Haya ndiyo maisha mapya ya kidijitali kwa wanavyuo
Dar es Salaam. Vyuo vikuu vya leo si vile vya jana. Ukitembea katika viunga vya vyuo nchini, utaona wazi mabadiliko makubwa ya maisha ya mwanafunzi wa kizazi cha sasa, maarufu kama Generation Z (Gen Z). Simu janja imekuwa sehemu isiyotenganishwa na maisha ya mwanafunzi wa leo. Karibu wote masikioni wana ‘earphones’ au ‘earpods’, macho yakikodolea…