RAIS SAMIA AWALIPIA ADA YA MAFUNZO WANAWAKE WAJASIRIAMALI 3,000 WA DAR
::::::: Mteule wa Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, Janeth Elias Mahawanga, ameungana na kundi la Wanawake na Samia wa Mkoa wa Dar es Salaam ambao wamehitimu mafunzo yao katika Chuo cha Veta Jijini Dar es Salaam Septemba,12 mwaka huu. Idadi ya Wanawake 405 ambao ni kundi la kwanza wamepata vyeti vyao baada ya…