10 Taekwondo wafaulu ukocha kimataifa

MAKOCHA 10 kati ya 30 wamefaulu kozi ya ukocha wa Taekwondo inayotambuliwa na Shirikisho la mchezo huo la Dunia. Kozi hiyo iliyofanyika kwenye kituo cha Olympafrica kilichopo Kibaha, Pwani iliendeshwa na mkufunzi kutoka Shirikisho la Taekwondo la Dunia, Dk Jun Cheol Yoon. Yoon ambaye pia ni Mwenyekiti wa Waamuzi wa mchezo huo duniani amesema ambacho…

Read More

FCC Yaimarisha Ulinzi wa Mlaji Katika Soko la Vifaa vya Ujenzi

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Tume ya Ushindani (FCC) imesema wazalishaji wa vifaa vya ujenzi wana wajibu wa kumlinda mlaji kwa kuhakikisha wanazalisha na kuuza bidhaa zenye ubora unaolingana na thamani ya fedha anayolipa mnunuzi. FCC imeeleza kuwa ni muhimu kwa wazalishaji kuzingatia viwango vinavyotakiwa katika uzalishaji wa vifaa vya ujenzi ili kuepusha uwepo…

Read More

‘Mfano wa Kimamlaka Imara Kiuchumi Unaweza Kuimarishwa’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Jumatano, Machi 11, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili hali nchini Venezuela kufuatia uingiliaji kati wa Marekani na kuondolewa madarakani kwa Rais Nicolás Maduro pamoja na Verónica Zubillaga, mwanasosholojia wa Venezuela ambaye ni mtaalamu wa ghasia za mijini, ukandamizaji wa serikali na majibu ya jamii kwa ghasia za kutumia silaha. Veronica Zubillaga Mwishoni…

Read More

TDS yaitibulia City FC Abuja Tanzanite Pre-Season

TDS imeitibulia City FC Abuja katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya michuano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya leo Septemba 5, 2025 kuichapa bao 1-0. City FC Abuja iliingia katika mchezo huo uliofanyika kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, ikiwa tayari imefuzu nusu fainali, lakini…

Read More

Furahia ndoa duniani kabla ya mbinguni

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi, ndoa imekuwa ikizungumziwa zaidi kama jukumu kuliko baraka, kama mzigo kuliko safari ya furaha. Watu wengi huingia kwenye ndoa wakiwa na matarajio ya kiroho zaidi ya kibinadamu. Wengi husema: “tutavumilia kwa ajili ya mbinguni, huku duniani ni mateso tu,” au “furaha ya kweli ipo baada ya maisha haya.” Mtazamo…

Read More