Katwila apewa mmoja Geita Gold

Geita Gold imempa mkataba wa mwaka mmoja, Zuberi Katwila kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi ya Championship. Katwila ambaye amewahi kuzifundisha Mtibwa Sugar, Mbeya City na Tanzania Prisons, atasaidiwa na Paul Nonga ambaye pia atakuwa kocha wa viungo pamoja na Agustino Malindi akiwa kocha wa makipa. Katwila anachukua mikoba iliyoachwa…

Read More

Mtindo wa maisha unavyopaisha thamani ya kuku

Dar es Salaam. Katika miji na vijiji vya Tanzania, kuku wameendelea kuwa zaidi ya chakula mezani, ni tegemeo la maisha, chanzo cha ajira na kipato cha uhakika kwa maelfu ya wananchi. Biashara ya kuku wa nyama imekua kwa kasi, ikichochewa na ongezeko la mahitaji na mabadiliko ya mtindo wa maisha. Baadhi ya wateja siku hizi…

Read More

Shinda Mizunguko ya Bure Kila Siku Kupitia Wild White Whale – Global Publishers

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubashiri Tanzania, anakukaribisha kwenye promosheni ya mwezi mzima kupitia mchezo wa kasino mtandaoni wa Wild White Whale. Kuanzia tarehe 01 hadi 31 Septemba, kila mchezaji aliyesajiliwa ana nafasi ya kujizawadia mizunguko 50 ya bure kila siku, kwa kukamilisha mizunguko 100 kwa pesa halisi. Hii si bahati nasibu. Haijalishi kama umeshinda…

Read More

Mbarali kutumia Sh2.5 bilioni kukamilisha miradi viporo

Mbeya. Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, imekuja na mikakati maalumu ya kufanya tathmini na kutenga bajeti ya Sh2.5 bilioni kukamilisha miradi viporo kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Kauli hiyo imekuja leo Machi 6, 2026, baada ya wananchi wa Kata ya Kongoro Mswisi, wilayani humo, kuiangukia halmashauri kuomba kukamilisha ujenzi wa miradi mbalimbali, ikiwepo…

Read More