WATAALAMU WALIOSOMA JAPAN WACHOCHEA MIRADI YA MAENDELEO NCHINI

 :::::::: Wataalamu wa Kitanzania waliopata mafunzo nchini Japan wameelezwa kuwa rasilimali muhimu katika kuharakisha maendeleo ya sekta mbalimbali kwa kutumia ujuzi na teknolojia walizojifunza nje ya nchi. Akizungumza katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi ya Rais – Utumishi, Fadhili Mitimingi, amesema ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Japan International…

Read More

Mikoa yaanza kukabili Uviko-19 na mafua makali, wananchi wasuasua

Dar/Mikoani. Siku moja baada ya taarifa za ongezeko la wagonjwa wa Uviko-19 na mafua makali ya Influenza katika maeneo mbalimbali nchini, hali ya utekelezaji wa hatua za kujikinga imeanza kuchukuliwa baadhi ya maeneo, huku wananchi wakionekana kutochukua tahadhari hususan katika majiji makubwa. Utekelezaji huo umeonekana kuanza katika ngazi za mikoa na halmashauri mbalimbali nchini. Mkoa…

Read More

Madhara ya kubana haja ndogo muda mrefu

Dar es Salaam. Je, una tabia ya kubana mkojo kwa muda mrefu yani kuanzia saa tatu na kuendelea? Unajua ni kwa namna gani tabia hiyo ni hatarishi kwa afya yako na mfumo wa utoaji takamwili kwa ujumla? Baadhi ya watu hubana mkojo kwa muda mrefu kutokana na sababu mbalimbali,  ikiwemo kutokuwa katika mazingira rafiki ya…

Read More

Miradi ya Serikali Yataka Wachambuzi Wenye Maarifa Sahihi

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Wachambuzi wa masuala mbalimbali wamehimizwa kufanya tafiti ya kutosha kabla ya kufanya chambuzi zao ususani linapokuja suala la utekelezwaji wa miradi inayosimamiwa na Serikali ili kuepusha upotoshaji kwenye jamii  Hayo yamesemwa leo Agosti 30, 2025 Jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta Binafsi na…

Read More

Ofisa ustawi wa jamii aliyegeukia uuzaji juisi

Dar es Salaam. Gharama za maisha zinapoongezeka, mara nyingi kila mtu huangalia namna ya kukabiliana nazo, ikiwamo kutafuta kipato cha ziada ili kupata uhuru wa kuishi. Hali hiyo huwafanya wengi kufikiria nje ya boksi na kuangalia kitu gani kinachoweza kufanyika kwa urahisi bila kuathiri shughuli zao za kila siku, na hapo ndipo kila mtu huja…

Read More

Gwiji Simba ampa ujanja Yakoub Suleiman

ENDAPO kama kipa wa Simba, Yakoub Suleiman atazingatia ushauri wa mkongwe katika nafasi hiyo, kocha Idd Pazi ‘Father’ basi huenda akairejesha Tanzania One baada ya Aishi Manula kusajiliwa Azam FC. Pazi aliwahi kuwa kipa Tanzania One enzi akiwa Simba alisema, kipa huyo mpya wa Simba aliyetua kutoka JKT Tanzania anatakiwa kuzingatia mazoezi ya timu na …

Read More

Mmoja afariki kwa kusombwa na maji akivua, mvua ikiacha kilio

Dar/mikoani. Mtu mmoja amefariki dunia ka kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi. Huku katika baadhi ya maeneo shughuli zikisimama kufuatia mvua hizo. Usiku wa kuamkia jana ilinyesha mvua kubwa iliyoambatana na ngurumo za radi ilisababisha kuharibu barabara na kuwakwamisha wananchi katika shughuli zao za kila siku. Katibu wa Mbunge…

Read More