Zamu ya Mtwara kampeni za Samia leo

Mtwara. Baada ya kufanya kampeni katika mikoa 13, mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuingia katika Mkoa wa Mtwara kunadi sera za chama hicho akiomba ridhaa ya kuchaguliwa tena kuwa Rais wa Tanzania. Tangu chama hicho kizindue kampeni zake za uchaguzi Agosti 28, 2025 jijini Dar es…

Read More

Minja kukabili uhaba wa dawa akikinadi Chaumma Jimbo la Hai

Hai. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devota Minja ameahidi chama chake kitatua changamoto ya upatikanaji wa dawa katika hospitali na vituo vya afya nchini, ikiwamo katika Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro, kama kitapatiwa ridhaa ya kuongoza nchi. Akizungumza leo Jumanne Septemba 23, 2025  na wakazi wa Bomang’ombe katika mkutano…

Read More

Aliyekataa penalti ya Yanga vs Azam, Singida BS vs Simba wafungiwa

WAAMUZI Hussein Katanga kutoka Tabora na Ally Mnyupe wa Morogoro, wamekumbana na adhabu za kufungiwa kutokana na makosa yaliyotokea kwenye michezo waliyochezesha. Waamuzi hao wawili wamefungiwa kwa mizunguko mitatu kufuatia Kamati ya Usimamizi wa Ligi kuwakuta na hatia kutokana na kushindwa kufanya uamuzi sahihi kwenye matukio mawili tofauti yanahohusisha penalti, yaliyotokea kwenye michezo miwili tofauti….

Read More

Jiji la Arusha kuanzisha Mahakama maalumu ya kodi

Arusha. Halmashauri ya Jiji la Arusha imepanga kuanzisha Mahakama Maalumu ya Jiji, itakayoshughulikia kesi za walipa kodi na ushuru wanaokwepa au kukwamisha ukusanyaji wa mapato, ili kuharakisha uendeshaji wa mashauri na kuongeza ufanisi wa mapato ya ndani. Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, John Kayombo, amesema hayo jana Jumamosi, Agosti 30, 2025, katika hafla ya kuwapongeza…

Read More

Meridianbet Yaja Na Dhamira ya Ushindi Mechi Za Jumatatu

JUMATATU hii, viwanja vya soka barani Ulaya vinageuka majukwaa ya burudani na ushindani mkali, huku mashabiki wakijiandaa kushuhudia mechi nne za kuvutia kutoka EPL, La Liga na Serie A. Kwa wale wanaopenda kubashiri kwa maarifa, Meridianbet imeweka mazingira ya ushindi kuwa ya kuvutia zaidi kuliko kawaida, odds kubwa na machaguo tele kwa kila dakika ya…

Read More