Mgombea urais Ada Tadea aahidi kujenga viwanda kila wilaya Pemba
Pemba. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA Tadea, George Bussungu amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa na wananchi kuiongoza Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025 kipaumbele chake kitakuwa ni ujenzi wa viwanda katika kila wilaya Kisiwani Pemba. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Kangagani…