SMZ yajifunga kitanzi upatikanaji umeme wa uhakika kwa wawekezaji
Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema inaendelea kuchukua hatua madhubuti kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa umeme wa uhakika visiwani humo, huku ikiahidi kuwa ifikapo mwaka 2028 tatizo hilo litakuwa historia. Hatua hiyo imekuja wakati Zanzibar ikiendelea kutegemea umeme unaosafirishwa kutoka Tanzania Bara kupitia nyaya za chini ya bahari, hali inayokabiliwa na changamoto kutokana…