CCM yapangua ratiba uchukuaji fomu ubunge, uwakilishi na udiwani
Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza mabadiliko ya ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuomba kuwania udiwani, uwakilishi na ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Taarifa kwa umma iliyotolewa usiku wa kuamkia leo Jumatano, Aprili 16, 2025 na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi imeeleza uamuzi wa kubadili ratiba…