Biashara ya mkaa yapaa, kuni ikiporomoka

Dar es Salaam. Katika kipindi cha miaka mitatu mfululizo, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeripoti kuwapo kwa ongezeko la fedha zinazotumika kununua mkaa kwa zaidi ya mara mbili. Katika ripoti tofauti za uchumi wa Kanda za BoT, zinaonesha mauzo ya mkaa yaliongezeka kutoka Sh3.5 bilioni katika mwaka ulioishia Machi 2023, hadi Sh7.6 bilioni katika mwaka…

Read More

UN inaonya juu ya shida ya haki za binadamu za ‘janga’ nchini Myanmar kama vurugu na kuanguka kwa uchumi – maswala ya ulimwengu

Iliyochapishwa mbele ya Baraza la Haki za BinadamuKikao kinachokuja, ripoti ilionyesha hali mbaya tangu mapinduzi ya kijeshi mnamo 2021ambayo iliondoa mabadiliko ya kidemokrasia ya Myanmar na ilisababisha upinzani mkubwa wa silaha. Katika miaka tanguVikosi vya jeshi vimelenga idadi ya raia na ndege, milipuko ya sanaa na aina zingine za vurugu, wakati vikundi vya watu wenye…

Read More

Mvua zasababisha vifo 155, Majaliwa atoa maelekezo 14

Dar es Salaam. Mvua kubwa za El-Nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini zimesababisha vifo vya watu 155 na wengine 236 kujeruhiwa. Hayo yameelezwa bungeni leo Aprili 25, 2024 katika taarifa ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kuhusu changamoto za…

Read More

Sh2.55 bilioni kutumika kuweka alama za barabarani mikoa yote

Dodoma. Serikali imetenga Sh2.55 bilioni katika mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya uwekaji alama na michoro ya usalama barabarani kwenye barabara kuu na za mikoa. Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya amesema hayo leo Agosti 30, 2024 alipojibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Latifa Khamis Juakali. Mbunge huyo amehoji Serikali imejipanga vipi katika…

Read More

Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi

Mwanza/Dar. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linaendelea na uchunguzi juu ya tukio la kigogo mmoja wa juu ngazi ya mkoa wa kanda ya ziwa, kutuhumiwa kumlawiti mwanafunzi wa chuo kikuu jijini Mwanza ndani ya gari. Uchunguzi umebaini jina la usajili wa namba ya simu iliyotajwa na mwanafunzi huyo, linafanana na la mmoja wa wakuu…

Read More

PINDA ATAKA HAKI MCHAKATO WA WAGOMBEA

Na Oscar Assenga,TANGA WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Mizengo Pinda amehimiza viongozi waliopewa dhamana ya mamlaka ya kusimamia mchakato wa uteuzi wa wagombea kuhakikisha wanatenda haki kwa wale wote waliojitokeza kwenye kinyang’anyiro hicho . Pinda aliyasema hayo leo mara baada ya kutembelea ukarabati wa ofisi ya…

Read More

Sokoine kuna vita ya maafande

UHONDO wa Ligi Kuu Bara umerejea tena baada ya kusimama kwa wiki moja ambapo viwanja viwili leo Ijumaa vitawaka moto, kazi kubwa ikiwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya wakati maafande wa Tanzania Prisons na JKT Tanzania watakapoonyeshana kazi, huku jijini Dar kuna dabi nyingine. Kwenye Uwanja wa KMC Complex, wenyeji KMC timu inayomilikiwa na…

Read More