Ligi Kuu Bara 2025/26 hawa kazi wanayo!

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara wa 2025-2026 unaanza leo ukiwa ni wa 62 tangu ilipoanza 1965. Kila timu kati ya 16 zinazoshiriki zinaanza hesabu mpya kuwania pointi 90 kupitia mechi 30 kila moja, kukiunda na jumla ya mechi 240 kwa msimu mzima. Klabu zinazoshiriki ni watetezi Yanga, Simba, Azam, Singida Black Stars, Tabora United,…

Read More

SBL yataka mazingira yenye usawa wa kodi kwenye bia

  Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) waishauri serikali kuzingatia kuimairsha mazingira wezeshi ya sera na kodi ili kukuza mapato ya serikali na ukomavu wa biashara nchini. SBL waliyasema haya kwenye kikao na kamati ya Bunge ya Viwanda na Biashara wikiendi hii. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). “Hali ya kodi…

Read More

Saido atoa masharti ya kutua KenGold

WAKATI mabosi wa KenGold wakipigia hesabu za kumsainisha aliyekuwa kiungo wa Yanga na Simba, Mrundi Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’, nyota huyo ameweka masharti mapya kwa viongozi wa timu hiyo ya jijini Mbeya ili akaitumikie kwa miezi sita. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti ‘Saido’ anahitaji pesa ya usajili Sh50 milioni na mshahara wa Sh12…

Read More

Chadema yaonya minyukano ya wagombea

Dar es Salaam. Wakati minyukano ya wazi na ya chini kwa chini ikiendelea kuelekea uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ngazi ya taifa, Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika ametoa onyo kwa wanachama, wagombea na mawakala wao, akiwataka kufuata miongozo ya kampeni la sivyo hatua zitachukuliwa dhidi yao. Miongozo hiyo ni ile…

Read More

WAZIRI MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKA AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA USWISI NCHINI

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud T. Kombo (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uswisi nchini, Mhe. Nicole Providoli yaliyofanyika katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam tarehe 18 Februari 2025 Madhumuni ya mazungumzo hayo yalikuwa ni Mhe. Providoli kujitambulisha rasmi kwa Mhe. Waziri Kombo…

Read More

Rais mstaafu Buhari azikwa, maelfu wajitokeza kumuaga barabarani

Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammadu Buhari, amezikwa jana Jumanne Julai 15, 2025 katika mji wake wa nyumbani wa Daura, Kaskazini-Magharibi mwa Nigeria, ambako maelfu ya watu walijitokeza barabarani kumuaga. Buhari alifariki Jumapili  Julai 13, 2025  akiwa London nchini Uingereza, ambako alikuwa akipatiwa matibabu. Kwa mara ya kwanza alishika madaraka mwaka 1983 katika taifa lenye…

Read More

MONGELLA ATETA NA VIONGOZI WA MASHINA/MATAWI KAHAMA

John Mongella, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, akizungumza na viongozi wa mashina na matawi ya CCM katika Halmashauri ya Msalala, mkoani Shinyanga. Mongella, ambaye pia ni mlezi wa chama kwa mkoa huo, yupo katika ziara ya siku saba inayolenga kukagua uhai wa chama na kuhakikisha utekelezaji wa Ilani ya CCM ya…

Read More

Majina waliochaguliwa kujiunga Idara ya Uhamiaji haya hapa

Dar es Salaam. Idara ya Uhamiaji Tanzania imetangaza majina ya vijana 331 waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya idara hiyo kuanzia Machi 1, 2025. Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo hayo limetolewa leo Alhamisi Februari 6, 2025 na Kamishna Jenerali wa idara hiyo. “Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana ambao wamechaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji kuripoti…

Read More