Absa Bank Tanzania champions CEO collaboration and investment at The 200 CEOs Business Forum as Diamond Sponsor

  Dar es Salaam, 27 August 2025 — Absa Bank Tanzania reaffirmed its commitment to powering growth in Tanzania’s real economy as the Diamond Sponsor of The 200 CEOs Business Forum, an exclusive convening of the nation’s top corporate leaders. The high-level forum was graced by Deputy Permanent Secretary, Ministry of Industry and Trade, Honorable…

Read More

Dk Mwigulu aonya watumishi kupangisha vizimba wafanyabiashara

Arusha. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ametoa onyo kwa baadhi ya watumishi wa umma wanaojihusisha na tabia ya kukodisha maduka au vizimba kwa wafanyabiashara kwenye masoko, kinyume na utaratibu. Ameagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kusimamia sensa ya wafanyabiashara waliokuwa na vizimba katika soko la Kilombero, ili ujenzi utakapokamilika wapewe kipaumbele cha kwanza….

Read More

BoT yakusanya tani tano za dhahabu kutoka MPMR

Mwanza. Kiwanda cha kusafisha madini ya dhahabu Mwanza Precious Metals Refinery (MPMR) kilichopo jijini Mwanza, kimefanikiwa kukusanya tani tano za madini ya dhahabu kwa kipindi cha mwaka mmoja, na kuendelea kuipaisha Tanzania katika sekta ya madini kwa ukanda wa Afrika Mashariki. Akizungumza leo Septemba 27, 2025 na ujumbe kutoka Malawi, Ofisa Madini kutoka mkoani Mwanza…

Read More

BHOJANI AMWOMBEA KURA RAIS DK.SAMIA KISUTU

MGOMBEA Udiwani wa Kata ya Kisutu, Tousif Bhojani, amewataka wananchi wa kata hiyo kumpa kura za kishindo  mgombea urais kwa kitekiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa Okotoba 29 mwaka huu.  Ameyasema hayo Dar es Salaam, leo baada ya kurejesha fomu ya uteuzi wa  udiwani katika Ofisi…

Read More

Mary Chatanda kuongoza kongamano la CCM China kwa njia mtandao

Na: Mwandishi Wetu Wanachama wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), tawi la China (Diaspora), limeandaa Kongamano la Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 kwa njia ya mtandao (Google Meeting) ili kujadili masuala mbalimbali ya kimaendeleo yamuhusuyo mwanamke. Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika Machi 15, 2026, majira ya saa tisa kamili alasiri hadi saa kumi na mbili…

Read More

Ukizubaa ZPL umeachwa mapema | Mwanaspoti

ULE uhondo na utamu wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) unatarajiwa kuendelea Machi 28, 2026 baada ya ligi hiyo kusimama kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unaokaribia ukingoni. Katika mzunguko huu wa mwisho wa ligi hiyo, zimesalia mechi 10 kila timu baada ya kuchezwa 20 kati ya 30 na tamati ya ligi hiyo itakuwa Mei…

Read More

ONGEA NA ANTI BETTI: Mke wangu amenifumania, amekaa kimya

Anti ninashindwa niseme au nifanye nini kwani maana mke wangu anataka kuniua kwa kihoro. Nilikuwa na uhusiano na rafiki yake (nimeacha na sitorudia tena usiniseme vibaya), amejua maana alikuta ujumbe mfupi wa mahaba akaniuliza nikakataa. Nadhani alikuwa anatufuatilia kwani alitukuta uso kwa macho tukiwa hotelini nje ya mji tunaogelea kwenye jakuzi. Siyo jakuzi la jumuia…

Read More