Haji Mnoga kuwavaa Man City
BEKI wa Kitanzania, Haji Mnoga anayekipiga Salford City inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu, huko England anatarajiwa kuwavaa wababe wa Ligi Kuu ya England (EPL), Man City katika mechi ya Kombe la FA itakayopigwa Januari 11 mwakani. Nyota huyo kabla ya kujiunga na klabu hiyo ya Ligi Daraja la Tatu msimu huu, alipita Portsmouth, Aldershot Town…