Hashim Rungwe atoa darasa la uchaguzi Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chauma), Hashim Rungwe amewashauri wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya Chadema, kuepuka kupigana madongo badala yake waeleze nini watakachokifanya ili wajumbe wawachague. Chadema inatarajia kufanya uchaguzi mkuu ifikapo Januari 21, 2025, ambapo wajumbe watachagua viongozi wa kitaifa, ukitanguliwa na chaguzi za mabaraza ya chama hicho….

Read More

Zaidi ya Wafanyabiashara 3,000 wa Tanzania na Uingereza Watafuta Fursa Kupitia Tanzania Link

Zaidi ya wafanyabiashara 3,000 kutoka Tanzania na wengine zaidi ya 3,000 kutoka Uingereza wamejisajili kwenye Tanzania Link Portal, jukwaa la kidijitali linalolenga kuimarisha fursa za kiuchumi kati ya Tanzania na Uingereza kupitia ushirikiano wa biashara, uwekezaji, elimu, utalii na ajira. Tanzania Link ni ubunifu wa Watanzania watatu wanaoishi Uingereza,  Bw Goodluck Mboya, Bw Joseph Ndilla,…

Read More

EABC yaja na dawati la kidijitali kukuza biashara ya kuvuka mpakani

Arusha. Baraza la Biashara Afrika Mashariki (EABC) limezindua dawati la kidijitali la utoaji taarifa ili kusaidia wafanyabiashara wadogo wa mpakani kukabiliana na vikwazo visivyo vya kiforodha (NTBs). Vikwazo hivyo ambayo vimetajwa kuwa changamoto kubwa za biashara za ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), vitaweza sasa kutatulika haraka baada ya utoaji wa Taarifa. Uzinduzi huo,…

Read More

Diaspora ya Afrika Kuendesha Matarajio ya Maendeleo ya Bara – Masuala ya Ulimwenguni

Watu wanapanga foleni nje ya benki ambapo wanapata pesa kutoka kwa diaspora huko Bulawayo. Credit: Ignatius Banda/IPS na Ignatius Banda (bulawayo, zimbabwe) Jumatano, Julai 24, 2024 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Julai 24 (IPS) – Wakati diaspora ya Afŕika inaendelea kukua, mashiŕika yanatafuta njia za kutumia demografia hii kubwa kusaidia katika maendeleo ya bara. Fedha…

Read More

Habari mpya kuhusu Kocha wa Yanga

YANGA inaendelea na marekebisho kadhaa ya kiufundi kwenye kikosi chake kuelekea kwenye maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na michuano ya kimataifa. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Bara mara nne mfululizo, inaripotiwa kwamba wataweka kambi ya maandalizi nchini Rwanda wiki chache zijazo. Lakini habari mpya ni kwamba jina la Kocha kijana Mfaransa mwenye…

Read More

Watano kizimbani wakidaiwa kuhujumu miundombinu SGR

Kibaha. Watu watano wakiwemo raia wa kigeni wamefikishwa mahakamani mkoani Pwani wakikabiliwa na mashItaka ya kuhujumu miundombinu ya reli ya kisasa (SGR) na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Sh200 milioni. Waliofikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibaha leo Desemba 17, 2024 ni Zhang Feng, Wang Yong, Paulo John, Abdul Mohamed na Pius Kitulya, wakazi…

Read More