Morocco yatwaa ubingwa wa CHAN 2024

Timu ya taifa ya Morocco, ‘Simba wa Milima ya Atlas’ imetwaa ubingwa wa Fainali za CHAN 2024 baada ya kuifunga Madagascar kwa mabao 3-2 katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Moi Kasarani, Kenya. Hili linakuwa taji la tatu kwa Morocco linaloifanya iwe timu iliyotwaa mara nyingi ubingwa wa CHAN,  ambapo awali ililibeba mara…

Read More

Guterres anahimiza kuchukuliwa hatua dhidi ya ‘kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu’ – Global Issues

Huku migogoro na ukosefu wa utulivu unavyozidi, “mamilioni ya Waislamu duniani kote wanabeba maumivu hayo,” alisema António Guterres akiashiria Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Uislamu: “Hebu tujitolee tena kwa usawa, haki za binadamu na utu wa kila mtu, kila mahali.” Katibu Mkuu alionya kwamba kwa Waislamu wengi sana wanaoishi kama wachache, maisha yao ya…

Read More

Kitambi aibukia Fountain Gate kumrithi Mnigeria

FOUNTAIN Gate katika kuboresha kikosi hicho kwa msimu wa 2025-2026, imemchukua Denis Kitambi kuwa kocha mkuu. Kitambi aliyewahi kufundisha timu mbalimbali za Ligi Kuu ikiwemo Simba, Namungo, Geita Gold na Singida Black Stars, anachukua nafasi ya Mnigeria, Ortega Deniran. Taarifa za uhakika kutoka ndani ya kambi ya Fountain Gate, zinasema uamuzi wa kumchukua Kitambi umekuja…

Read More

UDP kukomalia kilimo cha umwagiliaji ikishinda uchaguzi mkuu

Siha. Mgombea Urais kupitia Chama cha UDP, Saumu Rashidi ametangaza mambo matano ambayo anakwenda kushughulika nayo pindi atakapopata ridhaa ya wananchi ya kuwa kiongozi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Miongoni mwa mambo anayopigania mgombea huyo kipaumbele cha kwanza ni kilimo cha umwagiliaji, viwanda, afya, elimu pamoja na maji. Saumu amesema leo Jumatano Septemba 24,…

Read More

Uzinduzi Simba Day waleta shangwe Mafinga

Mashabiki na wa wananchama wa Simba Tawi la Mafinga na maeneo mbalimbali nje ya Mkoa wa Iringa, wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uzinduzi wa Wiki ya Simba Day  unaotarajiwa kufanyika Agosti 30, 2025, wilayani Mufindi mkoani hapa, huku fursa ya kiuchumi ikitajwa kuwanufaisha. Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 28, 2025 na Mwenyekiti wa Tawi…

Read More

Kapombe, Mpanzu wateka utambulisho Simba Day

UTAMBULISHO wa kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2025-2026, umeteka hisia za mashabiki wa timu hiyo waliofika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam huku mastaa wawili Shomari Kapombe na Elie Mpanzu wakiibua shangwe lililopitiliza. Zoezi hilo la utambulisho lililoanza saa 12:21 jioni, liliongozwa na Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally…

Read More