Profesa Mahalu afariki dunia, aacha historia

Dar es Salaam. Profesa wa sheria na mwanadiplomasia nguli, Profesa Costa Mahalu (77) amefariki dunia. Taarifa kutoka kwa familia yake imethibitisha Profesa Mahalu amefariki dunia leo katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) alikokuwa akipatiwa matibabu. Hadi anafariki dunia, Profesa Mahalu alikuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu St Augustine akiendelea kutoa elimu ya sheria. …

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA ATOA RAI VIJANA IRAMBA KUCHANGAMKIA FURSA ZILIZOPO

Na Said Mwishehe,Singida. MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu amesema moja ya ahadi ya Serikali kwa wananchi wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida ilikuwa ni uanzishwaji soko la madini ambalo limeshaanzishwa eneo la Shelui hivyo ametoa rai kwa  vijana kuchangamkia fursa. Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 10,2025 alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi…

Read More

Mwili wakutwa kwenye bwawa Kahama

Kahama.  Mwanamume ambaye hajafahamika jina wala makazi yake amekutwa amefariki dunia kwenye bwawa la maji lililopo Kata ya Nyihogo, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji  Wilaya ya Kahama,  Stanley Luhwago akizungumza leo Septemba mosi, 2025, amesema tukio hilo limetokea Agosti 31, 2025. Amesema walipokea taarifa kutoka kwa wananchi waliouona…

Read More

Yanga Soccer School kuanza kusaka mastaa kitaa

YANGA inaendelea na mikakati ya kuhakikisha mpira wa miguu hapa nchini unakua na kutengeneza vijana waliopitia njia sahihi za kulelewa katika misingi inayotakiwa ili kuzitimiza ndoto zao. Hivi karibuni, klabu hiyo ilitangaza programu ya Yanga Soccer School, ambapo awamu hii umeongezeka udhamini wa GSM Foundation ili kuwasaidia vijana wasiokuwa na uwezo kifedha lakini wana vipaji…

Read More

DK.SAMIA:HUWEZI KUSIKIA MTU CCM AKISEMA ‘TUKIWASHE’ LABDA KIWE KING’AMUZI CHA AZAM

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kasulu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan Chama kinachojali ustawi wa taifa letu la Tanzania usikii mtu kwenye Chama hicho akisema tukiwashe na kama wakisema tukiwashe labda kile king’amuzi cha Azam lakini siyo tukiwashe kwa fujo.  Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 13,2025 alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi…

Read More

Umuhimu wa kuisoma familia ya mtarajiwa

Kujua familia ya mwenza mtarajiwa ni jambo muhimu sana katika mchakato wa kujenga uhusiano imara wa ndoa. Familia ni nguzo muhimu katika maisha ya kila mtu, na mara nyingi inaathiri tabia, mitindo ya maisha, na maadili ya mtu. Kwa hiyo, ni muhimu kwa mpenzi kumfahamu vizuri familia ya mwenza wake mtarajiwa ili kuelewa mizizi yake,…

Read More