
Msipeleke watoto vilabuni, Jeshi la Polisi laonya
Iringa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewaonya wazazi na walezi kuacha tabia ya kuwapeleka watoto kwenye vilabu vya usiku, likieleza kuwa maeneo hayo yanachochea mmomonyoko wa maadili na kuwaweka watoto katika hatari ya ukatili wa kijinsia na kiafya. Onyo hilo limetolewa Agosti 28, 2025 na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa…