Zamu ya Mtwara kampeni za Samia leo

Mtwara. Baada ya kufanya kampeni katika mikoa 13, mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuingia katika Mkoa wa Mtwara kunadi sera za chama hicho akiomba ridhaa ya kuchaguliwa tena kuwa Rais wa Tanzania. Tangu chama hicho kizindue kampeni zake za uchaguzi Agosti 28, 2025 jijini Dar es…

Read More

Morocco atua, afunguka ajira yake Simba

KOCHA Hemed Suleiman ‘Morocco’ amewasili jijini Dar es Salaam, tayari kwa kupokea jukumu jipya la kuifundisha Simba kwa muda, huku akifunguka kazi atakayokutana nayo. Morocco, amewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo asubuhi, akitokea nyumbani kwake Zanzibar, ikiwa ni siku moja tangu jana usiku atangazwe kuwa kocha wa Wekundu hao. Akizungumza mara…

Read More

Vijana wabadili maganda ya matunda kuwa mkaa mbadala

Shinyanga. Ripoti ya mwaka 2024 inaonyesha kuwa matumizi ya mkaa mbadala nchini Tanzania yanaendelea kukua kwa kasi, ambapo takribani tani 45,000 ziliripotiwa kutumika ndani ya mwaka huo. Zaidi ya kaya 500,000 zimeanza kutumia nishati hiyo, jambo linaloashiria ongezeko la uelewa na kupokea kwa teknolojia mbadala ya nishati. Hata hivyo, bado zaidi ya asilimia 85 ya…

Read More

Simama ya Mamdani juu ya mauaji ya kimbari ni muhimu zaidi kuliko mienendo ya kumkamata Netanyahu – maswala ya ulimwengu

Maoni na Mandeep S.Tiwana (New York) Jumanne, Septemba 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NEW YORK, Septemba 23 (IPS) – Hakuna kiongozi anayehusika na unyanyasaji wa watu wengi anayefurahia kutokujali zaidi kwenye hatua ya kimataifa kuliko Benjamin Netanyahu. Hii ni kwa sababu ya safu ya kushangaza ya kushawishi ya pro-Israel kwenye vyama viwili vikuu…

Read More