Meridianbet wamepeleka faraja hospitali ya Kijitonyama

  LEO hii Jumamosi ya Septemba 14 2024,  Kampuni ya ubashiri Tanzania Meridianbet, imetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa Hospitali ya Kijitonyama, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kusaidia jamii na kuboresha huduma za afya nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Msaada huo ambao Meridianbet wameamua kutoa ni mashuka pekee…

Read More

Nahodha amtaja Lowassa akikumbuka kipaumbele cha elimu

Dodoma. Jina la Edward Lowasa limetajwa bungeni kutokana na msimamo wake wa uwekezaji katika sekta ya elimu huku Tanzania ikitakiwa kusimamia jambo hilo. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumatatu Juni 16, 2025 na Mbunge wa kuteuliwa Shamsi Vuai Nahodha ambaye amesema bila kuwekeza katika elimu maendeleo ya nchi yatakuwa ndoto. Nahodha ametoa kauli hiyo wakati…

Read More

AZAKI NA VIONGOZI WA DINI WAKUTANA KUJADILI NDOA ZA UTOTONI.

Na Lilian Ekonga………… Shirika la Msichana Initiative na shirika la Norwegian Church Aid wamekutana na viongozi wa dini mbalimbali kutoka mikoa zaidi ya 10 kwa lengo la kujadili na kujenga uelewa kuhusu mabadiliko ya umri wa ndoa. Akizungumza na waandishi wa Habari katika mkutano huo Mkurugenzi wa Shirika la Msichana intiative Rebeka Gyumi amesema wamekutana…

Read More

Michango ya gari la Lissu yafikia Sh10 milioni kwa saa 24

Dar es Salaam. Mwanaharakati wa mitandaoni nchini Tanzania, Maria Sarungi ambaye anaendesha kampeni ya kumchangisha fedha za kununua gari jipya la Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu amesema michango hiyo imefika Sh10 milioni ndani ya saa 24. Maria ametoa taarifa hiyo leo Jumapili Mei 19, 2024 saa 3 asubuhi kupitia ukurasa wake wa X…

Read More

ANTI BETTIE: Nimechoka kuibiwa pesa na mke wangu, nipe mbinu kumdhibiti

Anti, kuna vitu hadi vinatia aibu kuvisema hadharani, unajua mke wangu ananipiga ndole (kuchomoa pesa) kila ninaporudi nyumbani na kuvua suruali. Kuna wakati natamani nilale na suruali maana nikivua tu ananisachi. Nimesema, nimelalamika mpaka nimechoka, ningekuwa ninakunywa pombe angekuwa anasema nimepoteza nilipokuwa baa au nilipoolewa, kwangu amekosa kisingizio. Ninarudi na akili zangu timamu na ninajua…

Read More

DMI YASHIRIKI MAONESHO YA VYUO VIKUU TANZANIA VISIWANI PEMBA

CHUO Cha Bahari Dar es Salaam ni miongoni mwa taasisi mbalimbali za serikali na binafsi katika Maonesho ya Vyuo Vikuu Tanzania yanayoendelea katika viwanja vya Gombani – Pemba. Maonesho hayo ni mfululizo wa maonesho ya vyuo vikuu yanayoandaliwa na kuratibiwa na NACTVET ambapo mwaka huu 2024 yalianzia jijini Arusha kufuatiwa Unguja na sasa kuhitimishwa katika…

Read More

Mauzo ya umeme yameongezeka kwa asilimia 10

Dar es Salaam. Wakati upotevu wa umeme ukifikia asilimia 14.61 katika mwaka ulioishia 2023/2024, mauzo ya umeme yameongezeka kwa zaidi ya asilimia 10 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Ripoti ya sekta ndogo ya umeme iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Mafuta (Ewura) inaonyesha kuwa upotevu wa umeme huo ni ongezeko kutoka asilimia 14.57 iliyokuwapo…

Read More

Mcolombia Azam amvulia kofia Bacca

BEKI kisiki wa Azam FC, Fuentes Mendosa ameshindwa kujizuia na kukiri kuwa Ibrahim Hamad ‘Bacca’ anayekipiga Yanga alistahili kuwa beki bora wa msimu uliopita kutokana na aina ya uchezaji wake ambao umekuwa ukimvutia. Bacca anashikilia tuzo ya Mchezaji Bora wa Zanzibar na Beki Bora wa Ligi Kuu Bara msimu ulioisha, ametajwa na Mendosa kuwa anavutiwa…

Read More