Tirdo wanadi maabara inayozuia upotevu wa umeme

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limewataka wenye viwanda na wafanyabiashara kutumia maabara za kupima na kutambua upotevu wa umeme ili kupunguza gharama za uendeshaji na kuongeza ufanisi katika uzalishaji. Maabara hiyo inamwezesha mtumiaji wa umeme kwenye majengo makubwa, viwandani na majumbani kupunguza matumizi ya nishati hiyo…

Read More

Aliyekuwa kocha Biashara atoa msimamo

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Biashara United ya Mara, Amani Josiah amesema kwa sasa yuko huru baada ya kumaliza mkataba na klabu hiyo huku akikiri kupokea ofa kutoka timu mbalimbali ambazo bado hajazitolea uamuzi akisubiri timu itakayomshawishi kwa ofa nzuri. Josiah aliiongoza Biashara msimu uliopita katika Ligi ya Championship akisaidiana na Edna Lema na Ivo Mapunda,…

Read More

Hezbollah wajibu mapigo – Mwanahalisi Online

  KUNDI la wapiganaji wa Hizbollah, nchini Lebanon limejibu mapigo baada ya Israel kuyashambulia makao makuu yake huko Hezbollah, Beirut. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endela). Israel ilifanya mashambulizi kadhaa kwenye makao makuu ya kundi hilo na kwamba mkuu wa Hezbolla, Hassan Nasrallah ndiye aliyekuwa akilengwa. Jeshi la Israel limesema pia kuwa limemuua kamanda wa Hezbollah…

Read More

Mshindi Avuna Shilingi Milioni 20 Kwenye Kampeni ya “NI BALAA!” Kutoka Vodacom Tanzania – MWANAHARAKATI MZALENDO

Ni Balaa! Kila Mtu ni Mshindi! Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania Plc, George Venanty (kushoto),akimkabidhi mfano wa hundi ya TZS 20,000,000/- mshindi wa kwanza wa kipengele kikuu wa droo ya kampeni ya ‘Ni Balaa!’, Bankason Yusuph wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi mbalimbali,  iliyofanyika tarehe 16 Agosti 2024, jijini Arusha.Kampeni…

Read More

Ahoua apindua utawala wa Chama

Mashabiki wa Simba kwa sasa wanatembea vifua mbele kutokana na aina ya kikosi walicho nacho, huku wakiongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa pointi 37. Lakini, chama hilo pia linafanya vizuri katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika likishika nafasi ya tatu katika Kundi A, likiwa na pointi sita baada ya kucheza michezo mitatu wakiwa…

Read More