Dkt. Mwigulu Afanya Ukaguzi wa Mradi wa Stendi Kuu ya Mabasi Arusha
Global Publishers February 25, 2026 0 Comments WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba Februari 24, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi yaendayo Mikoani unaotekelezwa katika eneo la Bondeni City katika Halmashauri ya Jiji la Arusha. Mradi huo ambao utagharimu shilingi bilioni 14.3 una lengo la kuboresha miundombinu ya usafiri na…