Sultan ataja sababu za kuondoka Alliance

ALIYEKUWA kocha wa Alliance Girls, Sultan Juma amesema ameondoka kikosini hapo kwa heshima akiiacha timu hiyo ikiwa nafasi nzuri ya nne kwenye msimamo wa ligi. Juma alikuwa kikosini hapo tangu mwishoni mwa msimu uliopita akiisaidia kubaki ligi kuu na kumaliza nafasi ya nane kwenye msimamo. Akizungumza na Mwanaspoti, Juma amesema amefanya uamuzi huo baada ya…

Read More

Mahakama kutumia teknolojia kuendesha kesi Zanzibar

Unguja. Mahakama Kuu ya Zanzibar inatarajia kuzindua mfumo wa kisasa wa usikilizaji wa kesi na usimamizi wa mashauri kwa njia ya kielektroniki, hatua inayolenga kuimarisha utoaji wa haki kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama). Uzinduzi wa mfumo huo unatarajiwa kufanyika Februari 9, 2026 katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi kisiwani Pemba, ikiwa ni…

Read More

Mwigulu: Serikali kushirikiana na sekta binafsi kukuza utalii

Arusha. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kutekeleza mipango na mikakati ya kuimarisha sekta ya utalii, ikiwemo kuboresha mazingira ya uwekezaji ili sekta hiyo ichangie kikamilifu maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla. Amesema Serikali imejipanga kuhakikisha sekta ya utalii inanufaisha wadau wote, kuanzia watoa huduma, wawekezaji hadi…

Read More

ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI BILIONI 9.15 ZA MKANDARASI WA KICHINA, ATOA SIKU 28 KUSITISHA MKATABA WA BARABARA YA KYERWA–OMURUSHAKA

Na Diana Byera, Kagera. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kufanyika uchunguzi wa kina kuhusu matumizi ya shilingi bilioni 9.15 zilizolipwa kwa mkandarasi wa Kampuni ya Kichina, Shandong Luqiao Co. Ltd, kama malipo ya awali (advance payment) kwa mradi wa ujenzi wa barabara ya Kyerwa–Omurushaka, baada ya mradi huo kukwama. Aidha, Waziri Ulega ametoa siku…

Read More

Tunavyoharibu watoto kuingia dunia ya kupenda, kupendwa     

Juzi nilikuwa naongea na kijana mmoja, kavuka miaka 30, ananiambia ameanza kuhisi kama vile hakuumbiwa mapenzi. Ukisikia mtu anatoa kauli nzito hivi ujue kuna jambo. Kudodosa, kumbe, kayapambania mapenzi na yamekaribia kumtoa roho. Kila anayempenda kwa dhati anaishia kumwacha hewani. Haelewi afanye nini. “Hawa wanawake wanataka nini?” Kaniuliza. Tuliongea mengi. Hapa nakushirikisha kiini cha mazungumzo…

Read More

WAZIRI WA FEDHA AIMWAGIA SIFA TADB

Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb.) kulia, akipokea  taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania-TADB, ya kipindi cha miaka 10 tangu ianzishwe mwaka 2015-2025, kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Bw. Frank Nyabundege,  katika Ofisi za Wizara ya…

Read More

Straika mpya Geita achimba mkwara

MSHAMBULIAJI mpya wa Geita Gold, Raymond Lulendi, amesema licha ya ushindani mkubwa uliopo katika eneo la kikosi hicho msimu huu ila hana hofu, kwa sababu atapambana kadri ya uwezo wake atakavyopewa nafasi na benchi la ufundi la timu hiyo. Nyota huyo amejiunga na Geita Gold katika dirisha dogo lililofungwa Januari 30, 2026, baada ya kuachana…

Read More