Mgombea urais UPDP aahidi viwanda vya kuchakata karafuu akipewa ridhaa
Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia chama Cha UPDP, Hamad Mohamed Ibrahim amesema iwapo wakipata ridhaa ya kuingia madarakani, Serikali ya chama hicho itajikita katika kujenga viwanda kwa ajili ya kusarifi karafuu. Pia, amesema vijana wataoa bure na mahari zitatolewa na serikali huku mwanamke anayechumbiwa nayeye atapewa Sh1.5 milioni kwa ajili ya kujikimu kimaisha. Ametoa…