Real Admiral Hassan Awataka Wataalam Uokoaji Kufanya Kazi Kwa Weledi
Bakari Mahundu March 24, 2026 0 Comments Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Wanamaji, Real Admiral Ameir Ramadani Hassan, amewataka wataalam wa zimamoto na uokoaji wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kutekeleza majukumu yao kwa weledi pindi majanga mbalimbali yanapotokea nchini. Real Admiral Hassan ameyasema hayo wakati akifungua kikao kazi cha wataalam…