Hekaheka kimbunga Chido kikiacha balaa Mayotte, Msumbiji

Dar es Salaam. Watu 34 wameripotiwa kufariki dunia Msumbiji baada ya Kimbunga kilichopewa jina la Chido kuipiga nchi hiyo. Mbali na maafa hayo, inaelezwa hadi kufikia jana Desemba 17, 2024, jumla ya watu 174,158 wameathiriwa wameathiriwa namna mbalimbali na wengine 319 kujeruhiwa. Kimbunga hicho kiliipiga Msumbiji tangu Jumapili, Shirika la Umoja wa Mataifa la misaada…

Read More

Mtihani kesi ya Trump akisubiri kuapishwa

Wakati Rais mteule wa Marekani, Donald Trump akisubiri kuapishwa Januari 20, mwaka huu, bado anakabiliwa na uwezekano wa kuhukumiwa wiki hii kwenye kesi yake ya kumlipa kahaba, baada ya jaji kukataa kusitisha hukumu yake licha ya mawakili wake kukata rufaa. Katika kesi hiyo, Trump anatuhumiwa kumlipa Stormy Daniels ili kumziba mdomo kuhusu kuwapo kwa uhusiano…

Read More

WAZIRI KIJAJI ABAINISHA MIKAKATI YA MAZINGIRA

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imejipanga kujenga kituo cha kurejeleza taka za plastiki pamoja na kuhifadhi na kuchambua taka ngumu kwa ajili ya kutumika kama malighafi ya viwanda. Kituo hicho kitakachojengwa katika Jiji la Dodoma kitasaidia ukusanyaji wa taka kutoka dampo kwa ajili ya kuchakatwa hatua itakayosaidia kulinda mazingira. Waziri wa Nchi…

Read More

Ecua deal done! Hersi athibitisha

MASHABIKI wa Yanga wana uhakika wa kutamba sasa, baada ya klabu yao kujihakikishia dili la kumnasa mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Celestin Ecua ambaye atasaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo. Uhakika wa Yanga unatokana na bosi wao injinia Hersi Said kufanya umafia kuiwahi saini ya mshambuliaji huyo mwenye kasi akimalizana na klabu yake….

Read More

Yanga yaichapa Silver Strikers, yafuzu makundi kibabe

MABAO mawili ya kipindi cha kwanza kutoka kwa nahodha msaidizi, Dickson Job na Pacome Zouzoua, yameifanya Yanga kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiiondosha Silver Strikers ya Malawi. Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika iliyochezwa leo Oktoba 25, 2025 kwenye Uwanja wa…

Read More

Uru Shimbwe walia ubovu wa barabara

Moshi. Wananchi wa Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara ya Mamboleo – Shimbwe, hali ambayo imekuwa ikiwapa changamoto kubwa ya usafiri na usafirishaji wa bidhaa mbalimbali kwenda masokoni kipindi cha mvua. Wananchi hao wanaojishughulisha na kilimo cha ndizi, viazi pamoja na matunda kama  pasheni, parachichi na…

Read More