KITI CHA URAIS ZANZIBAR: Ahadi za watiania na kipimo cha vilio, kero kwa wananchi
Dar es Salaam. Safari ya kuomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika uchaguzi visiwani Zanzibar haikuwahi kuisha ahadi, zikiwamo zenye vituko na mbwembwe ndani yake. Ukiacha ile ya kuwanunulia wanahabari pikipiki za magurudumu matatu ‘bajaji’ kutoka India iliyotolewa katika uchaguzi wa mwaka 2020, sasa imeibuka nyingine ya ruhusa ya kilimo cha bangi ili kuukwamua uchumi wa…