Simba yabisha hodi Mamelodi, yaondoka na De Reuck

SIMBA inaripotiwa imemnasa beki wa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Rushine De Reuck kwa mkataba wa mwaka mmoja. Mtandao wa idiskitimes.co.za wa Afrika Kusini umeripoti kwamba beki huyo mwenye umri wa miaka 29 anaondoka Mamelodi Sundowns baada ya kuitumikia kwa miaka minne. Ndani ya Simba, De Reuck anategemewa kuziba pengo la Che Fondoh Malone ambaye ameachana…

Read More

Wafanyikazi wa UN walioachiliwa baada ya uvamizi wa Houthi, lakini kadhaa hubaki kizuizini – maswala ya ulimwengu

Wafanyikazi watano wa kitaifa waliowekwa kizuizini wakati wa tukio hilo pia waliachiliwa. Uvamizi huo ni sehemu ya mawimbi mengi ya kizuizini cha wafanyikazi wa UN, wengine walioanzia 2021. Karibu wafanyakazi 53 walioajiriwa wa ndani wanabaki kizuizini katika maeneo ambayo haijulikani, na usalama wao unaendelea kuwa jambo kubwa. Vitu vyenye silaha kutoka kwa Mamlaka ya Houthi…

Read More

NHC yanunua eneo la Urafiki

Dar es Salaam. Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limenunua eneo la Urafiki, zikiwamo mali zilizokuwa chini ya Kampuni ya Urafiki wa Tanzania na China. Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa NHC, Muungano Saguya amesema hayo leo Mei 17, 2024 wakati wa ziara ya Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Hamad Abdallah kutembelea miradi inayotekelezwa na shirika…

Read More

Gadiel aitosa Chippa United | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto wa kimataifa wa Tanzania, Gadiel Michael ameachana na Chippa United ya Afrika Kusini huku sababu za kuondoka klabuni hapo hazijulikani. Nyota huyo wa zamani wa Simba na Yanga ambaye wakati mwingine amekuwa akitumika kama kiungo ndani ya timu hiyo ya Chippa, alijiunga na timu hiyo msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Usiruhusu simu kudhuru maisha yako

Simu za mkononi zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku, zikitumika kama nyenzo rahisi ya mawasiliano pamoja na kuongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi Hata hivyo, matumizi yake yasiyo sahihi yanatajwa na wataalamu wa afya kuwa na hatari kubwa kwa afya ya binadamu, ikiwa ni pamoja na kuhusishwa na magonjwa yasiyoambukiza…

Read More

Je! Poison yako ni nini? Pombe inayohusishwa na hatari kubwa ya saratani ya kongosho – maswala ya ulimwengu

Utafiti, ukiongozwa na Shirika la Afya UlimwenguniKituo cha Utafiti wa Saratani, kiliweka data kutoka kwa watu karibu milioni 2.5 kote Asia, Australia, Ulaya, na Amerika ya Kaskazini. Ilifunua a Ushirikiano “wa kawaida lakini muhimu” kati ya unywaji pombe na hatari ya kupata saratani ya kongoshobila kujali hali ya ngono au ya kuvuta sigara. “Matumizi ya…

Read More

Wasira asifu mabadiliko makubwa eneo la utawala

Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeleta mageuzi makubwa katika eneo la utawala, huku akisisitiza kuwa mchakato wa mageuzi (‘reform’) ni endelevu na si wa muda mfupi. Akizungumza na wanachama wa CCM jana jioni, Aprili 23, 2025, akiwa katika Wilaya ya Chamwino…

Read More

Heroes Queens yabeba watatu Ligi Kuu

TIMU mpya ya New Heroes Queens inayotarajiwa kucheza Ligi Kuu ya Wanawake Bara (WPL) msimu ujao ipo katika hatua za mwisho kumalizana na Juma Pondamali ili akawe kocha wa makipa. Awali, Yanga Princess ilikuwa timu ya kwanza kumfuata kocha huyo aliyewahi kucheza Yanga na kuifundishia  makipa, lakini ni kama dili limegeuka. Diana Mnally Chanzo cha…

Read More