Dakika 50 za Evalisto Misri

MBONGO anayekipiga Port Fouad inayoshiriki Ligi daraja la pili Misri Oscar Evalisto amesema dakika 50 alizocheza akiwa na chama hilo jipya zimempa taswira ya namna gani anapaswa kuwania namba. Mshambuliaji huyo alijiunga na Fouad hivi karibuni akitokea Makadi FC inayoshiriki ligi daraja la tatu nchini humo na  msimu mmoja alioitumikia timu hiyo alifunga mabao matano…

Read More

Kipaumbele cha Wandiba Gunners FC

KOCHA mpya wa Gunners FC ya jijini Dodoma, Mathias Wandiba, amesema malengo makubwa aliyopewa na uongozi wa kikosi hicho ni kuhakikisha timu hiyo inabakia Ligi ya Championship, licha ya ushindani mkubwa uliopo na mwenendo pia usioridhisha. Akizungumza na Mwanaspoti, Wandiba, amesema anaijua vyema Ligi ya Championship kwa sababu sio mara ya kwanza kufundisha, ingawa, ili…

Read More

Said Jr ayataka mabao 20 IFC Malaysia

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania anayekipiga IFC Malaysia, Said Khamis ‘Said Jr’ amesema amebakiza mabao saba kufikisha malengo aliyojiwekea msimu huu. Chama la Mtanzania huyo liko nafasi ya tisa kwenye msimamo wa ligi na pointi 15, imecheza mechi 14 ikishinda nne, sare tatu na kupoteza mechi saba. Akizungumza na Mwanaspoti Said Jr amesema malengo yake msimu huu…

Read More

Prof. Mkumbo Apongeza Mchango wa CEOrt katika Kuendesha Mabadiliko ya Kiuchumi Tanzania

Mwenyekiti wa CEOrt–Roundtable of Tanzania, David Tarimo (kushoto), akimkaribisha Waziri wa Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo, kushiriki maadhimisho ya miaka 25 ya CEOrt yaliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo, ameipongeza CEO Roundtable of Tanzania (CEOrt) kwa mchango wake mkubwa…

Read More

Ceasiaa yaweka Mkakati raundi ya pili

KOCHA wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema baada ya kumaliza vibaya mzunguko wa kwanza, mipango na mkakati wa timu hiyo kwa sasa ni kufanya vizuri mechi zilizobakia. Hadi sasa Ceasiaa imekusanya pointi nane pekee kwenye mechi 10 ilizocheza ikiwa nafasi ya 10 kwenye msimamo wa ligi, ikishinda mechi mbili sare mbili na kupoteza sita. Akizungumza…

Read More

WAZIRI MKUU AHIMIZA MALEZI YA VIJANA KWA AJILI YA KUIMARISHA MAADILI NA MSHIKAMANO WA TAIFA

-Atoa tahadhari dhidi ya kuingiza mijadala ya kejeli katika masuala ya imani_ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amehimiza malezi bora ya watoto na vijana kama silaha muhimu ya kudumisha maadili, mshikamano na amani katika jamii, huku akitahadharisha dhidi ya wanaoingilia masuala ya imani, hatua ambayo inaweza kuhatarisha mshikamano wa Taifa. Akizungumza leo jumapili Februari 01,…

Read More

Haya ndiyo maisha mapya ya kidijitali kwa wanavyuo

Dar es Salaam. Vyuo vikuu vya leo si vile vya jana. Ukitembea katika viunga vya vyuo nchini, utaona wazi mabadiliko makubwa ya maisha ya mwanafunzi wa kizazi cha sasa, maarufu kama Generation Z (Gen Z). Simu janja imekuwa sehemu isiyotenganishwa na maisha ya mwanafunzi wa leo. Karibu wote masikioni wana ‘earphones’ au ‘earpods’, macho yakikodolea…

Read More

Abrahaman atwishwa zigo Transit Camp

KOCHA Mkuu wa Transit Camp, Shadrack Nsajigwa, amesema kuondoka kwa aliyekuwa mshambuliaji wa kikosi hicho, Adam Uledi ni pengo kubwa kutokana na ubora wake, ingawa usajili wa nyota, Abrahaman Mussa anaamini utaleta pia mabadiliko chanya. Uledi aliyeifungia Transit Camp mabao 11 msimu huu katika Ligi ya Championship, amekamilisha usajili wake wa kujiunga na KMC inayoshiriki…

Read More