Serikali kutafuta ufumbuzi biashara ya samaki

Dodoma. Serikali imeahidi kumaliza vikwazo vyote kwa wafanyabiashara wa mazao ya samaki, ikiwemo wanaosafirisha nje ya nchi ili biashara hiyo ilete tija kwa uchumi wa nchi. Ahadi hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Uvuvi nchini, Dk Baraka Sekadende jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na washiriki wa kongamano la tathimini baada ya utafiti kuhusu mazao ya samaki. Warsha…

Read More

Sura tofauti INEC ikitoa magari kwa wagombea urais

Dar es Salaam. Hatua ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kutoa magari kwa wagombea wa nafasi ya urais 2025, wataalamu wa sheria wameibuka wakihoji ni sheria gani imetumika, tume yenyewe ikijibu hoja hiyo Japo wengine wamedokeza kwa kuwa magari hayo hayatampunguzia jambo lolote mgombea hakuna tatizo. Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu,…

Read More

Mao ajiandaa kuitema KMC | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa KMC, raia wa Somalia, Ibrahim Elias ‘Mao’, huenda akaachana na timu hiyo baada ya mazungumzo ya kusaini mkataba mpya kuingia dosari, huku ikielezwa makubaliano imeshindikana kufikiwa baina ya pande hizo zote mbili. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zinaeleza Mao hatokuwa sehemu ya timu hiyo kutokana na kutokubaliana kwa baadhi ya vifungu vya kuboreshewa…

Read More

Ombi jipya shauri la rasilimali za Chadema

Dar es Salaam. Walalamikaji katika kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameibua shauri dogo jipya, wakiiomba Mahakama iwaamuru walalamikiwa wawapatie nyaraka za chama hicho ili wazitumie kama ushahidi kuthibitisha madai yao. Kwa upande wao, walalamikiwa kupitia jopo la mawakili wameiomba Mahakama iwape muda wa siku saba…

Read More

RAIS MSTAAFU KIKWETE:WANAOSEMA UTARATIBU HAUKUFUATWA KUMPATA MGOMBEA URAIS CCM WANAJITOA UFAHAMU

Asema utaratibu uliotumika kumpata Dk.Samia kuwa mgombea Urais ndio huo huo uliotumika kwa wengine huko nyuma *Asema wanaosema utaratibu umekiukwa walikuwepo awamu zote lakini kwanini wanasema hayo leo *Asisitiza utaratibu wa Mkutano Mkuu uliofanyika Januari 18 na 19 uko sahihi na anauunga mkono  Na Said Mwishehe,Michuzi TV RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne,…

Read More

Mjadala wa Mzize tuachane nao sasa

KUANZIA sasa na kuendelea, hapa kijiweni tumekubaliana kutoendelea na mjadala kumhusu mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize na suala lake la kucheza soka la kulipwa nje ya nchi. Uamuzi wa Mzize kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo tunadhani ameamua kutupa majibu tufanye yanayotuhusu na suala la yeye wapi acheze linabakia katika uamuzi wake. Tunapaswa kufahamu…

Read More

Opah anaendeleza uthubutu kwa wanawake

BAADA ya kutumikia timu ya wanawake ya FC Juarez kwa msimu mmoja, juzi nahodha wetu wa Twiga Stars, Opah Clement alijiunga rasmi na SD Eibar ya Hispania. Ni uhamisho ambao hapa kijiweni umetufurahisha sana kwa vile kwanza anaenda katika nchi ya kisoka hasa ambayo ina moja kati ya ligi bora za soka za wanawake. Baadhi…

Read More

Bali kortin akidaiwa kughushi wosia, akana shtaka

Dar es Salaam. Mkazi wa Pangani mkoani Tanga, Hamisi Bali amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja ya kughushi wosia. Bali amesomewa shtaka hilo leo Agosti 28, 2025 na wakili wa Serikali, Tumaini Mafuru, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube Akimsomewa shtaka, wakili Mafuru amesema Bali anadaiwa kutenda kosa hilo Februari…

Read More