ALIYEDAIWA KUJIFANYA ASKARI POLISI ANASWA
…………… Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata mtu mmoja anayesadikika kujifanya askari wa Jeshi la Polisi katika eneo la Kariakoo, Wilaya ya Ilala. Kamanda wa Jeshi hilo Muliro Muliro amesema hayo jijini Dar es salaam amesema Tukio hilo limetokea Septemba 11, 2025, wakati askari waliokuwa doria walipomtilia mashaka mtu huyo na kufuatilia…