Malumbano ya hoja kesi dhidi ya Lissu kuahirishwa

Dar es Salaam. Ombi la kuahirishwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu limeibua mvutano wa hoja za kisheria katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, huku mshtakiwa huyo anayejitetea mwenyewe akieleza azma ya kwenda Mahakama ya Rufaa kupinga Kanuni za Ulinzi wa Mashahidi za mwaka 2025. Mbali ya…

Read More

WARAGHIBISHI WAJENGEWA UWEZO KUCHOCHEA USAWA WA KIJINSIA

Na Deogratius Koyanga, Kondoa Zaidi ya Waraghibishi 30 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa (DC) na Halmashauri ya Mji wa Kondoa (TC) wamepata mafunzo kabambe ya siku nne yaliyolenga kuwajengea uwezo wa kuongoza mabadiliko katika jamii zao kwa mtazamo wa kijinsia. Mafunzo hayo yamefanyika katika Viwanja vya Riverside, Kondoa Mjini, yakiratibiwa na Mtandao wa Jinsia…

Read More

KATIBU MKUU WA NLD AZINDUA RASMI KAMPENI HANDENI, ATOA WITO KWA VIONGOZI VYAMA VA SIASA KUFANYA SIASA ZA KISTAARABU

Na Oscar Assenga,HANDENI. KATIBU Mkuu wa Chama cha NLD Doyo Hassan Doyo amezindua rasmi kampeni za wagombea wa chama hicho kuelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kata ya Kwedukwazu wilayani Handeni huku akitoa wito kwa viongozi wa chama hicho hapa nchini wafanye siasa za kistaarabu ambazo haziendi kutweza utu wa mtu. Uchaguzi huo unatarajiwa…

Read More

Maagizo ya Rais Samia TRA, wakwepa kodi moto waja

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji na watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kufanya kazi kwa uadilifu na kuepuka mazingira ya kuchochea rushwa na ukwepaji kodi. Amesema mtumishi yeyote anayejihusisha na vitendo hivyo visivyofaa kwa maendeleo ya nchi hana budi kufuatiliwa na kushughulikiwa. Ameagiza uongozi wa mamlaka hiyo kufuatilia mienendo hiyo…

Read More

Haya hapa majina waliochaguliwa kujiunga Polisi

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limetangaza majina ya vijana waliochaguliwa kujiunga na jeshi hilo pamoja na tarehe ya kuripoti shuleni. Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Jumatatu Septemba 23, 2024 inasema majina ya waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti kuanzia Septemba 30, 2024. “Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana wote waliochaguliwa kujiunga na Jeshi…

Read More

Athari za unyanyasaji kwa mjamzito na mtoto atakayezaliwa

Dar es Salaam. Katika kuelekea siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, jarida hili linaangazia athari za kiafya kwa mjamzito aliyepitia na anayepitia unyanyasaji wa kijinsia kwa mwenza wake pamoja na wale wanaobakwa au mimba kukataliwa. Unyanyasaji wa kijinsia (GBV) unarejelea vitisho au vitendo vyenye madhara vinavyoelekezwa kwa mtu binafsi au kikundi kulingana na jinsia…

Read More

Yanga yaitisha Simba kwa Inonga, mkanda mzima upo hivi

HENOCK Inonga ameomba udhuru aende Ufaransa kupumzika, lakini kuna machale yanawacheza viongozi wa Simba juu ya uamuzi wa beki huyo kufosi kuondoka hasa wakikumbuka awali kabla ya kutua Msimbazi ilibaki kidogo atue Jangwani. Mkongomani huyo ameomba kuondoka licha ya kwamba ana mkataba wa mwaka mmoja huku klabu inayohusishwa nae ikiwa ni FAR Rabat ya Morocco,…

Read More