Mwenyekiti kitongoji auawa K’njaro, mtuhumiwa akimbia na kichwa chake
Moshi. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Masaera, Reginald Riwa kwa madai ya kumuua kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwili, Mwenyekiti wa kitongoji cha Masaera, Ezekiel Temu (62) huku akikimbia na kichwa chake. Kamanda wa Polisi mkoani humo (RPC), Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo amesema limetokea leo Jumanne, Machi 24,…
Baba mdogo, mjumbe waibua mapya mauaji ya Linah
Dar es Salaam. Wakati mjumbe wa shina namba sita wa Tawi la Mkwajuni Kata ya Vijibweni, Kigamboni, Aloyce Msiagi akieleza namna mtuhumiwa wa mauaji ya Linah Kabamba alivyomburuza dada yake kutoka koridoni alikofanyia mauaji hadi chumbani, baba mdogo wa marehemu amesema marehemu alimchukua mdogo wake huyo na kuishi naye akimfundisha kazi. Linah ambaye ni mama…
SERIKALI YAENDELEA KUTAMBUA MCHANGO WA BARRICK-TWIGA KWA UENDESHAJI WA SHUGHULI ZAKE KWA WELEDI
Waziri wa Fedha na Mipango, Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) akiwa kwenye picha ya pamoja na wenyeviti wa Bodi na Wakurugenzi wa Mashirika na makampuni ambayo serikali ina hisa chache kwenye mkutano wa mwaka 2026 uliyofanyika jijini Arusha , waliosimama wa kwanza kulia , ni Meneja Mkazi wa Barrick nchini , Dkt. Melkiory Ngido Waziri…
Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, sababu yatajwa
Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…
Mashambulizi ya Ukingo wa Magharibi yakizingatiwa – Masuala ya Ulimwenguni
© UNOCHA Takriban Wapalestina 700 katika jamii tisa katika Ukingo wa Magharibi wamekimbia makazi yao kutokana na mashambulizi ya walowezi kufikia sasa mwaka wa 2026, kulingana na ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa, OHCHR. Jumanne, Machi 24, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Wakati vita vinavyoendelea kukumba Mashariki ya Kati na mateso…
Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, watuhumiwa wakwama kufika mahakamani
Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…
Zaidi ya watoto milioni moja Tabora kunufaika na chanjo ya polio
Tabora. Serikali imeanza rasmi kampeni ya chanjo ya ugonjwa wa polio mkoani Tabora inayolenga kuwafikia zaidi ya watoto milioni moja wenye umri chini ya miaka 10, katika jitihada za kuzuia na kutokomeza kabisa ugonjwa huo hatari unaosababisha kupooza kwa viungo. Uzinduzi wa shughuli hiyo umefanyika leo Machi 24, 2026 katika Shule ya Msingi Majengo, Kata…
Uwekezaji wa Sh700 bilioni madini ya niobium kuibeba Tanzania
Dar es Salaam. Tanzania imeingia makubaliano ya uwekezaji wa Dola za Marekani 300 milioni (takribani Sh700 bilioni) na Panda Hill Tanzania Limited, hatua inayotarajiwa kuibadilisha Mbeya kuwa kitovu kipya cha biashara na viwanda. Aidha, kwa mkataba huo, imefungua ukurasa mpya wa uchumi unaolenga kuongeza thamani ya madini na kuimarisha nafasi ya nchi katika masoko ya…
Wanufaika wa Samia Scholarship Extended wahakikishiwa ajira Ulaya
Arusha. Wahitimu wa Kidato cha sita waliofaulu kwa alama za juu zaidi mwaka 2025 walionufaika na programu ya Samia Scholarship Extended DS/AI+ kusoma Shahada ya Kwanza kwenye masomo ya sayansi, ubunifu na akili unde wamehakikishiwa kupata elimu yenye kiwango kinachokubalika kimataifa na uhakika wa ajira kwenye kampuni zilizowekeza nchini Ireland. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu…