Sababu za Profesa Kabudi, Lukuvi kuteuliwa tena

Dar es Salaam. Ilionekana kama vile Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anampigia chapuo mbunge wa Kilosa (CCM), Profesa Palagamba Kabudi, achaguliwe tena na wananchi wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu wa mwakani kwa kauli yake mbele ya wananchi jimboni humo Agosti 2, 2024. Aliwaambia wananchi hao: “Endeleeni kuniletea Kabudi.” Kabla ya kauli hiyo, akiwa…

Read More

AMINA GOOD AONGOZA KWA KURA 421 KATI YA KURA 768.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Amo Foundation Tanzania Amina Good Said ameongoza kwa kura 421 kati ya kura 768. Akizungumza mara baada ya kutangazwa matokeo hayo na Msimamizi wa uchaguzi huo katika Mkutano Mkuu Maalum wa Mkoa wa Dar es salaam Amina, amewashukuru wapiga kura kwa kuwa na imani naye na kuhakikisha wanawake wanashiriki vema kutafuta…

Read More

TBL kuwafundisha biashara wasambazaji wake

Dar es Salaam. Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL) inaendelea na safari yake ya kuwawezesha na kuwaendeleza wauzaji wake kupitia mpango unaojulikana kama (Retailer Development Programme). Mpango huo ambao kwa kifupi unaitwa (RDP), ulizinduliwa Oktoba mwaka jana ukilenga kusaidia wauzaji kukuza biashara zao na kujifunza ujuzi mpya ikiwemo usimamizi wa fedha, hisa, masoko, mauzo na ukuzaji…

Read More

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR ATEMBELEA BANDA LA TCAA KATIKA MAONESHO YA MEI MOSI KIZIMKAZI, UNGUJA

   Katika kuadhimisha Maonesho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla, ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA). Akiwa banda la TCAA , Mheshimiwa Hemed alipata maelezo kuhusu huduma na majukumu ya TCAA pamoja na miradi inayoitekeleza kutoka kwa Meneja wa…

Read More

RAIS SAMIA AWAONGOZA VIONGOZI MBALIMBALI KWENYE CHAKULA CHA MCHANA ALIYOMWANDALIA MGENI WAKE RAIS NYUSI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwaongoza viongozi wengine wa Chama na Serikali, pamoja na wananchi mbalimbali waliohudhuria hafla ya chakula cha mchana aliyomwandalia mgeni wake, Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi, leo Jumanne Julai 2, 2024,…

Read More