Watanzania mzigoni nusu fainali Ligi ya Mabingwa

JKT Queens inajiandaa kurejea nchini baada ya kung’olewa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa timu za wanawake (WCL), lakini kuna Watanzania wawili wanaokipiga klabu ya FC Masar ya Misri watakaokuwa uwanjani usiku wa leo katika mechi za nusu fainali. Wawakilishi hao wa Tanzania walipangwa Kundi B na kumaliza nafasi ya tatu ikitoka…

Read More

Tani 128 za dengu zakamatwa Hanang zikitoroshwa

Hanang. Tani 128 za dengu zilizokuwa zikisafirishwa kutokana wilayani Hanang mkoani Manyara kwenye Singida bila vibali vya stakabadhi ghalani zimekamatwa. Tukio hilo limetokea kwenye geti lililopo kata ya Gehandu mpakani mwa mikoa ya Mara, Singida ikiwa ni operesheni maalumu ya kukagua mazao yasiyopitishwa katika mfumo wa stakabadhi ghalani. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya…

Read More

Ajali Yaua Watu 6 Dodoma – Global Publishers

Watu sita wamefariki dunia na wengine 49 wamejeruhiwa baada ya ajali kutokea eneo la Chigongwe, Dodoma, usiku wa Machi 3, 2025. Ajali hiyo ilihusisha basi la AN Classic lenye namba za usajili T405 BYS, lililokuwa likielekea Kigoma, na lori lililoharibika barabarani bila alama za tahadhari. Mashuhuda wamesema mwendokasi wa basi huenda ulichangia…

Read More

KUMBUKUMBU YA MIAKA 17 YA KIFO CHA MZEE S. T. NATHAN

  Ni Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika 17 sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925 – 18/09/2007) ututangulie Mbele za haki kama ulivyotutangulia kuja duniani. Nimajonzi sana kwetu na pengo lako halijazibika hadi hivi leo. Unakumbukwa na wengi sana maana ulikuwa ni mhimili mkuu katika familia, kipekee unakunbukwa na Mke wako Mary…

Read More