Wizara ya Uchukuzi yatakiwa kusimamia huduma SGR

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Uchukuzi iendelee kulisimamia kwa karibu Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kuhakikisha huduma za treni ya SGR zinaboreshwa na miundombinu inaimarishwa ili mradi huo uweze kudumu kwa muda mrefu. Amesema katika mwaka wa fedha 2024/2025, Serikali itaendeleza sekta ya uchukuzi ambapo pamoja na mambo mengine itasimamia…

Read More

Kaseja hesabu kali dhidi ya Tabora Utd

WAKATI Ligi Kuu imesimama kupisha kalenda ya FIFA kwa mechi za kimataifa ambapo Taifa Stars itashuka uwanjani Machi 26 kucheza na Morocco katika mchezo wa kuwania kufuzu ushiriki wa fainali za Kombe la Dunia 2026, kocha wa Kagera Sugar, Juma Kaseja ameanza hesabu kali kuiwinda Tabora United katika mechi ya 16 Bora ya michuano ya…

Read More

QPR yamalizana na beki Mbongo

HATIMAYE, baada ya tetesi za muda mrefu kuwa QPR ya England inahitaji huduma ya beki Adamson Kealey, imemsajili rasmi nyota huyo mwenye asili ya Tanzania. QPR imemsajili beki huyo wa kulia raia wa Australia kutoka Macarthur FC ya Sydney kama mchezaji huru baada ya mkataba wake kumalizika Juni 30 mwaka huu. Adamson, mwenye umri wa…

Read More

Huyu ndiye Nandi-Ndaitwah, Rais mteule wa Namibia

Ndemupelila Netumbo Nandi-Ndaitwah, anatarajiwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Namibia na wa kwanza mwanamke katika nchi hiyo, baada ya kushinda kwenye uchaguzi mkuu kwa kupata asilimia 57. Amemshinda mpinzani wake, Panduleni Itula wa IPC aliyepata asilimia 26 ya kura zote. Mshindi huyo ameendeleza utawala wa chama cha Swapo kilichopigania uhuru wa nchi hiyo…

Read More

Wananchi watahadharisha mradi wa magadi soda Ziwa Natron

Arusha. Taharuki imeibuka kwa wananchi kufuatia mpango wa kuanzishwa mradi mpya wa uchimbaji magadi soda ndani ya Ziwa Natron lililohifadhiwa kutokana na upekee wake duniani wa kuwa mazalia ya ndege aina ya flamingo. Mpango huo unaotaka kutekelezwa na Kampuni ya Ngaresero Valley, ambapo  inadaiwa kutaka kujengwa kiwanda cha kuchakata magadi soda kandokando ya ziwa hilo,…

Read More

Dk Mwinyi aeleza umuhimu wa taasisi imara za kusimamia uwekezaji

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema kutokana na uwekezaji mkubwa unaofanywa katika muhimili wa Mahakama, kunahitajika kuwa na taasisi imara za kusimamia changamoto za sheria zinazojitokeza katika uwekezaji. Amesema amesema uimara wa taasisi hizo unajengwa na uwajibikaji na kuwepo kwa mazingira wezeshi ya kazi, ikiwemo ujenzi wa majengo yanayotoa nafasi ya kutenda…

Read More

Biden, Starmer kujadili silaha za masafa marefu kwa Ukraine – DW – 13.09.2024

Kyiv inazishinikiza Washington na London kuondoa kizuizi kuhusu matumizi ya silaha zilizotengenezwa na mataifa hayo mawili kushambulia ndani kabisaa ya Urusi, huku Rais wa Urusi Vladimir Putin akionya kwamba kuipatia Ukraine ruhusa kama hiyo kutamaanisha NATO “iko vitani” na Moscow. Vyombo vya habari vya Uingereza viliripoti kuwa Biden, ambaye anahofia kuchochea mzozo wa nyuklia, alikuwa…

Read More