Matarajio ya Watanzania bajeti ya afya ikisomwa leo

Dar es Salaam. Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2025/26 inawaslishwa leo Jumatatu, Juni 2, 2025 bungeni, huku macho ya Watanzania yakisubiri kuona Serikali inakuja na mikakati gani kuhakikisha inapambana na kuondoka kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) nchini ambayo imefadhili sekta hiyo kwa miaka mingi. Ufadhili wa USAID ulisaidia maeneo…

Read More

DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA KUBORESHWA JULAI MWAKA HUU

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza na waandishi wa habari Mjini Unguja, Zanzibar, leo tarehe 15 Mei, 2024, ambapo ametangaza kuwa uzinduzi wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utafanyika tarehe 01 Julai, 2024. (Picha na INEC). Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji…

Read More

TAFF YATUMIA BIL. 3.1/- KUFADHILI MIRADI 74 YA MISITU TABORA

WANUFAIKA wa Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) mkoani Tabora wametakiwa kutumia fedha za ruzuku walizopewa kwa kufuata masharti ili kuhakikisha malengo ya kuboresha maisha ya wananchi na kuhifadhi misitu yanafikiwa. Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TaFF, Dkt. Tuli Msuya, ameyasema hayo alipokuwa akifungua mafunzo kwa vikundi zaidi ya 10 vya wafugaji nyuki vilivyonufaika na ruzuku…

Read More

Bukombe wanataka maendeleo :Dkt Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa kwa miaka yote wananchi wa Wilaya ya Bukombe wamekuwa na imani na Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na kiu ya maendeleo. Amesema wananchi hao wana haki ya kuchagua kati ya maneno au maendeleo na…

Read More

Matukio ya udhalilishaji yaongezeka Novemba, 2025 

Unguja. Matukio ya udhalilishaji yameongezeka kwa asilimia 8.1 kufikia 107 kutoka 99 yaliyoripotiwa Oktoba, sababu ya ongezeko ikitajwa kuwa uhuru uliopitiliza wa wazazi kwa watoto wao. Inaelezwa uhuru huo umesababisha watoto kufanya jambo lolote watakalo bila ya hofu, wala kujali athari za vitendo wanavyovifanya. Akitoa taarifa leo Jumanne Desemba 23, 2025 Ofisa wa Divisheni ya…

Read More

Hamdi achomoa mtaalamu Singida Black Stars

ALIYEKUWA Kocha mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi aliyepo Ismailia ya Misri, amemchomoa mtaalam mmoja kutoka timu aliyowahi kufanya nao kazi ya Singida Black Stars. Hamdi aliyeondoka Yanga mara baada ya kuwapa mataji mawili kwa mpigo ya Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho (FA), mbali na lile la Kombe la Muungano aliwahi kuinoa Singida kwa muda…

Read More

Kanisa la shincheonji la Yesu Lavuta Umati Mkubwa Cheongju

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mnamo Septemba 8, 2024, Kanisa la Shincheonji Church of Jesus huko Cheongju liliandaa mkusanyiko muhimu, uliovutia takriban watu 80,000, wakiwemo washiriki kutoka mikoa mbalimbali na wachungaji 100 wa Kiprotestanti. tukio hilo liliadhimisha mwaka wa 30 tangu kuanzishwa kwa Kanisa la Cheongju na lilihusisha ziara ya Mwenyekiti Man Hee Lee kama…

Read More