NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA AUSTRIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Austria anayeshughulikia masuala ya kisiasa, Mheshimiwa Balozi Dkt. Hannah Liko, amewasili nchini Machi 22, 2026 kwa ziara ya kikazi ya siku tatu inayolenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia, biashara na ushirikiano katika maeneo mbalimbali kati ya Tanzania na Austria. Akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,…