Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Manyara Yakabidhiwa Gari

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Mkoa wa Manyara imefanikiwa kupata gari mpya ambayo itasaidia kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila sikukwa wakati. Akizungumza mara baada ya kukabidhi gari hiyo aina ya Toyota Hilux Jijini Dodoma, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo amesema kuwa uwepo wa gari hiyoutasaidia utekelezaji wa…

Read More

Jamhuri kujibu pingamizi lingine la Lissu leo

Dar es Salaam. Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema)Tundu Lissu, itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam. Kesi hiyo inayosikilizwa na jopo la majaji watatu, Dunstan Ndunguru (kiongozi wa jopo) James Karayemaha na Ferdnand Kiwonde, itaendelea leo Septemba 18, 2025 kwa upande wa Jamhuri kujibu hoja…

Read More

Mambo 10 Dabi ya Kariakoo, tatizo ni Diara!

DABI ya kwanza ya Kariakoo msimu huu imemalizika kibabe baada ya Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba, juzi Jumanne. Ushindi huo umeifanya Yanga, kuendeleza ubabe mbele ya Simba, ikishinda mchezo wa sita mfululizo dhidi ya watani wao hao, rekodi ambayo itaendelea kuwafanya Wekundu kuumizwa na maumivu mithili ya kidonda kisichopona. Hata…

Read More

FIFA yaweka mamilioni Simba, Yanga

SIMBA, Yanga, Azam na klabu nyingine chache za Ligi Kuu Tanzania Bara, zitakuwa miongoni wa wanufaika wa kupata fidia ya fedha kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA) kwa kuruhusu wachezaji wao kuzitumikia timu mbalimbali za Taifa katika mechi za kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026. Mgawo huo wa fedha ni…

Read More

Folz ashindwe mwenyewe Yanga | Mwanaspoti

VIONGOZI wa Yanga wamefanya kila kitu kuhakikisha timu hiyo inaendelea kuwa na kikosi kizuri chenye uwezo wa kutetea mataji iliyobeba msimu uliopita ikiwamo Ligi Kuu Bara. Yanga ikiwa ndiyo klabu yenye mafanikio zaidi katika Ligi Kuu Bara ikichukua taji hilo mara 31, inaingia msimu huu ikiwa na deni la kutetea ubingwa wake. Katika kutetea ubingwa…

Read More