Serikali kupima vyuo vikuu kwa ubora wa tafiti, ufundishaji

Moshi. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Serikali imeanza mchakato wa kuvipima vyuo vikuu nchini kwa kuzingatia viwango vya ufundishaji wa wahadhiri, ubora wa tafiti na namna matokeo ya tafiti hizo yanavyotolewa na kutambulika kimataifa. Profesa Mkenda amesema hayo leo Mei 10, 2025 alipozindua Chuo Kikuu cha KCMC kilichopo Moshi, mkoani…

Read More

Ujenzi madaraja King’ori Arusha kuondoa kero, kuokoa maisha

Arusha. Kufuatia tukio la Aprili 25, 2023 lililosababisha vifo vya watu wanne wa familia moja baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na mafuriko katika eneo la King’ori, wilayani Arumeru, Serikali imeanza ujenzi wa madaraja mapya kama hatua ya kudumu ya kukabiliana na maafa na changamoto za miundombinu. Madaraja hayo mawili, yanayojengwa katika eneo hilo ambalo…

Read More

Ukicheza kasino ya BlackJack 2, utajiri ni kugusa tu

  Blackjack 2 ni moja ya mchezo wa kadi rahisi sana kucheza na kuibuka mshindi, wakati huo unafurahia mhcezo kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni, hakikisha tu umejisajili na kama bado gusa hapa hapa kujisajili Meridianbet. Kabla ya yote hebu tuzungumzie kidogo kuhusu mchezo wa blackjack wenyewe. Blackjack ni mchezo wa kadi ambao unajulikana kama moja…

Read More

Kauli ya Niffer baada ya siku 38 mahabusu

Dar es Salaam. Mfanyabiashara wa vipodozi, Jenifer Jovin, maarufu Niffer, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya uhaini, ameachiwa huru baada ya kusota mahabusu kwa siku 38 akieleza aliyoyaona gerezani, hajihusishi na siasa na hana chama. Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kuachiwa huru amesema: “Kwanza namshukuru Mungu kwa siku ya leo, ni siku…

Read More

Wanaohujumu miundombinu ya majitaka Dar waonywa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), imewataka wananchi kuacha kutupa taka ngumu kwenye miundombinu ya majitaka na kuwa wa kwanza kutoa taarifa kwa anayeihujumu. Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Julai 21, 2025 na Mbaraka Mpala kutoka Dawasa, baada ya kushuhudia maboresho ya miundombinu ya majitaka katika mtaa wa…

Read More

Katibu wa CCM Wilaya ya Mafia afariki dunia

Tanga. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mafia mkoani Pwani, Salehe Kikweo amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu Hospitali ya Mji Handeni, Mkoa wa Tanga. Taarifa ya kifo hicho imetolewa na Katibu wa CCM, Wilaya ya Handeni, Mayassa Kimbau leo Jumanne Agosti 26, 2025 kupitia mitandao ya kijamii na kueleza Kikweo amefariki dunia…

Read More

Wiki mbili zampa mzuka Mwambusi

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema wiki mbili zimetosha kukaa na wachezaji wa timu hiyo na kuunda upya mikakati yao, baada ya kuanza na kikosi hicho katikati ya msimu huu tena kikiwa tayari kiko kwenye mechi za kiushindani. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwambusi alisema katika kipindi cha michezo ya kimataifa kimesaidia kukaa vizuri na…

Read More