EWURA INADHIBITI MAMLAKA ZA MAJI 85 MIJINI

 :::::: Hadi kufikia Aprili, 2015, EWURA ilikuwa ikizidhibiti kiufundi na kiuchumi jumla ya mamlaka za maji na usafi wa mazingira 85 zilizoko katika miji mikuu ya mikoa, miji ya wilaya na miji midogo kupitia Sheria ya EWURA Sura Na. 414.  Sheria hiyo inaipa EWURA majukumu ya kutoa leseni kwa mamlaka za maji na kusimamia masharti…

Read More

Mpango wa Jiko la jua unakusudia kupanua ufikiaji wa nishati safi nchini Angola – maswala ya ulimwengu

Maoni na Judite Toloko da Silva, Heila Monteiro (Luanda, Angola) Jumanne, Januari 28, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Luanda, Angola, Jan 28 (IPS) – Upataji wa nishati ni muhimu kwa maendeleo endelevu, lakini kwa jamii nyingi za vijijini, bado haijafikiwa. Nchini Angola, kulingana na sensa ya kilimo ya 2019-2020, vijiji vingi vya vijijini ukosefu…

Read More

Kocha Mkenya akabidhiwa MIKOBA Tabora United

TABORA United msimu ujao itakuwa chini ya Kocha Mkenya, Francis Kimanzi ambaye muda wowote atatambulishwa. Kocha huyo wa zamani wa Tusker ya Kenya na timu ya Taifa hilo tayari amefikia makubaliano ya awali na Tabora United na kilichobaki ni kutua Tanzania kusaini mkataba wa mwaka mmoja waliokubaliana. Kimanzi mwenye leseni ya UEFA daraja A anakuja…

Read More

Zaidi ya wanafunzi 200 wajengewa uwezo kwa vitendo

Jitihada Za Serikali ya awamu ya Sita ni kuhakikisha sekta ya elimu inaboreshwa na kutolewa kwa nadharia na Vitendo zaidi ili kuwarahisishia Wahitimu kuweza kujiajiri pindi wakimaliza masomo yao. Zaidi ya Wanafunzi 200 wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kutokea Ndaki ya usanifu Majengo na Teknolojia ya Majenzi (coACT) wamefanya mafunzo ya Usanifu…

Read More

Sagini aitaka OCPD kuelimisha jamii mchakato wa utungwaji wa sheria za nchi.

   Na: Calvin Gwabara – Dar es salaam. Watanzania wametakiwa kutambua kuwa miswada ya sheria haitoki serikalini pekee bali hata wananchi wanaweza anzisha mchakato na kupendekeza mswada wa sheria wanayoitaka kutungwa kupitia wawakilishi wao bungeni. Mwandishi wa Sheria kutoka OCPD Bwana Vincent Masalu (Wa kwanza kulia) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na…

Read More

DK.NCHIMBI AWAOMBA WANANCHI SHINYANGA KUMPIGIA KURA ZA KISHINDO ZA URAIS DKT.SAMIA,WABUNGE NA MADIWANI.

Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi  akiwahutubia Wakazi wa mji mdogo wa Isaka wilayani Kahama, jimbo la Msalala,kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Alhamis Septemba 3,2025,mkoani Shinyanga. Pamoja na mambo mengine Dkt Nchimbi pia aliwanadi wagombea Ubunge,akiwemo Mgombea Ubunge wa Jimbo la Msalala Mabula Johnson Magangila pamoja…

Read More

Neema ya madaraja kwa watumishi, Spika atia neno

Dodoma. Serikali imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kuhakikisha wanawasilisha haraka majina ya watumishi wenye sifa za kupandishwa madaraja kabla ya mwisho wa Mei 2025 ili kuwawezesha kupandishwa madaraja kwa mujibu wa taratibu za utumishi wa umma. Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu ametoa kauli…

Read More