RAIS DKT.DKT. SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA UJUMBE WA TAASISI YA KIMATAIFA YA KEEP A CHILD ALIVE IKULU, JIJINI DAR ES SALAAM.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Keep a Child Alive, Antonio Ruiz-Giménez Jr. na Ujumbe wake pamoja na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation Bi. Doris Mollel, tarehe 1 Machi, 2026 Ikulu Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine mazungumzo hayo yalijikita…

Read More

MGOMBEA CCM KUIGEUZA BUSERESERE DUBAI YA TANZANIA

:::::::: SIKU moja baada ya kufanyika uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani 2025 katika wilaya ya Chato mkoani Geita, mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paschal Lutandula, ameahidi kuubadilisha mji mdogo wa Buseresere kuwa Dubai ya Tanzania iwapo atachaguliwa kuwa Mbunge. Kadhalika amemtaka aliyekuwa Mbunge…

Read More

    Haya yatamuepusha mtoto kuzaliwa na maradhi ya moyo

    Mwanza/Dar. Wakati takwimu zikionesha kuwa idadi ya watoto wanaozaliwa na magonjwa ya moyo ikiongezeka, watalaamu wa afya wametoa angalizo kwa wajawazito kuhakikisha wanapata virutubisho, kuepuka matumizi ya pombe na sigara kwa kuwa ndio vyanzo vikuu vinavyochangia maradhi hayo kwa watoto. Takwimu za kitaifa zinaonesha kuwa katika kila watoto 100 wanaozaliwa, wawili huwa na tatizo la…

    Read More

    Halmashauri za Mtwara zapewa neno upandaji miti

    Mtwara. Halmashauri tisa za Mkoa wa Mtwara zimetakiwa kuongeza kasi ya upandaji miti ili kufikia malengo ya Serikali ya kupanda zaidi ya miti milioni 1.5 kwa kila halmashauri, kufuatia utekelezaji usioridhisha ulioonekana mwaka 2025. Wito huo umetolewa baada ya mkoa huo kupanda miti milioni tano pekee mwaka jana, idadi inayotajwa kuwa ndogo kulinganisha na malengo…

    Read More

    WAZIRI ULEGA AWATAKA WANANCHI KUILINDA NCHI YAO

    Na Mwandishi Wetu  Mbunge wa Jimbo la Mkuranga na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amewataka wananchi wa Wilaya ya Mkuranga kuendelea kuilinda na kuitunza amani ya nchi.Ulega ameyasema hayo wakati wa futari iliyoandaliwa  kwa wananchi  wa Mkuranga pamoja na Watoto Yatima wa Wilaya hiyo ,amesema   mbezi mtukufu wa Ramadhan unatengeneza upendo na mshikamano wa taifa kwa…

    Read More

    Serikali yakata mishahara ya wabunge kutuliza waandamanaji

    Jakarta. Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, ametangaza kupunguza mishahara na baadhi ya marupurupu kwa wanasiasa wa taifa hilo, ikiwemo wabunge, ili kutuliza maandamano yanayoendelea nchini humo. Hatua hiyo inakuja kutokana na maandamano ya wiki kadhaa katika taifa hilo la Kusini-Mashariki mwa Asia, ukiwemo mji mkuu, Jakarta, ulioshuhudia mamia ya waandamanaji wanaoipinga serikali. Maandamano hayo yamesababisha…

    Read More

    AI ikitumika maabara, wataalamu wapewa angalizo

    Mwanza.  Chama cha Wataalamu wa Maabara za Afya Tanzania (MeLSAT) kimesema kimeanza kutumia teknolojia ya akili mnemba (AI) katika utekelezaji wa majukumu yake. Hata hivyo, kimesisitiza kuwa wataalamu wake hawawezi kupoteza ajira, bali wataendelea kuwa kiungo muhimu kuhakikisha huduma za afya zinatolewa kwa ufanisi. Akizungumza jijini Mwanza jana Septemba 25, 2025, katika kongamano la 38…

    Read More

    Ismail Mgunda hana presha Mashujaa

    BAADA ya mshambuliaji wa Mashujaa, Ismail Mgunda kurejea kucheza Ligi Kuu Bara amesema anatamani kutajwa katika orodha ya wafungaji wenye mabao mengi msimu unaoanza Septemba 17. Mgunda katikati ya msimu uliyopita aliondoka Mashujaa akiwa amefunga mabao mawili kwenda kujiunga na AS Vita ya DR Congo ambako hata hivyo hakufanikiwa kutimiza ndoto kwa kile alichokitaja ni…

    Read More