Siku 407 bila kupatikana muuguzi wa KCMC aliyetoweka

Moshi. Ikiwa zimepita siku 407 tangu kutoweka kwa muuguzi wa idara ya masikio, pua na koo (ENT), Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini KCMC, Lenga Masunga Ng’hajabu (38) familia imesema bado hawajakata tamaa kumtafuta. Muuguzi huyo anadaiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha Julai 2, mwaka 2024, mtaa wa Rau Pangaleni, Wilaya ya Moshi, mkoani…

Read More

MATHIAS CANAL AUNGA MKONO JUHUDI ZA MBUNGE BASHUNGWA//ACHANGIA MIL 1 KWA AJILI YA MADAWATI S/M KIGASHA

Na Mwandishi Wetu,  Karagwe. Kufuatia juhudi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mhe Innocent Bashungwa katika kuimarisha sekta ya elimu ikiwemo ujenzi wa shule mpya ya msingi ya Kigasha, Mwandishi wa habari Ndg Mathias Canal amechangia Shilingi Milioni 1 kwa ajili ya madawati. Mathias amechangia madawati hayo mara baada ya kutembelea shule hiyo iliyopo…

Read More

Miguel Gamondi azuia dili la Maxi Nzengeli

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ni kama amefunga mjadala juu ya dili la Maxi Nzengeli anayetajwa kutakiwa na Kaizer Chiefs akisema hakuna mchezaji yeyote wa kikosi hicho atakayeondoka, huku akichekelea ushindani wa namba ulivyo mkali ndani ya timu hiyo iliyokuwa uwanjani jana jioni kucheza na TS Galaxy. Hapo awali kupita Mwanaspoti liliandika kuhusu nyota huyo…

Read More

Profesa Mabiki ataja mbinu ya kusaidia watoto kukuza udadisi

Morogoro. Profesa mbobevu wa kemia kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Ndaki ya Sayansi Asili na Tumizi, Faith Mabiki amesema ipo haja ya kuwashirikisha watoto kwenye matukio ya kisayansi ili kukuza udadisi wao. Amesema hilo litasaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wanaosoma masomo ya sayansi, ambayo watu huamini kuwa ni magumu. Profesa Mabiki amesema…

Read More

Waziri Ndejembe Mitata Janja za Umeme

NA MWANDISHI WETU WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi ya umeme moja kwa moja ikiwa ni mageuzi makubwa ya teknolojia yanayofanywa na TANESCO katika kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma kwa wateja. Ndejembi amezindua Mita janja hizo Disemba 05, 2025 katika…

Read More

Vyama vyajipa matumaini kuyafikia makundi yote kuelekea uchaguzi

Unguja. Wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikielekea ukingoni, vyama vya siasa vimeeleza namna vilivyoendesha kampeni na mipango ya siku za lala salama kuhakikisha vinaibuka kidedea. Hata hivyo, licha ya kuhakikisha vinakamilisha kampeni, vimeeleza changamoto kubwa viliyokutana nayo kuwa ni ukata, uliosababisha vishindwe kufanya mikutano mingi ya hadhara. Kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Uchaguzi…

Read More

Mabegi manne ya dawa zisizofaa yakamatwa uwanja wa ndege

Mamlaka ya Dawa na Chakula Zanzibar ZFDA imefanikiwa kukamata mabegi manne yenye Dawa za Matumizi ya Binadamu ambazo zinadaiwa kua sio salama kwa matumizi ya Binadamu dawa ambazo zimeingia kupitia uwanja wa ndege wa Abeid Amaan karume Airport (AAKIA) siku ya Jana Kaimu Mkurugenzi wa ZFDA amesema dawa hizo zimeingia kupitia ndege ya Ethiopia Airline…

Read More