Sura mpya Fountain Gate ikipambana upya Bara

MSIMU uliopita ilibaki kidogo Fountain Gate ishuke daraja, lakini ikanusurika baada ya kuichapa Stand United katika mechi za mtoano. Timu hiyo ilimaliza ligi katika nafasi ya 14, ikacheza mtoano wa kwanza dhidi ya Tanzania Prisons iliyomaliza ya 13, ikapoteza kwa jumla ya mabao 4-2 kwani nyumbani ilitoka 1-1, ugenini ikafungwa 3-1. Ilipoenda kukabiliana na Stand…

Read More

SERIKALI YAJIDHATITI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBUFU

…………… Na Saidi Lufune, Rukwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), amesema Serikali inaendelea kulinda maisha ya wananchi dhidi ya uvamizi wa wanyamapori wakali na waharibifu hususan Tembo na Mamba kwa wananchi wanaoishi maeneo yanayozunguuka Hifadhi  Mhe. Chande amebainisha hayo katika Halmashauri wa Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa wakati wa…

Read More

Mtambo wa mabao Yanga unasukwa

NI takribani siku 17 zimebaki kuanzia leo, Agosti 31, 2025 hadi Septemba 16, 2025 itakaposhuhudiwa mechi ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba kuashiria kufunguliwa kwa msimu wa 2025-26. Wakati mchezo huo ukisubiriwa kwa hamu kubwa, huko kambini Yanga kocha mkuu wa kikosi hicho, Romain Folz amekuwa bize kuimarisha kikosi chake huku kubwa…

Read More