Wasira ataja ishara ya ushindi kwa CCM uchaguzi mkuu

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema kuwa Watanzania wako tayari kwa uchaguzi na kwamba, idadi wanaoshiriki kwenye mikutano ya hadhara kusikiliza sera za wagombea ni ishara tosha. Ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 25, 2025 wakati wa mkutano wa kampeni kunadi sera za chama hicho, ambapo alikuwa mgeni rasmi. Amesema mikutano…

Read More

Waliokuwa watumishi Kigamboni wapandishwa kizimbani

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Fedha na Mhasibu wa Manispaa ya Kigamboni, Jonathan Manguli (38) na wenzake 12, wakiwamo wafanyabiashara wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 10, yakiwamo ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni. Washtakiwa wengine waliokuwa watumishi wa manispaa hiyo ni mhasibu Godfrey Martiny (44), mkuu…

Read More

Adaiwa kumuua mwanaye kwa jembe wakizozania chakula

Dar es Salaam. Baba mwenye umri wa miaka 63 (jina lake halijapatikana) mkazi wa Kijiji cha Sakwa Kusini kilichopo Kaunti ndogo ya Awendo nchini Kenya anadaiwa kumuua mwanaye wakati wakizozania chakula kisha kutokomea. Tukio hilo limeripotiwa usiku wa Jumanne Agosti 26, 2025 baada ya marehemu mwenye umri wa miaka 28 kuripotiwa kwenda nyumbani kwa baba…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Twalib Kadege Spidi Mperampera hadi Ikulu

Miaka 10 iliyopita, Taifa lilipokuwa linauelekea  uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliibuka na kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” iliyobeba tafsiri ya maono yake ya kuwafanya Watanzania wafanye kazi bila lelemama. Mwaka 2020, mgombea urais wa Chama cha The United People’s Democratic Party(UPDP), Twalib Ibrahim…

Read More

Kwa hili… Taifa Stars hatuwadai

ACHANA na matokeo ya pambano la usiku wa jana Ijumaa la robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 wakati Tanzania ilipokabiliana na Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, kilichofanywa na Taifa Stars katika fainali hizo ni wazi ‘haidaiwi kitu’. Tanzania iliyoshiriki fainali hizo za nane ikiwa ni mara ya tatu, safari…

Read More

Kilio cha maabara, vifaa kwa wanafunzi wa sayansi

Soma simulizi hii: “Jina langu ni Amina, mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya umma iliyo  mkoani Pwani. Kila Jumatatu asubuhi tunakuwa na kipindi cha Kemia, kipindi ambacho kwa wengi wetu kingepaswa kuwa cha kusisimua, majaribio, mabadiliko ya rangi ya kemikali, na mvuke unaopanda juu ya mitungi ya maabara.  Lakini kwetu sisi,…

Read More

RIDHIWANI KIKWETE ASHIRIKI KAMPENI LUGOBA, AAHIDI MAENDELEO JUMUISHI NA USHIRIKIANO WA DHATI

📌Bagamoyo, Pwani 24 Septemba 2025: 🆕Mgombea ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete, ameshiriki mkutano mkubwa wa kampeni uliofanyika katika kata ya Lugoba, wilayani Bagamoyo, ambapo alipokelewa kwa shangwe na hamasa kubwa kutoka kwa wananchi wa eneo hilo. Katika mkutano huo uliojaa shamrashamra, Mheshimiwa Ridhiwani aliungana na Diwani wa…

Read More

Mahakama yaipa nafuu Chadema | Mwananchi

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Manyara, imekubali maombi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema ya kufungua shauri la maombi ya mapitio kupinga uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa, aliyetengua uteuzi wa viongozi wa sekretarieti ya chama hicho. Vilevile, imesimamisha uamuzi wa msajili huyo wa Mei 27, 2025 uliozuia Chadema kuendelea kupokea ruzuku, kusubiri uamuzi…

Read More