CCM yataka Kituo cha Afya Mwamapalala kianze huduma Juni

Itilima. Wakati Katibu Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi akitaka Kituo cha Afya Mwamapalala kuanza kutoa huduma Juni mwaka huu, wananchi wameeleza namna kitakavyowapunguzia adha ya kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 30 kufuata huduma za afya. Wamesema kukamilika kwake itakuwa ni mkombozi kwa wagonjwa hasa wajawazito na wazee ambao…

Read More

Meridianbet Yachangia Mashine za Sanitizer Mwenge Hospitali – Global Publishers

Kama kawaida wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanaendelea na harakati zao za kurejesha kwenye jamii ambapo leo hii waliigusa hospitali ya Mwenge kwa kuwapelekea mashine maalumu kwaajili ya kuwekea sabuni na sanitizer lengo likiwa na kuimarisha usafi. Hatua hii inatokana na dhamira ya kampuni hiyo kushirikiana na taasisi za afya katika kuimarisha mapambano dhidi ya…

Read More

Laizer afichua faili la Mnigeria, Obasi

LICHA ya kiwango bora kinachoonyeshwa na mshambuliaji nyota wa Fountain Gate, Mnigeria Chukwunonye Obasi, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema kutomchezesha dakika nyingi ni kutokana na sababu mbalimbali za kimsingi. Akizungumza na Mwanaspoti, Laizer amesema kutokana na ufinyu wa wachezaji wengi kikosini humo baada ya kufungiwa timu hiyo kutosajili, inamlazimu kuweka…

Read More

Usipojipanga BDL imekula kwako | Mwanaspoti

WAKATI timu zikisubiri kutangaziwa tarehe ya kuanza kwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), timu zitakazoshindwa kujipanga vizuri huenda zikajikuta zikikumbana na vichapo vya kushangaza kutokana na namna ambavyo maanadalizi yanaendelea. Ugumu kwa baadhi ya timu hizo huenda ukachangiwa na ubora wa timu zoefu zilizopo katika ligi hiyo ambazo husajili wachezaji wazoefu…

Read More

USHAHIDI WA TUNDA LA MTI WA KATI KULIWA NGORONGORO HUU HAPA

Mwaka 1976, Mtafiti wa masuala ya Akiolojia Dr. Mary Leakey aligundua nyayo za zamadamu eneo la Laetoli zilizohifadhika katika mwamba wa jivu la volcano iliyolipuka kwenye milima ya Ngorongoro zaidi ya miaka milion 3.6 iliyopita. Wataalamu wanaamini kuwa nyayo hizo ziliachwa na jamii ya watu wa kale waitwao Australopithecus Afarensis. Nyayo za Zamadamu Laetoli Ngorongoro…

Read More

Mwimbaji wa Injili Irene Robert Afariki Ghafla

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Irene Robert, amefariki dunia leo Machi 20, 2026 baada ya kuugua ghafla. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwimbaji mwingine wa Injili, Walter Chilambo, kupitia ukurasa wake wa Instagram, akionesha masikitiko kufuatia kuondokewa na rafiki yake wa karibu. Katika ujumbe wake, Walter…

Read More