
VITONGOJI 1,997 SAWA NA 88.4% VIMEPATIWA HUDUMA YA UMEME KILIMANJARO
Vijiji vyote 519 vimepata huduma ya umeme Kilimanjaro Bilioni 32.7 yawezesha utekelezaji miradi ya REA Kilimanjaro Kilimanjaro Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ameeleza kuwa jumla ya vitongoji 1,997 sawa na asilimia 88.4 kati ya vitongoji 2,260 vimeshapatiwa huduma ya umeme kupitia miradi ya Wakala wa Nishati…