Wataalamu wataja sababu ongezeko la mafua, Uviko-19

Dar es Salaam. Wakati Wizara ya Afya ikitoa tahadhari kwa wananchi kufuatia ongezeko la wagonjwa wa mafua makali na Uviko-19 nchini, wataalamu wa afya wameeleza sababu za kuongezeka kwa maambukizi hayo katika kipindi hiki. Aidha, wataalamu hao wametaja makundi yaliyo hatarini zaidi na kusisitiza umuhimu wa kupata matibabu stahiki mapema, badala ya kujitibu bila ushauri…

Read More

‘Maisha yetu yamekatwa’, wanasema wakulima wa Benki ya Magharibi mbele ya Mavuno ya Mizeituni – Maswala ya Ulimwenguni

Kama maelfu ya wakulima wa Palestina, anakabiliwa na vizuizi vinavyoongezeka kutoka kwa vikosi vya Israeli na walowezi, ambao wamefanya msimu wa mavuno ya mizeituni – kuanzia Septemba hadi Novemba – wakati wa kutokuwa na uhakika na mapambano. Katika miaka ya hivi karibuni, Shirika la Chakula na Kilimo la UN (Fao) imeunga mkono wakulima wa mizeituni…

Read More

UMOJA WA VIWANDA VYA ALIZETI WAPATIWA ELIMU YA VIPIMO

Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imewahakikishia wafanyabiashara wa Mji wa Kibaigwa Wilayani Kongwa kuwa itaendelea kusimamia usahihi wa vipimo vinavyotumika kufanyia biashara katika eneo hilo kwa lengo la kuhakikisha kunakuwa na biashara ya usawa na haki baina ya mnunuzi na muuzaji. Vilevile WMA Dodoma imetoa wito kwa wafanyabiashara hao kwa upande wao kuzingatia…

Read More

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi wa Kibalozi na Taasisi

Global Publishers March 18, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi katika nafasi mbalimbali za kibalozi na taasisi, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha utendaji wa serikali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari S. Machumu, uteuzi huo unahusisha viongozi…

Read More

CCM na mkakati wa kutibu majeraha kura za maoni

Dar es Salaam. Katikati ya vinyongo vya baadhi ya makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutokana na kuenguliwa katika michakato ya uteuzi wa kuwania nafasi mbalimbali, chama hicho kimeanza mkakati wa kutibu majeraha. Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Stephen Wasira, ndiye aliyekabidhiwa kibarua hicho, akifanya ziara katika mikoa mbalimbali, hasa maeneo ambayo kumeibuka manung’uniko…

Read More

OMO aahidi kuwashirikisha wananchi kuinua uchumi Zanzibar

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, maarufu OMO, amesema Serikali atakayoiunda itahakikisha kila mwananchi wa Pemba anashiriki katika shughuli za kiuchumi ili kukuza maendeleo ya kisiwa hicho. Amesema wakazi wa Pemba hawatakiwi kufundishwa biashara, kwa sababu wana kipaji na uwezo, hivyo, Serikali ya ACT-Wazalendo itakayoundwa baada ya…

Read More

Mwanamama mdau wa Usafiri wa Anga Tanzania Atambuliwa Katika Mkutano wa 42 wa ICAO

  Sekta ya anga ya Tanzania imepata kutambulika kimataifa wiki hii wakati Bi. Rosemary Kacungira, Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Equity Aviation, alipoheshimiwa katika Mkutano wa 42 wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) unaoendelea Montreal, Canada. Bi. Kacungira alionyeshwa katika heshima maalumu ikionesha mafanikio yake wakati wa Kikao cha Ufunguzi cha Mkutano,…

Read More