MAJIKO BANIFU TEKNOLOJIA YA KISASA INAYOTUMIA MKAA KIDOGO

 ::::::::: Imeelezwa kuwa majiko banifu yanayotolewa kwa bei ya ruzuku na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ni majiko yanayotumia kiasi kidogo cha mkaa kulinganisha na majiko mengine ya mkaa.  Hayo yamebainishwa na Wataalam kutoka REA wanaoendelea kutoa elimu kwa wananchi katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya Dkt….

Read More

Singida alenga ushindi dhidi Mbeya City

BAADA ya kudondosha pointi sita katika mechi mbili Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga na Simba, kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amewataka wachezaji wake kusahau matokeo hayo na kuelekeza nguvu katika mchezo dhidi ya Mbeya City. Ouma alisema licha ya kupoteza michezo hiyo migumu anaamini kikosi chake kilionyesha kiwango kizuri na kilistahili kupata…

Read More

Manyika aingia Namungo na mkakati wa kufuta rekodi mbovu

Rekodi ya Namungo kuwa na wastani wa kuruhusu mabao 30+ katika kila msimu ndani ya misimu sita iliyoshiriki Ligi Kuu Bara tangu 2019-2020, imemfanya kocha wa makipa wa kikosi hicho, Peter Manyika, kuingia na mpango kazi maalum. Manyika amesema katika kuhakikisha lango la timu hiyo linakuwa salama zaidi, anapambana kuwaandaa vijana wake kuwa katika kiwango…

Read More

Matamasha yawakumbusha mbali | Mwanaspoti

WAKATI leo likifanyika Tamasha la Simba Day, likifuatiwa na Wiki ya Mwananchi keshokutwa Ijumaa, wachezaji waliowahi kucheza Simba na Yanga wametoa kumbukumbu zao juu ya matamasha hayo. Simba Day inayofanyika leo, ni msimu wa 17 tangu Klabu ya Simba kulianzisha mwaka 2009, huku upande wa Yanga ikifanya Wiki ya Mwananchi kwa mwaka wa saba. Katika…

Read More

TAKUKURU Kinondoni Ilivyofuatilia Miradi ya Bilioni Moja – Global Publishers

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU Kinondoni, Christian Nyakizee. Dar es Salaam, 2 Septemba 2025: Taarifa iliyowasilishwa leo na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU Kinondoni, Christian Nyakizee inahusu mafanikio katika utendaji kazi wa TAKUKURU mkoa wa Kinondoni kwa kipindi cha Aprili mpaka Juni 2025 ambapo taasisi hiyo imetekeleza majukumu ya kufuatilia miradi ya maendeleo,…

Read More