DJ KAYGEE TAKES THE STAGE AT 1245 – MWANAHARAKATI MZALENDO

  The buzz from last weekend’s Piano Sunday at 1245 in partnership with Serengeti Breweries (SBL), is still reverberating through the city. As promised, the night was nothing short of spectacle, featuring a dazzling array of entertainment and indulgence.   The first celebration happened on the 1st September. Courtesy of Johnnie Walker Gold Label, it…

Read More

Algeria yachekelea kucheza robo Zanzibar 

KOCHA wa timu ya taifa ya wachezaji wa ndani wa Algeria, Madjid Bougherra, amesema safari za mashindano ya CHAN yanayoandaliwa kwa mara ya kwanza na Tanzania, Kenya na Uganda hayajawa changamoto kwao, bali yamekuwa fursa kwa wachezaji. Baada ya kupata sare tasa dhidi ya Niger katika Uwanja wa Nyayo jijini Nairobi, matokeo yaliyowapeleka robo fainali,…

Read More

KONGAMANO LA KODI LAANZA JIJINI DODOMA

Kamishna Msaidizi Idara ya Sera, Wizara ya Fedha Bw. William Mhoja (wa kwanza kulia walioketi), akiwa katika picha ya pamoja na wataalam na washauri wa kodi, wadau wa sekta mbalimbali nchini, wafanyabiashara, wazalishaji wa bidhaa na mazao mbalimbali, (wa kwanza kushoto ni Kamishna Msaidizi Idara ya Sera, Wizara ya Fedha Bw. Juma Mkabakuli, katika Kongamano…

Read More

RC KAGERA AIPONGEZA BIHARAMULO RIPOTI YA CAG

::::::: Na Daniel Limbe, Torch Media SERIKALI mkoani Kagera imedai kufarahishwa na matumizi mazuri ya fedha za umma katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye halmashauri ya wilaya ya Biharamulo, hali iliyo sababisha kuendelea kupata hati safi katika ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) mwaka 2023/24. Pongezi hizo zimetolewa na…

Read More

IGP WAMBURA AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA SINGIDA

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura Agosti 20,2024 amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego wakati alipomtembelea ofisini kwake na kujadiliana masuala mbalimbali kuhusiana na hali ya usalama mkoani humo. IGP Camillus Wambura yupo mkoani Singida kwa ziara ya kikazi kwa ajili ya kuzungumza na maofisa, wakaguzi na askari…

Read More

Kocha wa Azam FC kuibukia Rayon Sports

KOCHA wa zamani wa Azam FC aliyekuwa akiinoa Wiliete Banguela ya Angola kabla ya kuondolewa hivi karibuni, Mfaransa Bruno Ferry yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na Rayon Sports ya Rwanda, ikiwa ni mwezi mmoja tu tangu alipoachana na Wiliete, Novemba 15, 2025. Kocha huyo aliachana na Wiliete, baada ya ripoti kutoka Angola kudai…

Read More

Wagosi wamrejesha Makambo JR | Mwanaspoti

UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa nyota wa Mtibwa Sugar FC na Mashujaa FC, Athumani Masumbuko ‘Makambo Jr’, baada ya mshambuliaji huyo kudaiwa hayupo tayari kuchezea SC Viktoria 06 Griesheim ya Ujerumani. Nyota huyo alijiunga na 1.FCA Darmstadt Julai 25, 2024 kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Mashujaa aliyojiunga nayo msimu…

Read More