Hofu ongezeko gharama za kupanda ndege Tanzania

Dar es Salaam. Nauli za usafiri wa anga wa kimataifa huenda zikapanda kwa dola 45 (Sh111,250) kwa tiketi ya safari moja na dola 90 (Sh222,500) kwa safari ya kwenda na kurudi, endapo ada mpya itaanza kutumika kama ilivyopangwa. Serikali imepanga kuanza kutoza ada ya uwezeshaji abiria (Passenger Facilitation Fee) kwa wasafiri wote wa kimataifa kuanzia…

Read More

CCM WAZINDUA RASMI KAMPENI SHINYANGA MJINI

  Katibu wa CCM Mkoa wa Shinyanga Odilia Batimayo akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi wakati wa uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Shinyanga Mjini uliofanyika Jumapili Septemba 14,2025 katika kata ya Ndala Manispaa ya Shinyanga – Picha na Marco Maduhu na Kadama Malunde  Na Marco Maduhu,Shinyanga Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa…

Read More

Nepal PM anajiuzulu baada ya kuporomoka kwa kifo kwa maandamano ya vijana; UN inahimiza utulivu – maswala ya ulimwengu

Machafuko hayo, ambayo yakaanza Jumatatu kama maandamano ya “gen Z” dhidi ya ufisadi ulioenea, upendeleo na njia kwenye vyombo vya habari vya kijamii, iliongezeka haraka baada ya vikosi vya usalama kujibu kwa nguvu. Wengi wa wafu na waliojeruhiwa walikuwa waandamanaji wachanga waliopigwa na polisi. Wengi hubaki hospitalini katika hali mbaya. Kufikia Jumanne, maandamano yalikuwa yameenea…

Read More

Vodacom Wakabidhi Matundu 10 ya Vyoo Shule ya Mkata

Bakari Mahundu March 12, 2026 0 Comments Vodacom Tanzania Foundation, Twende Butiama pamoja na Stanbic Bank Kwenye Picha ya Pamoja Wakizindua Matundu 10 ya Kisasa ya Vyoo Shule ya Msingi ya Mkata, Tanga. Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Twende Butiama pamoja na Stanbic Bank wamejenga matundu 10 ya kisasa ya vyoo katika Shule ya…

Read More