Hersi, Arafat waachiwa msala hatima ya Folz Yanga

PRESHA iliyopo ndani ya Yanga hivi sasa, inamfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Romain Folz kusikilizia hatima yake ndani ya timu hiyo. Hali hiyo imekuja kufuatia kundi kubwa la mashabiki hawajaridhika na kiwango cha timu hiyo licha ya kwamba haijapoteza mechi yoyote hadi sasa. Inaripotiwa kwamba uongozi wa Yanga umeanza mchakato wa kimyakimya wa kumsaka…

Read More

Majaliwa ataja sababu kutoanzishwa maeneo mapya ya utawala

Dodoma. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema watakapojiridhisha na utoaji huduma, miundombinu na rasilimali watu kwenye maeneo mapya ya utawala ndipo Serikali itatoa vibali vya uanzishwaji wa maeneo mapya, pamoja na kufafanua fursa ya mikopo ya asilimia 10 kwa wanaume. Mwaka 2016 wakati wa kuhitimisha mjadala wa bajeti ya Waziri Mkuu, alitoa tamko la…

Read More

Simba yajipigia Mbeya City, Bajaber atupia

SIMBA kama kawaida imeendeleza moto wake kwenye Ligi Kuu Bara, baada ya kuichapa Mbeya City mabao 3-0, lakini utamu wa ushindi huo ni kiungo Mohammed Bajaber. Ushindi huo wa nne kwenye mechi nne za Ligi Kuu Bara unaifanya Simba kufikisha pointi 12 ikipaa kutoka nafasi ya nane mpaka ya tano. Mapema tu Mbeya City iliilainisha…

Read More

KONA YA MZAZI: Asemaye mtoto amenishinda ni mzazi mzembe

Bibi yangu aliwahi kuniambia kazi ya kumjengea mtoto maadili ni sawa na kazi ya mfinyanzi anayetengeneza vyungu bora kwa matumizi mbalimbali. Kuna wafinyanzi wanaoipa thamani kazi yao, hivyo bidhaa zao huvutia wateja. Lakini wapo pia wanaofinyanga bila uangalifu na bidhaa zao hukosa mvuto au ubora hata kwa macho yao wenyewe baada ya kuziweka sokoni. Ndivyo…

Read More

Zimamoto yabadili upepo ubingwa ZPL

UPEPO umebadilika baada ya Zimamoto kupata ushindi wa tatu mfululizo ndani ya Juni katika Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) na kuipumulia JKU inayoongoza msimamo wa ligi hiyo kwa muda mrefu, zikitenganishwa kwa pointi moja tu kwa sasa, huku zikisalia mechi za raundi mbili tu kufunga msimu. Ushindi huo wa juzi uliopatikana kwenye Uwanja wa Mao…

Read More