Mfaransa aukubali mziki wa Doumbia, Andabwile

BAADA ya kupoteza mbele ya Yanga katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali, Kocha wa Wiliete Benguela ya Angola, Bruno Ferry, amekubali ubora wa mastaa wa wapinzani hao, huku Mohamed Doumbia akimshtua. Bruno raia wa Ufaransa ambaye aliwahi kuifundisha Azam akiwa kocha msaidizi, sasa ni kocha mkuu wa kikosi cha…

Read More

ATCL YATANGAZA NAFASI 59 ZA AJIRA KWA WATANZANIA

DAR ES SALAAM – Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imetangaza nafasi 59 za ajira kwa Watanzania wenye sifa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha ufanisi wa uendeshaji na kuendana na kasi ya upanuzi wa huduma zake. Nafasi hizi zinahusisha idara mbalimbali, ikiwemo Uendeshaji wa Ndege, Upangaji wa Ratiba za Wahudumu, Mauzo na Masoko,…

Read More

Dabo afichua siri za mastaa kutoka Bongo

KOCHA wa zamani Azam FC, Youssouf Dabo ameeleza sababu za kuwavuta mastaa wa Bongo kwenda katika klabu anayoinoa kwa sasa ya AS Vita ya DR Congo. Dabo ambaye alitimka Azam mwanzoni mwa msimu huu na katika dirisha hili dogo akiwa katika kikosi hicho amechukua baadhi ya wachezaji wazawa na kuwavuta katika kikosi hicho. AS Vita…

Read More

Watatu walivyombaka na kumlawiti mtoto wa darasa la sita

Moshi. Ni ushetani au ni changamoto ya afya ya akili? Hili ni swali linaloumiza wengi kwa sasa baada ya wanaume watatu wilayani Rombo, kumbaka mtoto anayesoma darasa la sita kwa miezi mitatu mfululizo wakipeana zamu kufanya ufedhuli huo. Lakini sheria imechukua mkondo wake, baada ya kushindwa kupangua adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela walichohukumiwa…

Read More

RC CHALAMILA ATOA SALAAM ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA 2025

Kuelekea sikukuu za Chrismas na Mwaka mpya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amesema ulinzi na usalama umeimarishwa ili kuhakikisha wananchi hususani wakazi wa Mkoa huo wanakuwa salama katika kipindi chote cha sikukuu na baada ya sikukuu, pia amewataka wazazi na walezi kusimamia vema usalama wa watoto kwa kutowapeleka kwenye maeneo…

Read More

Kwa nini Afrika Ikumbatie Masoko ya Kieneo Ili Kuhimili Mishtuko ya Hali ya Hewa na Migogoro – Masuala ya Ulimwenguni

Wakulima, wafanyabiashara na watumiaji katika soko la Mbare Musika Territorial Market mjini Harare, Zimbabwe. Credit: Isaiah Esipisu/IPS na Isaya Esipisu (harare) Ijumaa, Oktoba 04, 2024 Inter Press Service HARARE, Oktoba 04 (IPS) – Watunga seŕa wa Afŕika, viongozi wa ndani na sekta binafsi wametakiwa kujenga mazingiŕa wezeshi ambayo yatawasaidia wafanyabiashara wa Afŕika na wakulima kujenga…

Read More