CCM yataka Kituo cha Afya Mwamapalala kianze huduma Juni
Itilima. Wakati Katibu Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi akitaka Kituo cha Afya Mwamapalala kuanza kutoa huduma Juni mwaka huu, wananchi wameeleza namna kitakavyowapunguzia adha ya kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 30 kufuata huduma za afya. Wamesema kukamilika kwake itakuwa ni mkombozi kwa wagonjwa hasa wajawazito na wazee ambao…