WFP inatafuta dola milioni 200 kuendeleza msaada wa chakula – Masuala ya Ulimwenguni

Shirika la Umoja wa Mataifa linafanya kazi ili kuendeleza shughuli za usaidizi wa chakula katika takriban nchi 10 katika kanda hiyo, pamoja na Afghanistan, Samer Abdeljaber, WFP mkurugenzi wa kanda ya Mashariki ya Kati, Afrika Kaskazini na Ulaya Mashariki, aliambia Habari za Umoja wa Mataifa. Makadirio ya awali yanaonyesha kuwa takriban dola milioni 200 zitahitajika…

Read More

EU yaweka mkakati kuinua kilimo Tanzania

Moshi. Umoja wa Ulaya (EU) umeanzisha mpango maalumu wa kuimarisha ushirikiano wake na Tanzania katika sekta ya kilimo, ukiweka msisitizo kwenye maendeleo endelevu ya kidijitali, mabadiliko ya tabianchi na kuongeza thamani ya mazao ya bustani na kilimo ikolojia. Kupitia mpango huo, EU itashirikiana na Serikali ya Tanzania pamoja na wadau mbalimbali kutathmini fursa za uwekezaji…

Read More

Hili ndilo soko la mafuta na bei zinapangwa hivi

Vita inayoendelea katika ghuba ya Uajemi tayari vimesababisha bei ya bidhaa muhimu ya mafuta kuongezeka, na ikiwa vita hiyo itaendelea ni dhahiri dunia inaweza kuangukia kwenye mgogoro wa kiuchumi unaosababishwa aidha uhaba wa mafuta au kupanda kwa gharama za maisha kutokana mfumuko wa bei na kuongezeka gharama za uzalishaji. Mafuta ndicho chanzo kikuu cha nishati…

Read More

ONGEA NA ANTI BETTI: Mke wangu amenifumania, amekaa kimya

Anti ninashindwa niseme au nifanye nini kwani maana mke wangu anataka kuniua kwa kihoro. Nilikuwa na uhusiano na rafiki yake (nimeacha na sitorudia tena usiniseme vibaya), amejua maana alikuta ujumbe mfupi wa mahaba akaniuliza nikakataa. Nadhani alikuwa anatufuatilia kwani alitukuta uso kwa macho tukiwa hotelini nje ya mji tunaogelea kwenye jakuzi. Siyo jakuzi la jumuia…

Read More

M/kiti CCM aonya maneno matamu kwenye shida ya maji

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Maji Duniani, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Joseph Masunga amewataka wasimamizi wa sekta ya maji kupunguza maneno mengi na michakato mirefu isiyo na majibu ya haraka kwa kero za maji zinazowakabili wananchi. Amesema wakati mwingine viongozi wanaosimamia sekta ya maji hutoa maelezo yanayoweza kuwaburudisha…

Read More

Afrika Kusini kupigania msaada mapambano ya Ukimwi

Pretoria. Serikali ya Afrika Kusini imesema haitaruhusu kuondolewa kwa takribani (dola milioni 427) sawa na Sh1.1 trilioni zilizokuwa zinatolewa na Marekani, kudhoofisha programu yake kubwa ya kupambana na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Kwa mujibu wa AP News, Programu hiyo, ingawa ni kubwa inakabiliana na changamoto, huku wataalamu wa afya wakionya kuwa katika miaka michache…

Read More

Bado elimu ni ufunguo wa maisha?

Dar es Salaam. Usemi elimu ni ufunguo wa maisha, umeibua mjadala wa makundi mawili yanayopingana. Lipo linalosema kuna matajiri wa shahada za elimu, lakini masikini wa maisha, huku lingine likisema wapo mafukara wa elimu wanaishi maisha bora. Upinzani huo umekwenda mbali zaidi na kuibua, mjadala mwingine kati ya wanaosema elimu si nyenzo ya kuyafungua maisha,…

Read More