Kardinali Rugambwa Aongoza Makardinali Kutolewa Heshima za Mwisho Mwili wa Pengo

Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, amewaongoza makardinali wenzake kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu Mwadhama Polycarp Pengo, aliyekuwa Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Katika tukio hili la kihistoria, Kardinali Rugambwa aliongozana na Fridolin Cardinal…

Read More

Mwenyekiti wa CCM Itilima afariki dunia

Simiyu. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, Mhuli Ngeleja amefariki Machi 18, 2026 huku CCM ikimtaja kama kiongozi shupavu na mwadilifu. Taarifa iliyotolewa leo Ijumaa Machi 20, 2026 na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenan Kihongosi, imeeleza kuwa chama kimepoteza kiongozi shupavu, mwadilifu na…

Read More

Mafuriko yakata barabara ya Ifakara – Mlimba

Kilombero. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Dunstan Kyobya amesema mvua kubwa iliyonyesha usiku wa Machi 24 imesababisha kukatika kwa barabara kuu ya Ifakara – Mlimba katika maeneo ya Mbingu, Chita na Njage, hali iliyosababisha magari, yakiwemo mabasi ya abiria kushindwa kupita. Akizungumza baada ya kukagua miundombinu ya barabara hiyo iliyoharibika leo Alhamisi Machi 26, 2026,…

Read More

Wananchi wa Ubungo wameridhika, wapo tayari kuichagua CCM

………………. Na: Mwandishi Wetu, Ubungo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mary Chatanda amesema wananchi wa Jimbo la Ubungo Jijini Dar es Salaam wamemuhakikishia kuwa Oktoba 29, 2025, watachagua wagombea wote watokanao na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani wameridhika na utekelezaji wa Ilani Jimboni hapo. Chatanda ameyasema hayo Septemba 29, 2025 , katika…

Read More

Singida alenga ushindi dhidi Mbeya City

BAADA ya kudondosha pointi sita katika mechi mbili Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga na Simba, kocha wa Singida Black Stars, David Ouma amewataka wachezaji wake kusahau matokeo hayo na kuelekeza nguvu katika mchezo dhidi ya Mbeya City. Ouma alisema licha ya kupoteza michezo hiyo migumu anaamini kikosi chake kilionyesha kiwango kizuri na kilistahili kupata…

Read More

DK.NCHIMBI AENDELEA KUINADI ILANI UCHAGUZI MKUU, KUOMBA KURA ZA KISHINDO KWA CCM

Na Mwandishi Wetu,Katavi MGOMBEA Mwenza wa Urais wa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ameendelea kunadi Ilani ya Chama hicho ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030,ambayo kimsingi imelenga kwenda kuboresha maisha ya wananchi na ustawi wa maendeleo katika miaka mitano ijayo. Dk.Nchimbi leo Septemba 9,2025 amewasili mkoani Katavi na kuhutubia wananchi katika Uwanja wa…

Read More

Lissu aigomea Mahakama kuendelea na kesi, atoa masharti

‎‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameigomea Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kuendelea na usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili, kwa madai ya wanachama na wafuasi wa chama hicho kufukuzwa mahakamani. Lissu ametoa madai hayo leo Jumanne Septemba 16, 2025 kabla ya kuanza  usikilizwaji wa sababu…

Read More

Necta yaonya kusambaza matokeo kwa majina ya watahiniwa

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limewaonya wale wote wanaohifadhi kuhifadhi, kuchapisha, kusambaza au kuonesha hadharani matokeo ya mtihani ya mtahiniwa, kwa kutumia jina lake au taarifa nyingine zozote zinazoweza kusababisha kumtambua mwanafunzi au mtahiniwa bila idhini yake. Kutumia taarifa binafsi zinazomtambulisha mtahiniwa bila kuwa na kibali,  kumetajwa kukiuka Sheria ya Ulinzi…

Read More