Polisi waimarisha ulinzi, kesi ya Lissu Mahakama Kuu Dar

Dar es Salaam. Wakati Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akitarajia kupandishwa kizimbani leo katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizwaji wa hoja au maelezo ya awali ya kesi ya uhaini inayomkabili, ulinzi umeimarishwa kuanzia nje, getini hadi ndani ya Mahakama. Ulinzi huo umeimarishwa na askari…

Read More

Makalla: Ilani ya CCM imebeba matumaini ya Watanzania

Karatu. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema ilani mpya ya uchaguzi ya mwaka 2025/30 iliyozinduliwa hivi karibuni, imebeba masuala muhimu yanayogusa maisha ya Watanzania. Aidha, amesema mwaka huu, chama hicho kimejipanga kushinda kwa kishindo kwa kuhakikisha inapeleka wagombea wazuri ili wachaguliwe. Makalla ameyasema hayo leo Alhamisi Juni…

Read More

Zanzibar yajizatiti utatuzi migogoro baharini

Unguja. Katika kutatua migogoro kati ya watumiaji wa maeneo ya bahari wakiwamo wavuvi na wakulima wa mwani, Serikali imejipanga kuweka mpango madhubuti wa matumizi ya bahari kwa kuwashirikisha wananchi wa maeneo zinakofanyika shughuli za kiuchumi. Serikali imesema mpango huo ni hatua itakayosaidia kupunguza migogoro sugu, ikiwamo inayowahusisha wavuvi wanaofanya shughuli zao kwenye mashamba ya wakulima…

Read More

Hofu ongezeko gharama za kupanda ndege Tanzania

Dar es Salaam. Nauli za usafiri wa anga wa kimataifa huenda zikapanda kwa dola 45 (Sh111,250) kwa tiketi ya safari moja na dola 90 (Sh222,500) kwa safari ya kwenda na kurudi, endapo ada mpya itaanza kutumika kama ilivyopangwa. Serikali imepanga kuanza kutoza ada ya uwezeshaji abiria (Passenger Facilitation Fee) kwa wasafiri wote wa kimataifa kuanzia…

Read More

Kutana na Wanawake Vijana Waliokamatwa kwa Kupambana na Ufisadi nchini Uganda – Masuala ya Ulimwenguni

Kemitoma Siperia Mollie, Praise Aloikin, na Kobusingye Norah walifikishwa mahakamani mapema mwezi wa Septemba. Walishtakiwa kwa kero ya kawaida. Credit: Wambi Michael/IPS by Wambi Michael (kampala) Alhamisi, Oktoba 24, 2024 Inter Press Service KAMPALA, Oktoba 24 (IPS) – Hadi hivi majuzi, Margaret Natabi hangeweza kamwe kuwa na ndoto ya kuchukua vita yake ya kupambana na…

Read More

Kimenya, Elfadhili warejeshwa Prisons | Mwanaspoti

WACHEZAJI wakongwe wa Tanzania Prisons waliokuwa wamepangiwa majukumu mengine nje ya timu, Jumanne Elfadhili na Salum Kimenya wamerejeshwa na wameshajiunga na wenzao kambini ili kuongeza nguvu katika vita ya kuepuka kushuka Ligi Kuu. Nyota hao sambamba na  Jeremiah Juma walidaiwa kuondolewa dirisha dogo kabla ya mambo kwenda mrama na kocha kuwataka, lakini ni Jeremiah aliyekuwa…

Read More

Dah! Gamondi aondoka na utamu wake, rekodi zake ziko hivi

YANGA imeachana na kocha Gamondi na Moussa Ndaw rasmi. Sehemu ya taarifa iliyotolewa ilisema; “Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuutarifu umma kuwa umevunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Angel Miguel Gamondi. Vilevile, Uongozi wa Young Africans Sports Club, umesitisha mkataba wa kocha msaidizi wa kikosi cha kwanza, Moussa Ndaw.” Gamondi…

Read More