Happyness alivyoyaepuka mateso ya ndoa na kuangukia udereva

Dar es Salaam. Huenda baadhi ya changamoto wanazokumbana nazo wanawake katika ndoa, ikiwemo kuachika, zikawafanya waone dunia imewatupa na hawana namna tena ya kuendelea kuishi, lakini hali haikuwa hivyo kwa Happyness Aloyce (35), dereva wa mabasi ya mwendokasi, aliyeamua kugeuza maumivu yake kuwa nguvu ya kusonga mbele. Katika mahojiano yake na Mwananchi, Happyness anaeleza safari…

Read More

Yanga yarudi na siri kutoka Angola

WAKATI kikosi cha Yanga alfajiri ya leo Jumapili kikiingia Dar es Salaam kikitoka Angola, kuna kitu ambacho kocha wa timu hiyo, Romain Folz anatamba nacho huku mwenyewe anasema bado yupo katika kuijenga timu imara msimu huu. Wakati Folz akiyasema hayo, kuna siri imefichuka huku Yanga ikiwa tayari imefanya mambo makubwa katika mechi mbili za kimashindano,…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Chawa, kupe maskani moja

Waswahili wana usemi wao maarufu wa ‘Mkubwa jalala.’ Usemi huu huwakumbusha wakubwa kuwa makini sana na walio chini yao, kwani makosa ya wasaidizi wake yanaweza kutafsiri taswira mbaya kwa jamii inayomheshimu. Vilevile hawa wasaidizi wanaweza kutumia jina la mkuu kwa manufaa yao binafsi, na kuifanya picha ya mkubwa izidi kuwa ya kutisha mbele za umma….

Read More

Rais wa Shirikisho la Soka Kongo Afungwa Jela Maisha kwa Kashfa ya Fedha

shemeliezer shem March 11, 2026 0 Comments Jean-Guy Blaise Mayolas, Aliyekua Rais wa Shirikisho la soka Kongo Brazzaville (Kushoto), Gianni Infantino rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) Mahakama nchini Kongo Brazzaville imemkuta na hatia Rais wa Shirikisho la Soka la nchi hiyo, Jean-Guy Blaise Mayolas, kwa makosa makubwa ya kifedha yaliyohusisha utakatishaji…

Read More

JKT Queens yanyakua ubingwa CECAFA

HATIMAYE JKT Queens imetawazwa kuwa bingwa wa michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) Wanawake baada ya kuitandika Rayon Sports ya Rwanda bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Septemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Moi Kasarani jijini Nairobi nchini Kenya. Bao la Winifrida Gerald dakika ya tano akifunga kwa kichwa baada ya kumalizia…

Read More

Wahamiaji haramu 10,960 wakamatwa wakiingia nchini, RC Mwassa akerwa

Bukoba. Idara ya uhamiaji mkoani Kagera imefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 10,960 wakiingia nchini kinyemela kuanzia Januari hadi Septemba 2025. Akizungumza na Mwananchi Digital, Septemba 3, 2025 ofisa Uhamiaji Mkoa wa Kagera, Mrakibu mwandamizi, Eleneus Kasimbazi amesema idara hiyo ya uhamiaji Mkoa wa Kagera kupitia doria mbalimbali walizozifanya kwenye maeneo muhimu ya mipaka ya nchi jirani…

Read More