuifukuzia rekodi hiyo, wameshindwa. Mzigo huo sasa umeangukia kwa Florent Ibenge, kocha mwenye rekodi kubwa katika soka la Afrika kutokana na kushinda mataji yanayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF). Ibenge…

Read More

WASHINDI 40 WA AWAMU YA PILI KAMPENI YA KIDIGITALI ‘’MIAMALA NI FURSA ’’ YA BANK OF AFRICA TANZANIA WAZAWADIWA

Na Mwandishi Wetu WATEJA 40 wa Bank of Africa Tanzania, wamefanikiwa kujinyakulia ushindi wa shilingi 50,000 kila mmoja wao kupitia kampeni ya kupata huduma za kibenki kwa njia ya kijidigitali inayojulikana kama “Miamala ni Fursa, iliyozinduliwa miezi miwili iliyopita. Kampeni hii ya miezi mitatu iliyoanza Juni 4, 2025 imelenga kuhamasisha wateja wa benki kutumia huduma…

Read More

Bocco alamba shavu jeshini | Mwanaspoti

NAHODHA wa zamani wa Simba na Taifa Stars, John Bocco aliyekuwa akikipiga JKT Tanzania katika Ligi ya msimu uliopita, amedaiwa kulamba shavu jipya kwa maafande hao, licha ya kwamba hatakuwa na kikosi hicho katika Ligi Kuu msimu wa 2025-26. Bocco aliyejijengea heshima akiwa na Azam FC aliyoipandisha Ligi Kuu mwaka 2007 na kutwaa nayo mataji…

Read More

Taifa Stars yaichakaza Macau FIFA Series

Baada ya kuiongoza Taifa Stars katika mechi tano zilizopita bila ya ushindi sawa na dakika 450, hatimaye kocha, Miguel Gamondi ameonja ushindi wake wa kwanza katika mechi ya kimataifa dhidi ya  Macau katika michuano ya FIFA Series huko Kigali, Rwanda. Licha ya kufanya mabadiliko ya wachezaji 10 katika kikosi cha kwanza kilichoanza katika mechi ya…

Read More

Maendeleo dhaifu nchini Syria, katika hatari ya kutengwa na kuingiliwa kwa kigeni, UN inaonya – maswala ya ulimwengu

Walionya kwamba hatua za kijeshi za kigeni, kutengwa kwa kisiasa na rasilimali zinazopungua zinatishia kuondoa faida dhaifu. Mjumbe Maalum wa UN Geir Pedersen – ambaye alitangaza kwamba atakuwa akishuka kutoka kwa jukumu lake wakati wa mkutano – aliwaambia mabalozi kwamba viongozi wa mpito huko Dameski wamerithi “sio tu magofu ya majengo yaliyovunjika, lakini ya Wreckage…

Read More

UNATAKA RAIS ASIWE DK. SAMIA HALAFU AWE NANI? ACHA USHAMBA

  Na Said Mwishehe,Michuzi TV KABLA ya kwenda mbali na kukumalizia bandle lako nataka nikwambie tu huu ni mwaka Uchaguzi Mkuu ikifika Oktoba 29,2025 tunaenda KUTIKI kwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM ,Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.  Ndio hivyo unakunja sura itakusaidia nini? kunjua sura ndungu yangu maisha yenyewe ndio haya haya. Sawa tufanye hutaki kumpa…

Read More

Rais Trump: Viongozi wa Iran Wanataka Tuzungumze ‘Wamechelewa’

Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kuishambulia Iran kwa maneno makali akidai kuwa viongozi waliosalia wa Tehran sasa wanataka mazungumzo, lakini “muda umechelewa.” Kupitia akaunti yake ya Truth Social, Trump aliandika: “Ulinzi wao wa anga, Jeshi la Anga, Jeshi la Wanamaji na uongozi wao umeondoka. Wanataka kuzungumza. Nilisema ‘Too Late!’…

Read More