Nani Kuibuka Kidedea EPL? – Global Publishers

Katika kuendelea kuhakikisha kuwa Meridianbet haikuachi hivi hivi, Jumatatu ya leo wameamua kukupatia ODDS za kibabe kwenye mechi zote za leo. Nani kuondoka na ushindi leo?. Tandika jamvi lako na ushinde sasa. LALIGA kule Hispania inatarajiwa kuendelea Athletic Bilbao atamenyana vikali dhidi ya Rayo Vallecano ambao mechi iliyopita walishinda, huku mwenyeji wao akishinda pia. Hivyo…

Read More

Wafanyikazi wa Afya na Msaada Wanaolenga Migogoro Ulimwenguni Pote, Shirika la UN linasema – Maswala ya Ulimwenguni

Mashambulio dhidi ya vituo vya afya viliongezeka mara mbili kati ya 2023 na 2024, na zaidi ya wafanyikazi wa afya 900 waliuawa mwaka jana, shirika hilo liliripoti. Wafanyikazi wa misaada ya kibinadamu pia waliuawa kwa idadi ya rekodi mnamo 2024. Bado, 2025 inazidi hata takwimu hizi za giza wakati ambao ufadhili wa kazi ya kibinadamu…

Read More

Serikali kuendelea kupeleka  wanafunzi nje kusomea AI

Dar es Salaam. Katika wakati ambao dunia inaingia kwa kasi katika mapinduzi ya teknolojia ya akili unde, Serikali imebainisha kuwa itachukua hatua za makusudi kuhakikisha Tanzania haibaki nyuma katika ushindani wa maarifa na teknolojia. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda amesema Serikali imeanza kampeni ya kuandaa wataalamu wa teknolojia hizo kwa kuwapeleka wanafunzi…

Read More

ADA COTTRELL FOUNDATION YATOA MSAADA NUNGWI-ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu Taasisi ya ADA COTTRELL FOUNDATION kwa kushirikiana na Taasisi ya (LDF) Labayka Development Foundation imetoa mahitaji kwa Watoto wanaishi mazingira magumu katika kata ya Nungwi Wilaya ya Kaskazin A, Mkoa wa Kaskazini Unguja – Zanzibar. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurungezi Mwakilishi wa Taasisi ya Ada Cotterll Foundation Shedrack Albert amesema ugawaji…

Read More

Benchikha afungua ‘CODE’ za beki Simba

SIMBA imerudi mazoezini ikiendelea kujipanga hapa nchini, lakini kuna kocha mmoja aliyewahi kuinoa timu hiyo ameshtuka aliposikia usajili wa mido mmoja akisema pale Msimbazi wamepata kamanda matata uwanjani. Kocha aliyezungumza hayo ni Abdelhak Benchikha, ameshtuka kusikia kiungo Alassane Kante amesajiliwa na timu hiyo kisha akakumbuka fasta ilikuwa afanye kazi na Msenegali huyo akiwa Misri. Benchikha…

Read More