Chaumma yaahidi kuvalia njuga migogoro ya wakulima na wafugaji

Morogoro. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja ameahidi kuwa iwapo chama hicho kitaaminiwa kuunda Serikali, ndani ya siku 100 za kwanza, kitachukua hatua dhidi ya wale aliowaita mapapa wa ardhi waliomilikishwa maeneo makubwa na kusababisha migogoro kwa wananchi. Akihutubia wananchi wa Jimbo la Kilosa mkoani Morogoro leo Jumatano…

Read More

Zaidi ya wanafunzi 1,000 kupelekwa India, China, Malaysia na Uturuki wakiwa Mabalozi wa Utalii na Uwekezaji wa Tanzania”

Na Mwandishi Wetu WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL) inatarajia kusafirisha wanafunzi zaidi ya 1,000 kwenda kusoma kozi mbalimbali nje ya nchi na imeanza kushirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), kuwatumia wanafunzi wanaosoma nje ya nchi kutangaza utalii. Hayo yalisemwa jana jijjini Dar es Saaalaam na Mkurugenzi Mkuu wa (GEL),…

Read More

RAIS DKT.SAMIA ATETA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ANAYEMALIZA MUDA WAKE IKULU JIJINI DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine, Katibu Mkuu ambaye anamaliza muda wake alimshukuru Mheshimiwa Rais na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

Serikali yajifunga kitanzi maji ya uhakiki mradi wa Same–Mwanga–Korogwe

Mwanga. Serikali kupitia Wizara ya Maji imesema itaendelea kuhakikisha wananchi wanaozungukwa na mradi mkubwa wa maji wa Same–Mwanga–Korogwe wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika wakati wote. Hatua hiyo inalenga kuboresha maisha ya wananchi pamoja na kulinda afya za jamii zinazoishi katika maeneo yanayonufaika na mradi huo. Akizungumza leo Jumanne Machi 17, 2026…

Read More

Trump Atangaza Vita dhidi ya Iran, Milipuko Yaripotiwa Mashariki ya Kati, Iran Yajibu

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuanza kwa kile alichokiita “operesheni kubwa za kivita” dhidi ya Iran, akisema hatua hiyo inalenga kulinda raia wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyodaiwa kutoka kwa utawala wa Tehran. Katika ujumbe wa video uliorushwa kwenye mitandao ya kijamii, Trump alisema Marekani kwa kushirikiana na Israel imeanzisha mashambulizi ya makombora yaliyolenga…

Read More

MAONESHO YA MIFUGO KANDA YA ZIWA 2026, KUFANYIKA BUSANDA- SHINYANGA, WADAU WAKARIBISHWA

****** Na. Mwandishi Wetu, MAONESHO ya Mifugo Kanda ya Ziwa (Lakezone Livestock Expo) yanatarajia kufanyika Mei 30-31 mwaka huu, Busanda Mkoani Shinyanga, ambapo wadau mbalimbali wa mifugo wanatarajiwa, kushiriki. Kwa mujibu wa Diana Lukio Ambaye ni Mwandaaji wa maonesho hayo, amebainisha kuwa, yatawakutanisha wafugaji, wakulima na wadau wote kwenye mnyororo wa thamani kutoka Mikoa ya…

Read More

WAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI KATAVI

▪︎ Aagiza viongozi kushughulikia kero za wananchi badala ya kusubiri viongozi wakuu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 16, 2026 amehitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Katavi iliyoanza Machi 13, 2026 ambapo ameelekeza viongozi wa wilaya na halmashauri nchini kuhakikisha wanashughulikia changamoto za wananchi kwa wakati bila kusubiri ziara za viongozi wa kitaifa. Akizungumza…

Read More