Wasichana Zaidi Ya 3370 Wanufaika Na Programu Ya Komputa Code Like A Girl
Vodacom Tanzania ikishirikiana na D Lab imewapa vyeti wasichana walioshiriki Program ya Code Like A Girl. Ambapo mpaka sasa mabinti zaidi ya 3370 nchini wamehitimu kwenye program hiyo inayolenga kukuza uelewa wa wanafunzi wa kike katika masomo ya Sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati (STEM) Akizungumza na wanahabari mtaalamu wa mafunzo na vijana kutoka Vodacom Tanzania…