
CPA. Makalla ataka wafugaji Longido wajitenge na fitna za wanasiasa
Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia kwa Katibu wake wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA. Amos Makalla ameitoa hofu Jamii ya Wafugaji kwamba Serikali haina mpango wa kuwaondoa kwenye maeneo yao, huku akitaka Ijitenge na Fitna zinazosambazwa na Wanasiasa. CPA. Makalla ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Jamii hiyo akiwa katika Kata ya Mundarara iliyopo…