Waarabu wavamia kambi ya Simba, mchongo mzima upo hivi

BAADA ya Simba kufanikiwa kucheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu na kupoteza mbele ya RS Berkane, kuna jambo linakwenda kutokea likimuhusu kiungo muhimu wa kikosi hicho ambaye anatakiwa na Waarabu. Achana na Steven Mukwala ambaye hivi karibuni Mwanaspoti ilikuhabarisha kwamba Waarabu wa Morocco, RS Berkane wamevutiwa na uwezo wake na kuweka mezani…

Read More

Yanga yaficha wawili wapya | Mwanaspoti

KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofungwa Januari 15 mwaka huu, Yanga ilitambulisha wachezaji wawili pekee ambao ni beki Israel Mwenda kutoka Singida Black Stars na Jonathan Ikangalombo anayemudu kuicheza winga zote mbili na mshambuliaji akitokea AS Vita ya DR Congo. Hata hivyo, taarifa kutoka ndani ya Yanga zinabainisha kuna majembe mengine mawili yamemalizana na klabu…

Read More

Mikumi safi majaribio timu ya taifa kriketi

TIMU ya Mikumi imepata ushindi wa tatu dhidi ya Ngorongoro katika kriketi, ambapo safari hii imeshinda kwa wiketi mbili kwenye Uwanja wa Dar Gymkhana. Timu hizo za kombani zinaundwa na wachezaji nyota wa kriketi nchini kama maandalizi ya timu ya taifa kwa michuano ya kufuzu Kombe la Dunia zitakazochezwa Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi…

Read More

TAARIFA RASMI KUTOKA BOLT TANZANIA

Bolt Tanzania  inatambua kurejea kwa huduma za intaneti nchini Tanzania. Tunatambua pia wito wa serikali kwa wananchi kurejea kwenye shughuli zao za kawaida baada ya uchaguzi wa wiki iliyopita.Tunatoa pole kwa familia na jamii zote zilizoathirika katika kipindi hiki kigumu wakati juhudi za kutatua changamoto za nchi zinaendelea.  Bolt imerejesha huduma zake za usafiri kote…

Read More

INEC yatoa maelekezo ya kisera kuelekea uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa maelekezo ya kisera katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 yanayohusisha utambulisho wa mpigakura. Maelekezo hayo yametolewa kwa  kuzingatia masharti ya kifungu cha 4, 19(3), 14(2), 84(3)(a) na (b) na 164 vya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya…

Read More

Mke wa diwani atokwa chozi la furaha akimnadi mume wake

Mbeya. Mke wa mgombea udiwani Kata ya Ruanda, Lydia Kibonde amejikuta akitokwa chozi la furaha wakati akimnadi mumewe, Isack Mwakubombaki na kutoa shukurani kwa wajumbe na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kumpitisha kugombea nafasi hiyo kwenye uchaguzi mkuu ujao. Lydia akizungumza leo Septemba 13, 2025 wakati wa uzinduzi wa kampeni kwa mgombea huyo, amesema anawashukuru…

Read More

DKT. MAHERA AELEKEZA MABADILIKO KWA WARATIBU WA MAGONJWA YASITOAMBUKIZA WALIOSHINDWA KUTOA TAKWIMU

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughurikia Afya Dkt. Charles Mahera amemuelekeza Mkurugenzi wa huduma za Afya Ustawi wa Jamii na Lishe kufuatilia na kuwachukulia hatua waratibu wa Mikoa ambao hawajawasilisha takwimu ya magonjwa wasiyoambukiza yakiwemo Sukari na Shinikizo la damu. Dkt Mahera ametoa maelekezo hayo wakati akifungua kikao cha mwaka cha waratibu…

Read More