Nangu apewa mchongo wa maana Simba

INGAWA jina la beki wa Simba, Willson Nangu halitajwi sana kama ilivyokuwa wakati anasajiliwa, kuna mastaa wa zamani wa Simba na Yanga walioona kitu kikubwa kwake na kumpa mbinu za kung’ara. Katika nafasi ya beki wa kati anayocheza anashindania namba na Chamou Karaboue, Abdulrazack Hamza na Rushine De Reuck, jambo aliloshauriwa kupambana zaidi mazoezini ili…

Read More

Wapalestina na kumbukumbu ya miaka 76 ya Nakba – DW – 15.05.2024

Nakba, neno la Kiarabu linalomaanisha janga, ndilo lililotumika kuelezea masaibu ya Wapalestina kufurushwa kwa nguvu katika makaazi yao. Wapalestina 700,000 walifurushwa majumbani mwao wakati wa vita vya Israel na Waarabu mwaka 1948, vilivyofungua njia ya kuundwa rasmi dola la Israel. Baada ya vita hivyo, Israel ilikataa Wapalestina kurejea makwao, kwasababu hatua hiyo ingesababisha Wapalestina kuwa…

Read More

Ni vitu vidogo lakini vina maana katika ndoa

Canada. Leo, tutaanza na maswali ya kichokozi. Ni maswali yanayoweza kuonekana ya kawaida,  ila yanabeba mengi kuhusiana na siha au ugonjwa wa ndoa. Kuna vitu vinavyoweza kuonekana vidogo, visivyo vya maana hata kukera. Kama ukivichunguza uzuri, vina maana kubwa. Kwa mfano, mnaenda dukani mkiwa mmeshakubaliana na mwenza wako nini cha kununua. Hata hivyo, baada ya…

Read More

Mastaa Yanga wampa Ramovic kiburi

Dar es Salaam. Wakati Yanga ikibakiza siku moja kucheza mechi yake ya kwanza ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu, kocha wa timu hiyo Sead Ramovic amesema licha ya muda mfupi alionao kuelekea mchezo huo wa Jumanne, Novemba 26, 2024 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, amefurahishwa na uzoefu wa…

Read More

Bado Watatu – 26 | Mwanaspoti

NILIPOWAZA hivyo, nilipunguza mwendo zaidi, nikawa natupa macho huku na huku. Nikaona kulikuwa na pikipiki nyuma yangu. Niliona jamaa amempakiza mwenzake. Aliyempakia mwenzake alikuwa mwanaume, lakini sikuweza kuona aliyepakiwa alikuwa mwanaume au mwanamke. Nilitaka ile pikipiki inipite lakini ilikuwa ikienda mwendo wa taratibu. Nikakata kushoto ambako kulikuwa na barabara ya mchanga. Sasa makaburi yalikuwa kulia…

Read More

Yanga, Simba zavutana mashati kwa Mpanzu, iko hivi!

WAKATI winga Mkongomani, Elie Mpanzu, alitarajiwa kutua usiku wa jana nchini ikielezwa kwa ajili ya kumalizana na Simba, inaelezwa mabosi wa Yanga nao wamejitosa kwa nyota huyo. Hii yote ni safari nzito ya maandalizi ya dirisha dogo na kama ulidhani ni mapema basi umekosea, kwani Watani huko wameshaanza kuliamsha mapema. Iko hivi. Mwanaspoti iliwahi kuripoti…

Read More

Sauti zisizo na wasiwasi juu ya kusimamishwa kwa Ugiriki kwa matumizi ya hifadhi – maswala ya ulimwengu

Hatua hiyo, ambayo inajadiliwa kwa sasa katika Bunge la Uigiriki, ingesimamisha usajili wa hifadhi kwa miezi mitatu na kuruhusu kurudi kwa waliofika wapya bila kukagua madai yao. Inafuatia kuongezeka kwa hivi karibuni kwa kutua kwenye visiwa vya kusini vya Gavdos na Krete. Wakati wa kukubali shida ya kusimamia waliofika, UNHCR Alisema hatua kama hizo lazima…

Read More

SEKTA YA NISHATI YACHANGIA ASILIMIA 14.4 YA PATO LA TAIFA

 Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika kipindi cha kati ya mwaka 2015 hadi 2025. Kapinga ameyasema hayo wakati akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mipango na Uwekezaji Bungeni Jijini Dodoma.  “Mheshimiwa Mwenyekiti ukiangalia kwa tathmini…

Read More