TFF, TAKUKURU waanze na kiongozi KenGold

HIVI karibuni wakati tunasikiliza kipindi cha michezo cha kituo fulani hivi cha redio, kiongozi mmoja wa KenGold ya Mbeya akatoa tuhuma nzito za rushwa kwa baadhi ya maofisa na wachezaji wake. Akasema kuna timu ya Ligi Kuu iliwahonga baadhi ya wachezaji wake ili wacheze chini ya kiwango na wapinzani wao wapate ushindi kirahisi katika mechi…

Read More

TAMTHILIA YA NICE TO MEET YAMDONDOSHA TUSA MSIMU WA PILI

WADAU wa Filamu nchini wanapaswa Kupewa moyo kwa Watayarishaji kuhakikisha wanatengeneza Kazi zenye Viwango na weledi ili kuendelea kulipa hadhi soko la filamu Kimataifa na Kunyanyua vipaji mbalimbali. Akizungumza kauli hiyo Msanii chipukizi ambae pia ni ingizo jipya Munirah pendeza marufuku kama Tusa ndani ya filamu ya “Nice to Meet you “amesema Kwa sasa Wadau…

Read More

Mgaza miwili tena Dodoma Jiji

MABOSI wa Dodoma Jiji, wamemalizana na mshambuliaji wao, Yassin Mgaza kwa kumuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi msimu wa 2026-2027. Mshambuliaji huyo alijiunga na Dodoma jiji Julai 2023 akitokea KMKM ya Zanzibar, ambapo alisaini mkataba wa miaka miwili ambao umefikia ukingoni msimu huu. Umuhimu wake kikosini hapo umempa ulaji mpya. Chanzo cha kuaminika…

Read More

USHIRIKA NGUZO YA MAENDELEO “RC MALIMA

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mh. Adam Kigoma Malima, amesema ushirika ni nyenzo muhimu ya maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii na kisiasa, na kwamba vyama vya ushirika vina mchango mkubwa katika kukuza pato la taifa kupitia shughuli za uzalishaji. Akizungumza kwenye Jukwaa la Vyama vya Ushirika lililofanyika Mei 15, 2025, mkoani Morogoro, Mh. Malima…

Read More

Mkutano wa Doha utawezesha kuizima Israel?

Doha. Linaweza kuwa swali la kizushi. Je, mkutano wa dharura uliokutananisha mataifa ya Kiarabu na Kiislamu Doha nchini Qatar unaweza kudhoofisha ubabe wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu. Ni mkutano uliokuwa chini ya uenyekiti wa Amiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani baada ya Israel kuishambulia Doha wiki moja iliyopita na kusababisha…

Read More