Heche adai kuzuiwa kufanya mkutano Mbeya, Polisi wakanusha

Mbeya. Mkutano wa Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche uliokuwa ufanyike Kata ya Mabadaga Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya umeshindwa kufanyika baada ya kudaiwa kuzuiwa na Jeshi la Polisi. Hata hivyo Jeshi hilo limefafanua kuwa mkutano na vikao vya chama hicho havikuwatolewa taarifa kama taratibu zinavyoelekeza. Heche pamoja na…

Read More

Mastaa Yanga wampa presha kocha Angola

WALE wapinzani wa Yanga, Waliete Benguela, wanaendelea kujipanga kabla ya kukutana na Yanga Septemba 19, lakini kocha mpya wa kikosi hicho amewataja mastaa wawili ambao wanampa presha. Yanga ikimaliza sherehe za kilele cha wiki ya Mwananchi, itakuwa na akili ya kujipanga kwenda kukutana na Simba, kwenye mchezo wa ngao ya jamii, utakaopigwa Septemba 16, 2025….

Read More

‘Ni feitoto na mzize tu’

MSHAMBULIAJI wa Tanzania Prisons, Jeremiah Juma amesema kati ya wachezaji wazawa waliofanya vizuri kwa msimu huu ni Feisal Salum ‘Fei Toto’ anayeitumikia Azam. Mbali na Fei Toto, Juma pia amesema Clement Mzize wa Yanga naye amefanya kazi kubwa ikingatiwa ndiye kinara wa mabao kwa wazawa. Msimu huu Fei Toto anaongoza kwa asisti akiwa nazo 13,…

Read More

Bocco awaaga Simba, mastaa watia neno

BAADA ya kudumu misimu saba ndani ya Simba, nahodha wa timu hiyo, John Bocco amewaaga mashabiki na mastaa wenzake wa timu hiyo kwa kuweka wazi kuwa huu ndiyo mwisho wake wa kuonekana ndani ya kikosi hicho akicheza. Bocco kupitia mtandao wake wa kijamii ameandika: “First and Last thanks Lion” akiwa na maana kwamba ni mwanzo…

Read More

BIL 1.9 ZIMETUMIKA MATENGENEZO BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA EL-NINO MKOANI SHINYANGA-ENG JOEL

Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt samia Suluhu Hassan imetoa fedha shilingi Bilioni 1.9 kwa ajili ya kushughulikia barabara zilizoathiriwa na Mafuriko/mvua za Elnino kwa Mkoa wa Shinyanga. Fedha hizo zimetumika kuhakikisha kuwa miundombinu yote ya barabara iliyoathirika na wananchi kushindwa kutoka eneo moja kwenda jingine inapitika kwa haraka…

Read More

Chumvi inavyochochea shinikizo la juu la damu

Dar es Salaam. Iwapo unataka kuepuka shinikizo la juu la damu na maradhi yanayoambatana na ugonjwa huo, wataalamu wameeleza mambo matano mtu unayopaswa kuyafuata kuepuka tatizo hilo wanalolitaja ni ‘muuaji msiri.’ Mambo ya kuzingatia ni ulaji wa chumvi iliyopikwa pamoja na kupunguza matumizi makubwa ya bidhaa hiyo. Mwili wa binadamu unahitaji chumvi, kutokana na bidhaa…

Read More

 Simbachawene amjibu Mpina | Mwananchi

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amemshukia mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akimtaka kutodharauliana. Simbachawene amesema hayo leo Aprili 19, 2024 alipojibu hoja za wabunge walizotoa walipochangia bajeti ya ofisi yake kwa mwaka wa fedha 2024/25. Amesema nchi ambayo Mpina anasema imefeli inawezaje kutekeleza…

Read More