Simulizi binti alivyochomwa moto kwa tuhuma za wizi

Mwanza. “Saa sita usiku wa kuamkia Jumapili, nilipokea simu nikaelezwa mdogo wako ana shida. Nikakodi pikipiki, nilipofika kwa bibi nikabaini ameunguzwa kwa moto.” Ndivyo anavyoanza simulizi Joseph Semando, mkazi wa Kijiji cha Idetemiha, Kata ya Usagara akisimulia tukio la mfanyakazi wa ndani kumwagiwa mafuta ya taa na kuchomwa moto. Tukio hilo alilotendewa Grace Joseph (17)…

Read More

NLD yaja na misingi kwa wananchi, ikishinda urais

Tanga. Chama cha National League for Democracy (NLD) kimezindua rasmi kampeni zake na kuwanadi wagombea wa nafasi za urais, ubunge na udiwani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, huku kikieleza dira na misingi sita kitakayotumia katika uongozi wa nchi endapo kitapewa ridhaa na wananchi. Akizungumza katika uzinduzi huo leo Alhamisi Septemba 4, 2025, mgombea…

Read More

Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mpenzi wake

Moshi. Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, mkoani Kilimanjaro imemhukumu kunyongwa hadi kufa, Erasto Mollel (32) kwa kosa la kumuua mpenzi wake, Josephine Mngara (30) kwa kumpiga na jembe kichwani, kisha kuuchoma moto mwili wake kwenye pagale. Mbali na hukumu hiyo, mshtakiwa wa pili katika kesi hiyo, Samweli Mchaki ameachiwa huru na baada ya upande wa…

Read More

‘WANANCHI ACHENI KUNUNUA DAWA ZINAZOTEMBEZWA MIKONONI,KATIKA MABASI KWANI NI HATARI KWA AFYA’

Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Iringa MKUU wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka wananchi waaache mara moja kununua dawa zinazotembezwa mikononi ikiwa ni pamoja na katika vyombo vya usafiri(mabasi) kinyume cha sheria kwani mara zote dawa hizo huwa ni duni na bandia. Pia amesema Serikali haitamwonea huruma mtu yeyote atakayepatikana na dawa bandia kwa kigezo…

Read More