Ukweli kuhusu ute na ulaji bamia

Mmoja wa wasomaji (jina limehifadhiwa) alieleza ameacha kununua mboga aina ya bamia kutokana na dhihaka aliyokutana nayo sokoni. Alieleza kuwa aliwasikia watu wakisema wanawake hununua mboga hiyo ili kuongeza ute katika maeneo ya uzazi. Hivyo, aliamua kuuliza swali kama kuna ukweli wowote kuhusiana na hilo. Jibu kwa kifupi, sio kweli ni potofu. Ukweli ni kuwa…

Read More

Yule refa wa Simba, Berkane kumbe ndo zake

KILICHOTOKEA kwa mwamuzi wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba dhidi ya RS Berkane, Dahane Beida raia wa Mauritania, kinatajwa kuwa ni mwendelezo wa upepo mbaya alionao kwa timu za Tanzania huku baadhi ya uamuzi wa matukio uwanjani yakitafsiriwa si ya haki. Mwamuzi huyo analalamikiwa kuikandamiza Simba kutokana na kutotenda…

Read More

MKENDA ASISITIZA TAFITI ZA KISAYANSI KUONGEZA TIJA YA UZALISHAJI

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ni muhimu kufanya utafiti wa kisayansi kusaidia kukwamua changamoto za uzalishaji sekta mbalimbali ikiwemo Elimu na kilimo kuchochea ustawi Endelevu wa maendeleo kiuchumi. Mkenda amesema hayo leo Julai 10, 2024 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika Ufunguzi wa Mkutano Mkuu unaojadili ushahidi wa matokeo…

Read More

Fadlu Davids aweka mtego Ligi Kuu Bara

SIMBA waliitaka mechi ya leo dhidi ya Pamba Jiji na wamepatiwa baada ya hapo awali Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuitoa katika tarehe iliyopangwa ili kuipa nafasi zaidi timu hiyo kujiandaa na mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi dhidi ya Bravos. Kocha mkuu wa Simba, Fadlu Davids aliona kukaa wiki mbili…

Read More

DA, ANC waridhia kuunda serikali ya mseto Afrika Kusini

Chama tawala nchini Afrika Kusini cha African National Congress, ANC, kimefikia makubaliano na chama cha mrengo wa kati cha Democratic Alliance (DA) pamoja na  chama cha Kizulu cha Inkatha Freedom Party (IFP), kuunda serikali ya umoja wa kitaifa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo imefikiwa baada ya ANC kuambulia asilimia 40.18 pekee ya kura…

Read More