Rais mstaafu ahukumiwa miaka 13 jela kwa ufisadi Peru

Rais wa zamani wa Peru, Alejandro Toledo amehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi minne jela kwa tuhuma za utakatitishaji fedha akiwa madarakani. Toledo (78) anaingia kwenye orodha ya marais wastaafu wengine watano ambao wamehukumiwa kwenda jela kwa tuhuma za ufisadi wakiwa madarakani. Imelezwa kuwa Toledo, aliyekuwa rais kuanzia 2001 hadi 2006, alikutwa na hatia…

Read More

Yanga sasa wababe wa Kariakoo Dabi

Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii uliochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Shujaa wa Yanga katika mchezo huo alikuwa ni Pacome Zouzoua aliyefumania nyavu katika dakika ya 54 ya mchezo. Ushindi huo umekuwa ni wa sita mfululizo…

Read More

RAIS MWINYI: AMANI CHACHU YA MAENDELEO

………. Zanzibar | 02 Septemba 2025 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema mafanikio makubwa ya maendeleo yaliyopatikana katika uongozi wa Awamu ya Nane yamechangiwa na kudumu kwa amani, mshikamano na utulivu nchini. Akizungumza na jopo la wahariri na waandishi wa habari Ikulu Zanzibar, Rais Dkt. Mwinyi…

Read More

Mahakama yakataa zuio kesi ya Mpina, yaruhusu mubashara

Dodoma. Mahakama Kuu Masjala Kuu ya Dodoma imekataa ombi la mwanachama wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), Luhaga Mpina, la kuzuia uchapishaji wa fomu za kupigia kura kwa nafasi ya urais. Mpina ametoa ombi hilo leo, Septemba 29, 2025, kupitia jopo la mawakili wake katika shauri lake la kikatiba la kupinga kuenguliwa…

Read More

Jamhuri ya Afrika ya Kati yaingia katika awamu ya ‘maamuzi’ baada ya uchaguzi wa kihistoria – Masuala ya Ulimwenguni

Muhtasari wa Baraza la Usalama Jumatano, Mwakilishi Maalum Valentine Rugwabiza alisema uchaguzi wa tarehe 28 Disemba 2025 uliashiria “hatua muhimu katika uimarishaji wa mchakato wa amani na mamlaka ya Serikali.” Uchaguzi wa pamoja wa rais, wabunge, mikoa na manispaa – ikijumuisha kura za kwanza za manispaa tangu 1988 – ziliwakilisha “oparesheni kubwa zaidi za uchaguzi…

Read More

Maximo, Gamondi hapatoshi Kagame | Mwanaspoti

NUSU fainali ya michuano ya Kombe la Cecafa Kagame inachezwa leo baada ya kupigwa dochi kwa siku moja kupisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, kwa kupigwa mechi mbili kwenye Uwanja wa KMC, huku macho yakitupiwa pambano la KMC na Singida Black Stars. Mechi hiyo inawakutanisha makocha wenye heshima kubwa nchini, Marcio Maximo na Miguel Gamondi…

Read More