Auwawa kikatili akitoka msikitini | Mwananchi

Tanga.  Tukio la mauaji ya kikatili ya Swalehe Shekanga (60), mkazi wa kijiji cha Mawei, kata ya Soni wilayani Lushoto, limeacha majonzi na hofu kubwa miongoni mwa wakazi baada ya kuuawa na watu wasiojulikana. Shekanga aliuawa kwa kukatwa sehemu mbalimbali za mwili wake akitokea msikitini Machi 21, 2026, na mwili wake kukutwa Machi 22, ukiwa…

Read More

Mbinu kukabiliana na machungu ya kuachwa

Kuachwa na mwenza ni moja ya mambo yenye uchungu mkubwa katika maisha ya binadamu. Inaweza kuvunja moyo, kuharibu mtazamo wa maisha, na kusababisha hali ya kutojiamini, huzuni na hata msongo wa mawazo. Watu wengi hujikuta katika hali ya kukata tamaa, kujitenga na jamii au hata kupoteza mwelekeo wa maisha. Hali hii huathiri si tu hisia…

Read More

Zitto, Baba Levo wasaka rekodi Kigoma Mjini

Kigoma. Jimbo la Kigoma Mjini ni miongoni mwa majimbo yanayoibua mjadala na kufuatiliwa na wengi kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Siku hiyo Watanzania wataamua nani atakayeshika hatamu za urais, ubunge na udiwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Macho mengi yanaitazama Kigoma Mjini, ambayo pia imekuwa midomoni mwa watu ambako historia, siasa na burudani…

Read More

Kelvin John aweka chuma mbili Denmark

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Kelvin John anayekipiga Aalborg, amefunga mabao mawili jioni ya leo kufuatia ushindi wa 4-0 dhidi ya Middelfart Boldklub kwenye muendelezo wa Ligi Daraja la Kwanza nchini Denmark. Mabao ya John aliyefunga dakika ya 72 na 82, yameisogeza timu hiyo hadi nafasi ya nane kutoka tisa kwenye msimamo wa ligi hiyo maarufu Danish…

Read More

Gates of Halloween Na Safari ya Ushindi Inayoendelea Meridianbet

Meridianbet imezidi kuonesha ubunifu wake kupitia mchezo wa kasino unaovutia, Gates of Halloween. Mchezo huu umeleta mandhari ya Halloween, ukichanganya ubunifu wa picha, mwendo wa kasi na hali ya kusisimua inayomweka mchezaji katikati ya tukio la kipekee. Kila mzunguko huibua matarajio mapya, ukiwapa wapenzi wa kasino sababu ya kuendelea kubofya na kufurahia safari yao. Ubunifu…

Read More

Idadi ya vifo ajali ya Chemba yafikia 11

Dodoma. Majeruhi wawili kati ya 11 waliokuwa wakipatiwa matibabu baada ya ajali ya basi la abiria na lori iliyotokea Chemba, mkoani Dodoma, wamefariki dunia, hivyo kufanya idadi ya vifo kufikia 11. Ajali hiyo ilitokea alfajili ya jana, Alhamisi Septemba 18, 2025, na kusababisha vifo vya watu tisa, watano wanaume na wanne wanawake. Mganga Mfawidhi wa…

Read More

Furahia na dumisha ndoa yako kisayansi

Kwa muda mrefu, ndoa imekuwa ikitazamwa kama jambo la hisia, bahati au mapenzi yasiyo na maelezo. Watu wengi huamini kuwa ndoa ikianza vizuri, basi itaendelea kuwa nzuri, au ikianza kwa shida, basi ni mkosi wa maisha. Lakini utafiti wa kisayansi umeanza kubadilisha mtazamo huu. Leo, sayansi inaonesha kuwa ndoa yenye furaha si bahati nasibu, bali…

Read More

Mahakama Kuu Yafungua Kikao cha Mwaka, Jaji Kiongozi Asisitiza Uwajibikaji

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dkt. Mustepher Mohamed Siyani. Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dkt. Mustepher Mohamed Siyani, amewasisitiza Majaji, Mahakimu na Wakurugenzi wa Mahakama ya Tanzania kuhakikisha wanatekeleza mikakati inayowekwa na vikao mbalimbali pamoja na kuwasilisha utekelezaji wake kwa wakati. Dkt. Siyani ametoa rai hiyo leo tarehe 25 Februari, 2026…

Read More