Kombe la Carabao Larejea kwa Kishindo Jumanne Hii

WIKI hii inafungua pazia la raundi ya tatu ya michuano ya Carabao Cup, ambapo miamba ya soka barani Ulaya wanakutana uso kwa uso kutafuta nafasi ya kusonga mbele. Mashabiki wa soka wanatarajia burudani ya hali ya juu, huku Meridianbet ikiwapa nafasi ya kipekee ya kujishindia fedha kupitia odds kubwa zinazopatikana leo. Katika dimba la Sincil…

Read More

Bao la kwanza lampa mzuka Haaland

MSHAMBULIAJI wa Namungo, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ amesema licha ya timu hiyo kuanza Ligi Kuu Bara kwa sare nyumbani, lakini amefurahia kufunga bao lake la kwanza akiwa na kikosi hicho, kwani litamuongezea morali ya kuzidi kupambania nafasi. Nyota huyo aliifungia bao Namungo dakika ya 90+4, katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba…

Read More

Oviedo, Coastal Union kuna kitu kinapikwa

UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa beki wa Pamba Jiji, Ally Ramadhan ‘Oviedo’ baada ya nyota huyo kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine mpya wa kukichezea tena kikosi hicho. Nyota huyo wa zamani wa Mashujaa ameshindwa kufikia makubaliano ya kusaini mkataba mpya na Pamba ambapo kwa sasa inadaiwa…

Read More

Anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, amwangukia DPP

Dar es Salaam. Mshtakiwa, Eric Ayo anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, nyoka na mijusi,  amemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) akiomba kufanya majadiliano ya kukiri makosa yake na apunguziwe adhabu. Ayo na wenzake wawili wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 23/2021 yenye mashtaka matatu yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu na kusafirisha nyara za…

Read More

Sio Ibenge wala Pedro Dar es Salaam Dabi

LICHA ya kushuka dimbani ikiwa na safu kali ya ushambuliaji inayoundwa na washambuliaji hatari wa Ligi Kuu Bara kwa sasa, Depu na Prince Dube, wenye jumla ya mabao 12, Yanga imeshindwa kuonyesha makali yake mbele ya lango baada ya kutopiga hata shuti moja lililolenga lango la Azam FC katika mchezo uliomalizika kwa suluhu. Mchezo huo…

Read More

Malipo ya kidijitali, urahisi unaotaka umakini kimatumizi

Iwe unanunua katika duka la rejareja au unaagiza chakula mtandaoni, kulipa si changamoto tena kwani salio hupunguzwa moja kwa moja. Hakuna tena foleni ndefu wala usumbufu wa kutafuta chenji; kila kitu hukamilika kwa sekunde chache tu. Urahisi huu wa mifumo ya kielektroniki umekubalika kwa kasi miongoni mwa Watanzania, ukirahisisha biashara na kupunguza kabisa hitaji la…

Read More

Mbegu za asili zaidi ya 1,000 zimeingizwa kwenye mfumo rasmi

Dodoma. Serikali imesema kuwa hadi sasa imefanikiwa kutunza mbegu za asili zaidi ya aina 1,000 ambazo zimeingia kwenye mfumo rasmi ili kuwawezesha wakulima kulima kilimo hai na kutunza mazingira katika mtindo wa ikolojia. Aidha kupitia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (Tari) wizara imefanikiwa kukusanya, kusafisha na kuhifadhi jumla ya mbegu za asili 770 katika mazao…

Read More