Wanaodaiwa kughushi vibali vya silaha mambo bado

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya kughushi vibali vya kumiliki silaha inayowakabili watu tisa wakiwemo maofisa sita wa Jeshi la Polisi, upo hatua za mwisho kukamilika. Wakili wa Serikali, Clemence Kato, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Alhamisi Septemba 11, 2025 ilipofikishwa mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa. Wakili Kato ametoa maelezo hayo,…

Read More

El Mencho azikwa kwenye jeneza la dhahabu, ulinzi mkali

Mexico. Kiongozi wa genge la dawa za kulevya la Jalisco New Generation, Nemesio Oseguera Cervantes, maarufu El Mencho, amezikwa jana Jumatatu katika jeneza la dhahabu linalong’aa, likiwa limezungukwa na mashada makubwa ya maua na ulinzi mkali. Mazishi hayo yamevutia hisia mchanganyiko ya heshima, hofu na sintofahamu kwa wakazi wa jimbo la Jalisco. Jeneza hilo lilielezwa…

Read More

Kituo cha taarifa mwarobaini kero za wananchi Mbarali

Mbarali. Wananchi wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wameeleza matumaini yao baada ya Serikali kufungua Kituo cha Taarifa (Call centre), wakisema kitawasaidia kupunguza gharama za kusafiri umbali mrefu kuwasilisha kero na kupata ufumbuzi. Wakizungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti leo Jumamosi, Machi 7, 2026, katika Kata ya Igurusi, wamesema ujio wa mfumo huo utasaidia kuokoa muda…

Read More

Rais wa Shirikisho la Soka Kongo Afungwa Jela Maisha kwa Kashfa ya Fedha

shemeliezer shem March 11, 2026 0 Comments Jean-Guy Blaise Mayolas, Aliyekua Rais wa Shirikisho la soka Kongo Brazzaville (Kushoto), Gianni Infantino rais wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) Mahakama nchini Kongo Brazzaville imemkuta na hatia Rais wa Shirikisho la Soka la nchi hiyo, Jean-Guy Blaise Mayolas, kwa makosa makubwa ya kifedha yaliyohusisha utakatishaji…

Read More

TUME YA MADINI YA ONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI KWA VIJANA

………  Na Ester Maile, DODOMA  TUME ya Madini kupitia Wizara ya Madini itaendelea kushirikiana na kundi la vijana katika kuhakikisha rasilimali iliyopo inawanufaisha ipasavyo pamoja na Taifa kwa ujumla ambapo dhamira ya dhati ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha rasilimali hiyo inawanufaisha Watanzania hususan vijana. Hayo yamesemwa leo Machi 16,2026 jijini Dodoma na…

Read More

Barbara arudi Simba, Mo akijivua uenyekiti wa bodi

Simba imefanya mabadiliko makubwa ya Bodi ya Wakurugenzi baada ya mwekezaji Mohammed Dewji ‘MO’ akijiweka kando, huku akimteua Crescentius Magori kuchukua nafasi hiyo, ilihali CEO wa zamani wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez akirejea klabuni. Mabadiliko hayo ambayo yametangazwa dakika chache zilizopita, MO mbali na Magori aliyewahi kuwa, Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo na mshauri wa…

Read More