Ahadi tata za wagombea zawaibua wasomi

Dar es Salaam. Wakati kampeni za vyama vya siasa zikizidi kupamba moto nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wasomi wamebaini pengo kati ya ahadi zinazotolewa na baadhi ya wagombea na uwezekano wa kutekelezeka. Pengo hilo limewafanya wanataaluma hao kuona haja ya kufanya mdahalo  Septemba 28, 2025 jijini Dar es Salaam utakaovikutanisha vyama vya siasa,…

Read More

Kriketi Tanzania yapania Kombe la Dunia T20

TIMU ya Taifa ya Kriketi ya Tanzania, imeanza mkakati wa kuitafuta tiketi ya kucheza kombe la dunia ya mizunguko 20 (T20) inayoanza mwishoni wa juma, mjini Windhoek, Namibia. Tanzania iliibuka na ubingwa wa michuano ya kumbukumbu ya Kwibuka nchini Rwanda, baada ya kuifunga Zimbabwe katika fainali, huku Uganda ikishika nafasi ya tatu. Ikiwa na wachezaji…

Read More

MUHIMBILI YAANDIKA REKODI YA KWANZA AFRIKA MASHARIKI, WATOTO 103 WAPANDIKIZWA VIFAA VYA KUSAIDIA KUSIKIA

Katika kutekeleza azma ya mageuzi katika sekta ya afya nchini, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeweka historia kwa kuwa taasisi ya kwanza Afrika Mashariki kufanikisha upandikizaji wa vifaa vya kusaidia kusikia (cochlear implant) kwa watoto 103 ambapo hatua hiyo imeshuhudiwa leo Septemba 29, 2025, baada zoezi la vifaa 16 kuwashwa rasmi kwa watoto waliokuwa wakisumbuliwa…

Read More

Tofauti za kihisia kati ya wanawake na wanaume

Dar es Salaam. Mijadala kuhusu tofauti kati ya wanawake na wanaume imekuwepo kwa muda mrefu, lakini mijadala inayohusu hisia na mawasiliano imekuwa nyeti zaidi kwa sababu inagusa maisha ya kila siku kama ndoa, uhusiano wa kimapenzi, familia na hata sehemu za kazi. Mara nyingi migogoro hutokea si kwa sababu ya kukosa upendo au heshima, bali…

Read More

MGOMBEA URAIS UDP KUIPATIA CHATO MKOA MPYA

Mgombea urais kupitia chama cha UDP, Saum Rashid, akiomba kura kwa wananchi wa wilaya ya Chato. Wananchi wakiendelea kusikiliza sera za mgombea urais kupitia chama cha UDP …………… MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha United Democratic party (UDP), Saum Rashid, ameahidi kuipandisha hadhi wilaya ya Chato kuwa mkoa mpya iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya…

Read More

Manula arejea Stars Gamondi akiita 25

KOCHA wa Taifa Stars, Miguel Gamondi ametangaza kikosi cha wachezaji 25 akiwemo kipa Aishi Manula wa Azam kujiandaa na michezo miwili ya FIFA Series 2026 ambayo itachezwa Kigali nchini Rwanda. FIFA Series ambayo imekuwa ikifanyika katika kipindi cha kalenda ya FIFA, Machi 26, 2026 Taifa Stars itacheza dhidi ya Liechtenstein kwenye Uwanja wa Kigali Pelé…

Read More