SMZ yajifunga kitanzi upatikanaji umeme wa uhakika kwa wawekezaji

Unguja. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema inaendelea kuchukua hatua madhubuti kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa umeme wa uhakika visiwani humo, huku ikiahidi kuwa ifikapo mwaka 2028 tatizo hilo litakuwa historia. Hatua hiyo imekuja wakati Zanzibar ikiendelea kutegemea umeme unaosafirishwa kutoka Tanzania Bara kupitia nyaya za chini ya bahari, hali inayokabiliwa na changamoto kutokana…

Read More

Rais Mwinyi alivyowasili Unguja baada ya msiba wa kaka yake

Pemba. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameahirisha shughuli zake za kiserikali huko Pemba kutokana na taarifa za kifo cha kaka yake, Abbas Ali Mwinyi, aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Lumumba huko Unguja. Abbas ambaye alikuwa mbunge aliyemaliza muda wake na mgombea ubunge katika jimbo la Fuoni, amefariki dunia leo Septemba 25, 2025 wakati akipatiwa…

Read More

NIC Tanzania na Benki ya COOP Watia Saini Mkataba wa Ushirikiano wa Kimkakati Kupanua Upatikanaji wa Huduma za Bima

Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC) Limited imeingia makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Benki ya COOP Tanzania. Hafla rasmi ya kutiwa saini ilifanyika tarehe 10 Septemba katika Makao Makuu ya Benki ya COOP, Mtaa wa Kuu, Dodoma. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Kaimu Abdi Mkeyenge, Mkurugenzi Mtendaji wa NIC, alisema: > “Ushirikiano huu wa…

Read More

TPA yaja na mkakati wa soko la DRC

Dar es Salaam. Baada ya mkakati wa maboresho kuongeza ufanisi wa utendaji wake, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) sasa imegeukia kuyasaka masoko, ikianza na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). DRC inachangia zaidi ya asilimia 40 ya mizigo yote inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam, kwa mujibu wa ripoti ya TPA ya…

Read More

ADC yaahidi mapinduzi ya kilimo, mikopo, miundombinu na kodi

Simiyu. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaoa kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Mulumbe, ameahidi kujenga kiwanda cha vifaa tiba mkoani Simiyu kwa lengo la kuongeza thamani ya zao la pamba, endapo kitashinda katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza leo, Jumatano, Septemba 10, 2025, mjini Bariadi, Mulumbe amesema lengo la kiwanda…

Read More

Vijana 3,967 waomba fedha kuendeleza biashara zao

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imepokea maombi 3,967 kutoka kwa vijana wajasiriamali nchini kupitia mradi wake wa Go Green na Imbeju ili wapate mitaji ya kuendeleza mawazo yao ya kibunifu, huku mikoa 10 ikiwa kinara, ikiwemo Dar es Salaam na Mwanza. Programu hiyo ilizinduliwa Februari 12 mwaka huu ikiwa na lengo la kuwawezesha vijana…

Read More

Mchezo wa Kabaddi ulivyo na namna unavyochezwa

INAWEZEKANA ulishawahi kusikia mchezo unaoitwa Kabaddi na unatamani kujua kiundani mchezo huo namna unavyochezwa au unaona unavyoochezwa lakini huelewi. Lakini unatakiwa ufahamu kwamba, ili kukusanya pointi, huko inabidi kazi kubwa ifanyike. Kabla ya kwenda mbali, unatakiwa ufahamu kwamba, Kabaddi ni mchezo wa kale wenye asili ya India, uliotokana na mazoezi ya kivita na mbinu za…

Read More

Straika Kagera atimkia Kenya | Mwanaspoti

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Kagera Sugar raia wa Cameroon, Moubarack Amza amekamilisha usajili wa kujiunga na Bandari FC ya Kenya, itakayocheza mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Yanga katika kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’ Septemba 12. Nyota huyo atacheza dhidi ya Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, katika tamasha la kikosi hicho…

Read More

Pamba yazifuata mechi tatu Kenya

KIKOSI cha Pamba Jiji kinaondoka nchini leo Ijumaa kwenda Kenya kwa ajili ya kucheza mechi tatu za kirafiki za kujiweka sawa kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2025-26. Kwa mujibu wa ratiba ya klabu hiyo inayonolewa na kocha Mkenya, Francis Baraza ni kwamba kesho Jumamosi itaanza kutesti mitambo dhidi ya Mara…

Read More