
Heche adai kuzuiwa kufanya mkutano Mbeya, Polisi wakanusha
Mbeya. Mkutano wa Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche uliokuwa ufanyike Kata ya Mabadaga Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya umeshindwa kufanyika baada ya kudaiwa kuzuiwa na Jeshi la Polisi. Hata hivyo Jeshi hilo limefafanua kuwa mkutano na vikao vya chama hicho havikuwatolewa taarifa kama taratibu zinavyoelekeza. Heche pamoja na…