MZEE WA KALIUA: Ni muda wa Gamondi kufukuzwa?

KILA unapovuta picha ya uwepo wa Clatous Chama, Maxi Nzengeli, Stephen Aziz KI, Prince Dube na Pacôme Zouzoua unachoona ni ushindi tu. Unachoona kingine ni mtu kupigwa tano kila siku. Unachoona ni safari ya Yanga kwenda kushinda kila mechi. Unachoona ni Yanga kwenda fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Unachoona ni Yanga kushinda mechi zote…

Read More

Waajiri warudishwa darasani mfuko wa hifadhi ya jamii

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umewakumbusha waajiri kutimiza wajibu wao kwa mujibu wa sheria. Umesema wajibu huo ni pamoja na kutoa taarifa za wafanyakazi wasiosajiliwa kwa lengo la kutaka kuona Mfuko unakuwa na uwezo wa kuwasajili na kuwasilisha michango kwa wakati. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Desemba 14, 2024 na…

Read More

Rais Ruto anavyopita njia ya Uhuru kwa Gachagua

Ni kama historia inakwenda kujirudia kwenye siasa za Kenya. Ilianza kwa Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake, William Ruto kiasi cha kuharibu mambo kuanzia ofisini, kwenye kampeni na hata baada ya uchaguzi uliomuweka Dk Ruto madarakani. Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta (kushoto) akizungumza na naibu wake, William Ruto wakati ambao vuguvugu la kutoelewana baina ya…

Read More

𝐌𝐬𝐚𝐣𝐢𝐥𝐢 𝐰𝐚 𝐇𝐚𝐳𝐢𝐧𝐚 𝐀𝐩𝐨𝐧𝐠𝐞𝐳𝐚 𝐔𝐞𝐧𝐝𝐞𝐬𝐡𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐒𝐡𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐥𝐚 𝐌𝐢𝐭𝐢 𝐖𝐞𝐬𝐭 𝐊𝐢𝐥𝐢𝐦𝐚𝐧𝐣𝐚𝐫𝐨

Kilimanjaro. Mkurugenzi Msaidizi wa Usimamizi wa Mashirika Yasiyo ya Kibiashara kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina, Bw. Joseph Mwaisemba, amefanya ziara ya kikazi katika Shamba la Miti West Kilimanjaro na kutoa pongezi kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitihada za kulinda mazingira na kukuza utalii wa ikolojia. Ziara hiyo imefanyika jana, Julai…

Read More

Samia amtwisha Jafo zigo la Kariakoo, ataka ripoti kila baada ya miezi 3

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo kwenda ‘kushinda’ Kariakoo badala ya kukaa ofisini ili kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wa eneo hilo pamoja na nchi nzima kisha kumpatia ripoti kila baada ya miezi mitatu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pia amemuagiza akakae na kusikiliza wafanyabiashara hao wa Kariakoo kwa sababu…

Read More