KANISA LA UFUFUO NA UZIMA LAFUNGIWA

Msajili wa Jumuiya za Kiraia Emmanuel R. M. Kihampa ametoa taarifa ya kufungwa kwa shughuli za kanisa la Glory of Christ Tanzania Church maarufu kama Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima. Katika taarifa yake Kihampa ameandika; “katika siku za hivi karibuni, kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, umeonekana ukiwa…

Read More

Rais mstaafu Botswana aburuzwa kizimbani

  RAIS wa zamani wa Botswana, Ian Khama amerejea nchini bila kutarajiwa baada ya miaka mitatu ya kukaa uhamishoni, na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka yakiwemo ya kutakatisha fedha na kumiliki silaha kinyume cha sheria. GABORONE, Botswana. Mzee huyo mwenye umri wa miaka 71 alikuwa amedai hivi majuzi kulikuwa na njama ya kumtilia sumu ikiwa angekanyaga…

Read More

Kiini chatajwa sababu kuibuka maswali ripoti za CAG

Mbeya. Ukosefu wa taarifa sahihi za mapato na matumizi ya fedha zinazotolewa na Serikali kutekeleza miradi ya maendeleo ni sababu ya  sintofahamu na kuibuliwa hoja kwenye Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG). Kufuatia hatua hiyo wadau wa asasi za kiraia wamekuja na mikakati ya kushiriki kufuatilia taarifa za upatikanaji wa fedha…

Read More

Jumuiya ya Pasifiki Yaita Udharura wa Kupotea kwa Hali ya Hewa na Uharibifu wa Fedha kwa Mataifa ya Visiwa vya Frontline – Masuala ya Ulimwenguni

Nyumba iliyoharibiwa kutokana na mmomonyoko wa ardhi uliosababishwa na kupanda kwa kina cha bahari huko Tuvalu. Credit Hettie Sem/Pacific Community na Catherine Wilson (Sydney) Jumanne, Desemba 10, 2024 Inter Press Service SYDNEY, Des 10 (IPS) – Kuendeleza maendeleo ya Mfuko mpya wa Hasara na Uharibifu wa Hali ya Hewa ulikuwa wito muhimu wa mataifa ya…

Read More

Serikali kusambaza vitabu vya tuzo ya Mwalimu Nyerere

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dk Anneth Komba amesema Serikali inagharamia uchapishaji na usambazaji shuleni nakala za vitabu vitatu, vilivyoshinda tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya uandishi bunifu kwa mwaka 2024. Amebainisha hayo leo Novemba 18,2024 jijini hapa wakati wa hafla ya uzinduzi wa usambazaji wa vitabu hivyo…

Read More

Malima azindua mradi wa Alliance One wa nishati jua wa shilingi bilioni moja

Na Mwandishi Wetu,Morogoro Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima ameipongeza Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One kwa kuwa ya kwanza nchini kutumia nishati safi ya jua kwenye uchakataji tumbaku kiwandani, pamoja na matumizi mengine kwenye ofisi za kampuni hiyo yenye makao makuu yake eneo la Kingolwira Mkoani Morogoro. Ameyasema hayo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa mradi wa…

Read More

Burkina Faso yachomoa bao ‘jiooni’

Bao la dakika ya 90 lilifungwa na Aboubacar Troure wa Bukina Faso lilizima matumaini ya Harambee ya Kenya kushinda mchezo wa kwanza wa Kombe la Mapinduzi 2025 baada ya kutoka sare ya 1-1 katika pambano kali la michuano hiyo kwenye Uwanja wa Gombani, kisiwani hapa. Mchezo huo ambao ulipigwa juzi usiku na kuhudhuriwa na mashabiki…

Read More

2000 kushiriki Lake Zone International Marathon 2025 Mwanza

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA Zaidi ya washiriki 2000 wanatarajiwa kuchukua sehemu katika mbio za Kimataifa za Utalii Kanda ya Ziwa (Lake Zone International Marathon 2025) zitakazofanyika mkoani Mwanza.,kuhamasisha utalii na kuonesha fursa za uwekezaji zilizopo mkoani humu. Akizungumza na waandishi wa habari, jijini Mwanza, leo Mkurugenzi wa Kilimanjaro One Sports Promotion Ltd, Mohamed Hatibu, amesema…

Read More