KESI YA UKAHABA: Majibu ya shahidi yalivyoiudhi Mahakama

Dar es Salaam. Shahidi wa nne katika kesi ya ukahaba inayowakabili washtakiwa watano katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, ameikera mahakama kwa majibu ya ‘sijui’ kwa maswali aliyoulizwa na mawakili wa utetezi. Shahidi huyo ambaye ni polisi wa kike (WP) Konstebo Masadi Madenge kutoka Kituo cha Polisi Magomeni Usalama ametoa majibu hayo jana Julai…

Read More

Winga Stand Utd aibebesha zigo TFF

KIUNGO mshambuliaji wa Stand United ya Shinyanga, Raymond Masota amelibebesha mzigo Shirikisho la Soka nchini (TFF) kukomalia programu za kuandaa wachezaji chipukizi (TDS) ili kusaidia kutibu changamoto ya muda mrefu ya Tanzania kukosa washambuliaji wenye sifa. Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la washambuliaji matata wenye uwezo mkubwa wa kutumia nafasi, ambapo mara…

Read More

DKT.JAFO ATAKA WANANCHI WILAYA YA KILWA KUSHIKAMANA NA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akiwa na viongozi wakikagua ujenzi wa Mradi wa Maji mavuji,Nangurukuru,Singino,Kivinje,Mpara ,Masoko uliopo wilayani Kilwa wakati wa ziara Maalum Mkoani humo yenye lengo la kukagua utekekelezaji wa Miradi ya maendeleo chini ya kauli mbiu isemayo “Rais Samia na Maendeleo Wasikie na Waone”. Na.Mwandisi Wetu. WAZIRI wa Viwanda na…

Read More

Mabaraza huru ya habari duniani kukutana Tanzania

Dodoma. Mkutano mkuu wa mtandao wa mabaraza ya huru ya habari duniani unatarajiwa kufanyika nchini Julai 14 hadi 17, 2025 jijini Arusha ambapo vyombo vya habari vimetakiwa kuandaa maonyesho ya kazi zilizoleta mabadiliko katika jamii na Taifa. Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Ernest Sungura ameyasema hayo leo Mei 26, 2025 wakati wa…

Read More