Madhara ya kubana haja ndogo muda mrefu

Dar es Salaam. Je, una tabia ya kubana mkojo kwa muda mrefu yani kuanzia saa tatu na kuendelea? Unajua ni kwa namna gani tabia hiyo ni hatarishi kwa afya yako na mfumo wa utoaji takamwili kwa ujumla? Baadhi ya watu hubana mkojo kwa muda mrefu kutokana na sababu mbalimbali,  ikiwemo kutokuwa katika mazingira rafiki ya…

Read More

Airtel Money Africa partners with pawaPay for seamless international remittances across Africa

Dubai, 07 August 2025: Airtel Money Africa, Airtel Africa’s mobile money arm, today announced an extended partnership with Africa’s largest mobile money payment service provider (PSP) pawaPay to enable seamless cross-border payments for licensed International Money Transfer Operators (IMTOs) across seven key Airtel Africa markets. This collaboration officially launches pawaPay’s service for inbound remittances into…

Read More

Mwanafunzi kortini kwa kuchezea picha ya Nyerere

Dar es Salaam. Mwanafunzi wa Chuo cha Koteti kilichopo mkoani Tanga, Bonus Mbono (21) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matatu, likiwemo la kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa TikTok na kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine. Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu, Machi 10, 2025…

Read More

BENKI YA NCBA YAZINDUA MSIMU WA PILI MASHINDANO YA GOFU

BENKI ya NCBA Tanzania imezindua rasmi msimu wa pili wa mashindano ya gofu ya NCBA. Mashindano haya yatafanyika kwenye uwanja wa gofu wa Gymkhana, Arusha. Akizungumza Wakati wa Mashindano hayo Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Damas Ndumbaro ambaye alihudhuria tukio hilo kama mgeni rasmi, na pia alishiriki katika mchezo wa gofu, aliongelea ushirikiano wake…

Read More

LIGI KUU: Kuna vita mbili Mbeya

LIGI Kuu Bara inaendelea leo Jumatano na timu zote 16 zitakuwa kwenye viwanja nane tofauti kusaka hatma ya kutamatisha msimu huu huku kukiwa na mechi moja yenye vita mbili tofauti ikizihusisha Tanzania Prisons dhidi ya Yanga. Kwenye mechi hizo nane ambazo zote zitachezwa kwa muda mmoja kuanzia saa 10:00 jioni, kila timu itakuwa na hesabu…

Read More

Ajali yaua watu tisa Dodoma, mtoto mchanga anusurika

Dodoma. Watu tisa akiwamo dereva wa basi la abiria la Kampuni ya Abuu Trans, wamefariki dunia huku wengine 16 wakijeruhiwa baada ya basi linalofanya safari zake kati ya Dodoma na Kondoa, kupata ajali likitokea Kondoa kwenda Dodoma Mjini. Chanzo cha ajali hiyo kinaelezwa ni dereva wa Fuso kutaka kulipita basi bila kuchukua tahadhari na kusababisha…

Read More

Siku 15 za maumivu kwa Kombo

Handeni. Kombo Mbwana, mmoja wa maofisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, hivi karibuni alikamatwa na kushtakiwa kwa kesi ya jinai inayojumuisha mashitaka matatu chini ya Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta. Kombo alifunguliwa mashitaka katika Mahakama ya Wilaya ya Tanga, kwa makosa ya kushindwa kusajili laini ya simu ambayo awali…

Read More