Folz ashindwe mwenyewe Yanga | Mwanaspoti

VIONGOZI wa Yanga wamefanya kila kitu kuhakikisha timu hiyo inaendelea kuwa na kikosi kizuri chenye uwezo wa kutetea mataji iliyobeba msimu uliopita ikiwamo Ligi Kuu Bara. Yanga ikiwa ndiyo klabu yenye mafanikio zaidi katika Ligi Kuu Bara ikichukua taji hilo mara 31, inaingia msimu huu ikiwa na deni la kutetea ubingwa wake. Katika kutetea ubingwa…

Read More

Mahakama yaipa nafuu Chadema | Mwananchi

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Manyara, imekubali maombi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema ya kufungua shauri la maombi ya mapitio kupinga uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa, aliyetengua uteuzi wa viongozi wa sekretarieti ya chama hicho. Vilevile, imesimamisha uamuzi wa msajili huyo wa Mei 27, 2025 uliozuia Chadema kuendelea kupokea ruzuku, kusubiri uamuzi…

Read More

Gumzo ahadi za wagombea urais, wadau watahadharisha

Dar es Salaam. Wakati kampeni za wagombea nafasi za urais, ubunge na madiwani, zikipamba moto tangu kuanza kwake Oktoba 28, 2025, sera na ahadi mbalimbali zimeendelea kunadiwa majukwaani licha baadhi ya wagombea kuja na ahadi zinazogonga vichwa vya habari hasa ikiangaliwa utekelezaji wake. Vyama 17 kati ya 18 vilivyosaini kanuni za maadili ya Uchaguzi Mkuu…

Read More

Kwa Wasichana katika Ukanda wa Kikabila wa Pakistani, Michezo ya Wanawake Inakuja kwa Gharama — Masuala ya Ulimwenguni

Picha inaonyesha timu ya kriketi ya wasichana wote kutoka Dir ambayo ilifika fainali ya michezo ya kanda, yote bila kufundishwa, mnamo 2023. "Fikiria kile wanaweza kufikia wakiwa na vifaa vinavyofaa na mafunzo yanayofaa," Alisema Noorena Shams, pia kutoka Dir. Kwa hisani: Noorena Shams na Zofeen Ebrahim (karachi, pakistan) Jumatano, Machi 04, 2026 Inter Press Service…

Read More

Bado Watatu – 11 | Mwanaspoti

“AFANDE kama ulivyosema alama za dole gumba ni zile zile za kwanza. Hii imethibitisha kwamba muuaji ni mtu yule yule,” Ibrahim akaniambia kabla sijakaa kwenye kiti. Nilipokaa nikamuuliza: “Na zile alama za marehemu mmeshazichunguza?” “Tumezichunguza kujua kama ni mtu ambaye tuna rekodi naye lakini tumepata matokeo ya kushangaza kama yale tuliyoyapata mwanzo ndio maana nimekuita.”…

Read More