Rais Mwinyi aanika mafanikio miaka mitano ya SMZ, baraza kuvunjwa Agosti 13

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amehutubia Baraza la 10 la Wawakilishi akibainisha mafanikio yaliyopatikana katika sekta mbalimbali kwa miaka mitano akisema uwekezaji uliofanyika umeleta maendeleo na kuimarisha uchumi. Dk Mwinyi amehutubia baraza hilo leo Jumatatu  Juni 23, 2025 katika ukumbi wa Baraza Chukwani huku akitangaza kulivunja Agosti 13, 2025 kupitia gazeti la Serikali….

Read More

KAABI: Kutoka CHAN hadi mfungaji bora Ulaya

KADRI mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani yakianza leo, majina ya mastaa kadhaa yamekuwa yakikumbukwa lakini kubwa zaidi ni la mwamba wa Morocco Ayoub El Kaabi aliyetumia michuano hii kama njia ya kutua Ulaya na sasa imebaki historia.  El Kaabi, mshambuliaji wa Morocco, alivuma kupitia CHAN 2018, na mafanikio hayo yakamfungulia…

Read More

Ujumbe wa Karia CAF na maana yake

JUMATANO Machi 12, mwaka huu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia alifanikiwa kupigiwa kura za ndio zilizomuwezesha kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Ushindi huo umemfanya Karia kuwa Mtanzania wa tatu kuhudumu katika nafasi hiyo akitanguliwa na hayati Said El Maamry na Leodegar Tenga ambao walipata…

Read More

Yanga uso kwa uso na Nabi Sauzi

YANGA SC itacheza dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inayonolewa na kocha Nasreddine Nabi Julai 28 mwaka huu. Mchezo huo umepangwa kufanyika kwenye Uwanja wa Toyota uliopo Bloemfontein nchini Afrika Kusini ukiwa ni wa michuano ya kirafiki ya Kombe la Toyota. Taarifa ya Kaizer imethibitisha uwapo wa mechi hiyo ikieleza: “Kaizer Chiefs watakuwa wenyeji…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO MKOANI MTWARA

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Dk. Hussein Mohamed leo tarehe 23 Februari 2025 ameafanya ziara Mkoani Mtwara iliyolenga kutembelea eneo linalotarajiwa kujengwa viwanda vya Kubangua Korosho. Uwekezaji huo ambao awamu ya kwanza inatarajiwa kugharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 300, unatekelezwa kwenye eneo la Maranje Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya ya Mtwara Mkoani humo….

Read More

Kauli ya Serikali ulipaji fidia katika upanuzi wa barabara

Dodoma. Serikali imesema tathmini iliyofanyika nchini inaonyesha gharama kubwa ya fidia ya mali zilizomo ndani ya eneo la hifadhi ya barabara lililoongezwa la mita 7.5 kila upande,  iko katika majiji na miji. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Aprili 19, 2024 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya alipokuwa akijibu swali la msingi la mbunge wa Kibaha…

Read More