ERB TOENI MOTISHA KWA WAHANDISI: DKT. BITEKO

 :::::::: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameitaka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuongeza bidii katika kuwapa motisha wahandisi wanaofanya kazi vizuri kwa kuwatambua na kuwapa tuzo ili kuwatia moyo wakati wa utekelezaji wa majukumu yao. Ameeleza hayo Septemba 25, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akifungua maadhimisho ya 22…

Read More

Bunge la 13 bila wakongwe

Dar es Salaam. Bunge la 13, limeendelea kupoteza wabunge wakongwe zaidi, baada ya kifo cha Mbunge wa Isimani (CCM), William Lukuvi, ikiwa ni miezi minne tangu pigo kama hilo, lilipoukuta muhimili huo muhimu kwa utunzi na usimamizi wa sheria. Lukuvi ambaye hadi anafariki dunia alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu…

Read More

ODILIA : KATAMBI MTU KAZI, OKTOBA 29 KURA ZOTE CCM

Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga – Picha na Marco Maduhu na Kadama Malunde Na Marco Maduhu,Shinyanga Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)…

Read More

Sakata mali za mfanyabiashara Arusha bado giza nene

Arusha. Zikiwa zimepita siku 33 tangu agizo la Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, la kurejeshwa kwa mali za mfanyabiashara wa Arusha, Josephine Shirima, mali hizo bado hazijarudishwa na sasa suala hilo linashughulikiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu. Februari 24, 2026, mbele ya Waziri Mkuu, Josephine alidai kuwa Makoi pamoja na Mollel walihusika kumdhulumu mali zake…

Read More

Huu hapa mfupa wa Pedro Yanga

YANGA ina mechi ya nne mfululizo ugenini leo ikiwa mgeni wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini, Dodoma, ikiuanza mzunguko wa pili, lakini kuna tahadhari itatakiwa kuichukua kama inautaka ubingwa ikikaribia kuvunja rekodi yake ya msimu uliopita. Yanga leo itakuwa inaanza mzunguko wa pili ambapo takwimu zinaonyesha timu hiyo imeshaangusha pointi nane ndani ya…

Read More

DKT. SERERA AVUTIWA NA USHIRIKI WA NEMC KWENYE MAONESHO YA IATF

Naibu Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amelipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa namna ambavyo linatoa elimu kwa wadau mbalimbali wakiwemo wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika yanayotambulika kama Intra African Trade Fair (IATF) yanayoendelea jijini Algiers nchini…

Read More

‘Kuzuia Kesi Sawa Kunahitaji Kuvunjilia mbali Taratibu Zinazochukulia Wapinzani kama Uhalifu’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili kuharamishwa kwa wapinzani nchini Ufilipino na Kyle A Domequil, msemaji wa Mtandao wa Free Tacloban 5, kampeni inayomuunga mkono mwanahabari Frenchie Mae Cumpio, mtetezi wa haki za binadamu Marielle Domequil na washtakiwa wenzao na wanaotetea kuachiliwa kwao. Kyle A Domequil Mnamo tarehe 22 Januari,…

Read More