MHE. MCHENGERWA AZINDUA KAMPENI ZA UDIWANI MSASANI, MWANANYAMALA. AMWOMBEA KURA RAIS SAMIA
Na Mwandishi Wetu Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM kuipitia Mkoa wa Pwani, na Waziri wa TAMISEMI, Mhe Mohamed Mchengerwa amewaomba watanzania kumpigia kura zote za ndiyo Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa amefanya kazi kubwa ya kuwaletea watanzania maendeleo. Mhe. Mchengerwa ametoa rai hiyo leo alipokuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni za udiwani…
Nani Kuibuka Kidedea EPL? – Global Publishers
Katika kuendelea kuhakikisha kuwa Meridianbet haikuachi hivi hivi, Jumatatu ya leo wameamua kukupatia ODDS za kibabe kwenye mechi zote za leo. Nani kuondoka na ushindi leo?. Tandika jamvi lako na ushinde sasa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea Athletic Bilbao atamenyana vikali dhidi ya Rayo Vallecano ambao mechi iliyopita walishinda, huku mwenyeji wao akishinda pia. Hivyo…
Wafanyikazi wa Afya na Msaada Wanaolenga Migogoro Ulimwenguni Pote, Shirika la UN linasema – Maswala ya Ulimwenguni
Mashambulio dhidi ya vituo vya afya viliongezeka mara mbili kati ya 2023 na 2024, na zaidi ya wafanyikazi wa afya 900 waliuawa mwaka jana, shirika hilo liliripoti. Wafanyikazi wa misaada ya kibinadamu pia waliuawa kwa idadi ya rekodi mnamo 2024. Bado, 2025 inazidi hata takwimu hizi za giza wakati ambao ufadhili wa kazi ya kibinadamu…
Serikali kuendelea kupeleka wanafunzi nje kusomea AI
Dar es Salaam. Katika wakati ambao dunia inaingia kwa kasi katika mapinduzi ya teknolojia ya akili unde, Serikali imebainisha kuwa itachukua hatua za makusudi kuhakikisha Tanzania haibaki nyuma katika ushindani wa maarifa na teknolojia. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda amesema Serikali imeanza kampeni ya kuandaa wataalamu wa teknolojia hizo kwa kuwapeleka wanafunzi…
ADA COTTRELL FOUNDATION YATOA MSAADA NUNGWI-ZANZIBAR
Na Mwandishi Wetu Taasisi ya ADA COTTRELL FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya (LDF) Labayka Development Foundation imetoa mahitaji kwa Watoto wanaishi mazingira magumu katika kata ya Nungwi Wilaya ya Kaskazin A, Mkoa wa Kaskazini Unguja – Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurungezi Mwakilishi wa Taasisi ya Ada Cotterll Foundation Shedrack Albert amesema ugawaji…
Benchikha afungua ‘CODE’ za beki Simba
SIMBA imerudi mazoezini ikiendelea kujipanga hapa nchini, lakini kuna kocha mmoja aliyewahi kuinoa timu hiyo ameshtuka aliposikia usajili wa mido mmoja akisema pale Msimbazi wamepata kamanda matata uwanjani. Kocha aliyezungumza hayo ni Abdelhak Benchikha, ameshtuka kusikia kiungo Alassane Kante amesajiliwa na timu hiyo kisha akakumbuka fasta ilikuwa afanye kazi na Msenegali huyo akiwa Misri. Benchikha…
Jesca Magufuli alivyogeuka turufu kwa CCM Kanda ya Ziwa
Dar/mikoani. Moja ya matukio yaliyoibua shangwe katika mikutano ya mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi katika Kanda ya Ziwa, ni uwepo wa Jesca Magufuli ambaye ni mgombea wa viti maalumu kupitia kundi la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM). Huyu ni mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano, hayati…
DKT. YONAZI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA WA TACAIDS DKT. MRISHO
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Dkt. Adam Joseph Mrisho ambaye amefika kujitambulisha baada ya kuteuliwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Mastaa Pamba Jiji wamkosha Baraza, kujipima na Fountain Gate kesho
BAADA ya mazoezi ya wiki zaidi ya tatu, kikosi cha Pamba Jiji kesho Jumanne Agosti 26, 2025 kinatarajia kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate huku kocha Francis Baraza akiweka wazi kuwa anazingatia utimamu sio mabao ya kufunga au kufungwa. Akizungumza na Mwanaspoti, Baraza amesema maandalizi yanaenda vizuri na timu hiyo imefikia asilimia 80 ya ubora…