Haya ndiyo maisha mapya ya kidijitali kwa wanavyuo

Dar es Salaam. Vyuo vikuu vya leo si vile vya jana. Ukitembea katika viunga vya vyuo nchini, utaona wazi mabadiliko makubwa ya maisha ya mwanafunzi wa kizazi cha sasa, maarufu kama Generation Z (Gen Z). Simu janja imekuwa sehemu isiyotenganishwa na maisha ya mwanafunzi wa leo. Karibu wote masikioni wana ‘earphones’ au ‘earpods’, macho yakikodolea…

Read More

Abrahaman atwishwa zigo Transit Camp

KOCHA Mkuu wa Transit Camp, Shadrack Nsajigwa, amesema kuondoka kwa aliyekuwa mshambuliaji wa kikosi hicho, Adam Uledi ni pengo kubwa kutokana na ubora wake, ingawa usajili wa nyota, Abrahaman Mussa anaamini utaleta pia mabadiliko chanya. Uledi aliyeifungia Transit Camp mabao 11 msimu huu katika Ligi ya Championship, amekamilisha usajili wake wa kujiunga na KMC inayoshiriki…

Read More

Waliokiwasha Taifa Stars waendeleza moto

WALE nyota watatu wa Tanzania waliokiwasha kwenye mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON), Charles Mmombwa (Floriana FC), Haji Mnoga (Salford City) na Tarryn Allarakhia (Rochdale AFC) wamendelea kukiwasha kwenye klabu zao. Licha ya Tanzania kuondolewa mapema hatua ya 16 bora, lakini nyota hao watatu wenye asili ya Tanzania walionyesha kiwango bora na kuendelea kuwepo kwenye…

Read More

Tausi yasaka kocha, yupo Chabruma

TAUSI FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake inaangalia uwezekano wa kumpata aliyekuwa kocha wa zamani wa JKT, Ester Chabruma. Tausi imetoka mkiani na kusogea hadi nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 11, imeshinda mechi nne, sare mbili na kupoteza tano. Timu hiyo imefanya maboresho dirisha hili ikimpa mkono wa kwaheri kocha…

Read More

Wabunge wa Iran Wavaa Sare za IRGC Kupinga EU

Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa wabunge wa nchi hiyo wamejitokeza bungeni leo wakiwa wamevalia sare za Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), kama ishara ya kupinga na kujibu uamuzi wa Umoja wa Ulaya (EU) wa kulijumuisha jeshi hilo katika orodha ya makundi ya kigaidi. Hatua hiyo imeelezwa kuwa…

Read More

GGML yatajwa chachu ukuaji sekta ya madini

Dar es Salaam. Serikali imeitaja Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuwa miongoni mwa zilizotoa mchango katika kukuza sekta ya madini nchini kwa kipindi cha miaka 25. Imeeleza mchango wa kampuni hiyo, umejikita katika ulipaji kodi, utoaji wa ajira, uchimbaji madini unaowajibika na ushiriki wake katika maendeleo ya jamii. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri…

Read More

DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 KUWASILISHWA BUNGENI FEBRUARI 2, 2026, UTEKELEZAJI KUANZA JULAI 2026

Na Mwandishi wetu Dodoma . SERIKALI kupitia Tume ya Taifa ya Mipango imekamilisha maandalizi ya nyenzo kuu tatu zitakazowezesha kuanza kwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, ambapo kesho  Februari 2 2026 Dira hiyo inatarajiwa kuwasilishwa Bungeni kwa ajili ya kujadiliwa na hatimaye Bunge kufanya maamuzi. Akizungumza leo Februari Mosi, mwaka huu jijini…

Read More