Haji Mnoga kuwavaa Man City

BEKI wa Kitanzania, Haji Mnoga anayekipiga Salford City inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu, huko England anatarajiwa kuwavaa wababe wa Ligi Kuu ya England (EPL), Man City katika mechi ya Kombe la FA itakayopigwa Januari 11 mwakani. Nyota huyo kabla ya kujiunga na klabu hiyo ya Ligi Daraja la Tatu msimu huu, alipita Portsmouth, Aldershot Town…

Read More

Fadlu avujisha za Orlando, Tshabalala naye kumekucha

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amefichua ujumbe alioupokea kutoka kwa mmoja wa maofisa wa juu wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini baada ya kufuzu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hiyo imefuzu fainali mara ya kwanza tangu michuano hiyo ilipoasisiwa 2004 kwa kuunganishwa Kombe la CAF na la Washindi, na imepangwa kukutana na…

Read More

Wazazi, walezi chanzo watoto kujihusisha na ukatili

Dar es Salaam. Wazazi na walezi kutowajibika ipasavyo kwenye makuzi ya watoto kumetajwa kuwa miongoni mwa sababu za wao kukosa misingi mizuri ya ustawi na kusababisha kushamiri vitendo vya ukatili katika jamii. Mengine yametajwa kuwa ni kufanya matendo yasiyo na staha mbele ya watoto, ukali kupitiliza, kukosa elimu na kutotenga muda wa kuzungumza na watoto….

Read More

FCT YAIMARISHA ELIMU YA USHINDANI KWA WADAU MBEYA

BARAZA la Ushindani (FCT) jana Desemba 18, 2025, limeendesha semina ya elimu kwa wadau mkoani Mbeya kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu majukumu na huduma zinazotolewa na Baraza hilo. Semina hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na kufunguliwa na Katibu Tawala Msaidizi – Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoa wa…

Read More

Sh769.4 zilivyomaliza kero ya maji Sapiwi, Mwandama

Bariadi. Zaidi ya wakazi 6,865 wa vijiji vya Sapiwi na Mwandama katika halmashauri ya wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu,wameondokana na changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama baada ya mradi wa maji wa Sapiwi kukamilika. Mradi huo ambao umezinduliwa leo, Agosti 13,2025 wakati wa mbio za mwenge wa uhuru wilayani  hapa, umegharimu…

Read More

Mbunge asisitiza wabakaji, walawiti wahasiwe

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kilimanjaro, Shally Raymond amesisitiza pendekezo la muda mrefu la baadhi ya wabunge la kuhasiwa wanaume wanaopatikana na hatia ya ubakaji ama ulawiti kwa watoto. Mbunge Shally Raymond amesema hayo leo Jumatatu ya Aprili 29, 2024 wakati akichangia mjadala bungeni wa taarifa ya mpango na makadirio ya mapato na…

Read More