Uchaguzi Mkuu 2025: Musukuma alipuka bungeni

Dodoma. Homa ya uchaguzi imeendelea kutanda bungeni ambapo Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma ameshauri watumishi wa umma wanaotaka kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, wafanyiwe ukaguzi maalumu ili kuepuka Bunge kuwa sehemu ya vichaka vya kujificha watu wasio waadilifu. Musukuma ametoa angalizo hilo kipindi ambacho vuguvugu la uchaguzi katika majimbo limepamba…

Read More

Pigo lingine Simba | Mwanaspoti

SIMBA itakuwa uwanjani leo Jumatano kwa mara ya kwanza tangu itoke kambini Misri, lakini baada ya mshambuliaji Jonathan Sowah, kuna staa mwingine inaweza kumkosa mbele ya Yanga. Simba itamkosa Sowah kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga, lakini mashabiki wa timu…

Read More

Wasira: Tuchague watu wanaokubalika, wasiwe wapenda rushwa

Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewatahadharisha wanachama wa chama hicho kuchagua watu wanaokubalika lakini wasiwe wapenda rushwa. Wasira ametoa tahadhari hiyo jijini Dodoma leo Jumanne, Februari 4, 2025 alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Kongamano la Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) ambalo linakwenda sambamba na maandalizi ya miaka 48…

Read More

Sababu za kubadili sarafu katika mzunguko wa fedha

Katika mfumo wa uchumi wa sarafu kidunia (fiat money system), fedha zilizo katika mzunguko zinaweza kupitia mabadiliko kadhaa kutokana na mwenendo wa kiuchumi, matumizi ya kila siku, na jinsi zinavyohifadhiwa na watumiaji. Hivyo, kutokana na mambo haya, uimara, uthabiti, na thamani yake yanategemea pia hali hizo. Hivyo benki kuu kidunia, kama msimamizi wa mfumo wa…

Read More

Bangi yaendelea kuwa tishio katika dawa za kulevya

Dodoma. Bangi imeendelea kuwa tishio kati ya dawa kulevya ambazo zimekuwa zikikamatwa na Mamlaka ya Udhibiti wa dawa za kulevya.Katika kipindi cha 2024, tani 2,307.37 zilikamatwa na kati ya hizo, tani 2,303.2 ni bangi. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi ametoa takwimu hizo leo Jumatatu Juni 23, 2025…

Read More

Serikali kuwachukulia hatua wavamizi wa malisho ya mifugo

Manyara. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Ng’wasi Kamani, ameonya tabia ya baadhi ya wakulima na wafugaji kuendesha shughuli za kilimo katika maeneo maalumu yaliyotengwa kisheria kwa ajili ya malisho ya mifugo. Amesisitiza kuwa maeneo hayo ni rasilimali muhimu kwa ustawi wa sekta ya mifugo, hivyo ametoa wito kwa wadau wote kuyaheshimu na kuyatunza kwa…

Read More

“MSIGWA”BANDARI YA KWALA ITAPUNGUZA GHARAMA YA UCHELEWESHWAJI WA MIZIGO,KUIMARISHA MAZINGIRA KIBIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI

 Serikali ya Tanzania, kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), imewekeza katika ujenzi wa Bandari Kavu ya Kwala, mradi wa kimkakati unaolenga kuongeza ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam na kuifanya kuwa kitovu bora cha biashara kwa nchi jirani. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Machi 16, 2025, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa,…

Read More

KKKT: Serikali isikilize kilio cha wananchi

Dar es Salaam. Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), limetoa wito kwa Serikali kusikiliza na kushughulikia malalamiko ya wananchi kwa namna ya kujenga umoja wa kitaifa na utengamano wa kijamii. Mbali na hilo, Kanisa hilo limeitaka Serikali kuwatendea haki raia wote waliopoteza maisha au walioathiriwa katika maandamano yaliyozaa vurugu wakati na baada ya Uchaguzi…

Read More