Serikali Yatoa Tahadhari kwa Watanzania Walioko Mashariki ya Kati
Global Publishers March 3, 2026 0 Comments Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imetoa tahadhari kwa Watanzania wanaoishi au wanaopanga kusafiri kwenda katika nchi za Mashariki ya Kati, zikiwemo Bahrain, Israel, Kuwait, Qatar, Falme za Kiarabu (UAE) na Oman. Katika taarifa, Serikali imewahimiza…