Samia kuifanya Kigoma kitovu cha biashara na nchi jirani

Kasulu. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwavutia zaidi wawekezaji kwenda kuwekeza Kigoma ili kuufanya mkoa huo kuwa kitovu cha biashara katika ukanda wa Ziwa Tanganyika na nchi jirani za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Samia amebainisha hayo leo Septemba 13, 2025 wakati wa mkutano wake wa…

Read More

Msongo wa kilovolti 132 kumaliza tatizo la umeme Tabora

Dar es Salaam. Wananchi wa mkoa wa Tabora wataepukana na changamoto ya umeme baada ya kuwashwa rasmi laini ya msongo wa kilovolti 132 yenye urefu wa kilomita 115. Mradi ulianza Aprili 2024 na ulitegemewa  kumalizika Juni 2025. Mradi huo utasaidia kuchochea maendeleo katika  Wilaya ya Urambo, Kaliua na Mkoa wa Tabora kwa ujumla. Akizungumza leo…

Read More

Askari wa uhifadhi watakiwa kuepuka migogoro na wananchi

Mwanza. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula amewaagiza askari wa Jeshi la Uhifadhi kuzingatia sera ya ujirani mwema wanapotekeleza majukumu yao, kuepuka migogoro na wananchi wanaoishi jirani na maeneo ya hifadhi. Akizindua Bodi ya Magavana ya Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi jijini Mwanza leo Ijumaa Aprili 4, 2025, amesema kazi ya Jeshi…

Read More

Lufano bado yupo sana MZFA

MWENYEKITI wa Chama cha Soka Mkoa wa Mwanza (MZFA), Vedastus Lufano ametetea nafasi hiyo, baada ya kupita bila kupingwa akipigiwa kura za ndio na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho, huku Khalid Bitebo akipitishwa nafasi ya Makamu Mwenyekiti. Lufano ameshinda nafasi hiyo katika mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama hicho uliofanyika juzi, jijini Mwanza…

Read More

Serikali yajibu mapigo ripoti ya HRW haki za binadamu

Moshi/Dar. Serikali ya Tanzania imeijibu ripoti ya Shirika la Kimataifa la Uangalizi wa Haki za Binadamu (HRW) juu ya ukiukwaji wa haki za kiraia kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, ikisema ni ya upotoshaji na uongo. Wakati Serikali ikijua juu ripoti hiyo, wanazuoni waliozungumza na Mwananchi wametofautiana kimtazamo, baadhi wakisema yaliyosemwa na HRW si mageni yamekuwepo nchini,…

Read More

Meridianbet Imetoa Msaada Kwa Wanawake Wajawazito Sinza

KATIKA kuendeleza dhamira yake ya kuchangia ustawi wa jamii na kugusa maisha ya Watanzania, kampuni inayoongoza kwa michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni, Meridianbet, imefanya zoezi la kugawa vifaa vya kujifungulia (Maternity Kits) pamoja na diapers kwa watu wazima (Adult Diapers) kwa kina mama waliojifungua katika Hospitali ya Palestina, iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam….

Read More

The Cranes yaanza kwa fedheha CHAN

TIMU ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ imeanza vibaya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Algeria katika pambano la kwanza la ufunguzi. Katika mechi hiyo ya kundi C iliyopigwa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela mjini Kampala, Algeria ilianza kupata bao la kwanza dakika ya 36…

Read More