
Ukweli kuhusu ute na ulaji bamia
Mmoja wa wasomaji (jina limehifadhiwa) alieleza ameacha kununua mboga aina ya bamia kutokana na dhihaka aliyokutana nayo sokoni. Alieleza kuwa aliwasikia watu wakisema wanawake hununua mboga hiyo ili kuongeza ute katika maeneo ya uzazi. Hivyo, aliamua kuuliza swali kama kuna ukweli wowote kuhusiana na hilo. Jibu kwa kifupi, sio kweli ni potofu. Ukweli ni kuwa…