BONASI YA KASINO TSH 2,500,000/= INAKUSUBIRI LEO

UNAIJUA Bonasi ya Kasino wewe! Cheza shindano la Expanse kwenye kasino ya Meridianbet, na ushinde Mamilioni kila siku, jisajili na Mabingwa ili uwe bingwa. Michezo ya Kasino inaweza kukufanya uwe tajiri, ambapo Meridianbet watatoa bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na alama nyingi kushinda wachezaji wengine, ili kuwa mshindi na upate Mgao…

Read More

Nchi 40 zajifungia Tanzania kusaka mwarobaini wa uharamia

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Shirika la Bahari Duniani (IMO), Antonio Dominguez ametaka kuwapo kwa juhudi za pamoja za kudhibiti uharamia wa meli unaoendelea katika maeneo mbalimbali. Kufanya hivyo kutasaidia kurejesha amani katika usafirishaji wa bidhaa baharini, jambo litakalopunguza mzigo wa gharama kwa wafanyabiashara, ambazo mwisho wa siku husababisha ugumu wa maisha kwa wananchi….

Read More

Straika Simba aliyetoroka hayupo benchi 

HIVI karibuni Mwanaspoti liliripoti kuwa Straika wa Simba ametoroka kambini na leo kwenye kilele cha siku ya ‘Simba Day’ mchezaji huyo hajaonekana. Simba leo inaadhimisha kilele cha Simba Day ambayo iliambatana na burudani mbalimbali za soka ikiwemo mchezo wa Ligi ya vijana U-17 na ule wa kirafiki kati ya Simba Queens na Mlandizi Queens. Kwenye…

Read More

OMO: Silaha ya ushindi wetu ipo kwenye kujitokeza kupiga kura

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT–Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema silaha pekee ya kuzikabili dosari zinazojitokeza katika uchaguzi ni kujitokeza kwa wingi kupiga kura itakapofika Oktoba 29, mwaka huu. Othman ameijenga hoja hiyo akirejea dosari zinazolalamikiwa na upinzani, yakiwemo madai ya kuibiwa kura, akisisitiza kuwa njia ya kukabili hilo ni kujitokeza kwa…

Read More