DK.ASHA-ROSE MIGIRO AAHIDI CCM KUFANYA KAMPENI ZA KISTAARABU UCHAGUZI MKUU

Na Mwandishi Wetu,Ngerengere KATIBU Mkuu wa Chama Cua Mapinduzi(CCM) Balozi Dk.Asha -Rose Migiro amewahakikishia Watanzania kuwa Chama hicho kimejipanga kuhakikisha kinafanya kampeni za kistaarabu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29 mwaka huu. Balozi Dk.Migiro amesema hayo Agosti 29,2025 katika Uwanja wa Njia Nne uliopo Kata ya Ngerengere mkoani Morogoro wakati wa mkutano wa kampeni…

Read More

Gavana aliyegoma kufutwa kazi amburuta Trump mahakamani

New York. Gavana wa Benki Kuu ya  Marekani, Lisa Cook amemshitaki Rais Donald Trump, baada ya kutangaza kumfuta kazi. Tangu aingie madarakani muhula wa pili, Rais Trump amekuwa na utaratibu wa kuwafuta kazi watumishi tangu alipoingia madarakani mapema mwaka huu. Alimfukuza kazi Gwynne Wilcox, mwanamke wa kwanza Mweusi kuketi katika Bodi ya Kitaifa ya Mahusiano…

Read More

SERIKALI YAPUNGUZA KODI YA UINGIZAJI WA VITENGE NA KUTOA MSAMAHA WA KODI KWENYE GESI ILI KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Tv MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa, imekutana na wadau mbalimbali wakiwemo watumishi wa TRA, mawakala wa Forodha na wafanyabiashara mkoani Songwe na kuwapa elimu juu ya mabadiliko ya sheria za kodi kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Mkutano huo uliofanyika Agosti 28,2025 katika mpaka…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh36 milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More