Baba mdogo, mjumbe waibua mapya mauaji ya Linah

Dar es Salaam. Wakati mjumbe wa shina namba sita wa Tawi la Mkwajuni Kata ya Vijibweni, Kigamboni, Aloyce Msiagi akieleza namna mtuhumiwa wa mauaji ya Linah Kabamba alivyomburuza dada yake kutoka koridoni alikofanyia mauaji hadi chumbani, baba mdogo wa marehemu amesema marehemu alimchukua mdogo wake huyo na kuishi naye akimfundisha kazi. Linah ambaye ni mama…

Read More

Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, sababu yatajwa

Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…

Read More

Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, watuhumiwa wakwama kufika mahakamani

Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…

Read More

Uwekezaji wa Sh700 bilioni madini ya niobium kuibeba Tanzania

Dar es Salaam. Tanzania imeingia makubaliano ya uwekezaji wa Dola za Marekani 300 milioni (takribani Sh700 bilioni) na Panda Hill Tanzania Limited, hatua inayotarajiwa kuibadilisha Mbeya kuwa kitovu kipya cha biashara na viwanda. Aidha, kwa mkataba huo, imefungua ukurasa mpya wa uchumi unaolenga kuongeza thamani ya madini na kuimarisha nafasi ya nchi katika masoko ya…

Read More

Wanufaika wa Samia Scholarship Extended wahakikishiwa ajira Ulaya

Arusha. Wahitimu wa Kidato cha sita waliofaulu kwa alama za juu zaidi mwaka 2025 walionufaika na programu ya Samia Scholarship Extended DS/AI+ kusoma Shahada ya Kwanza kwenye masomo ya sayansi, ubunifu na akili unde wamehakikishiwa kupata elimu yenye kiwango kinachokubalika kimataifa na uhakika wa ajira kwenye kampuni zilizowekeza nchini Ireland. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu…

Read More